babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hicho ndo nawasifu,wanatoa info kidogo huku wanatwangatwanga kilakitu.Inarushwaje mzee , idf iko ndani ya Gaza,wakirusha ina maana wanajitambulisha kwa idf tuko hapaaaa njooni mtuue, hawwezi, kufanya hivyo.
Kwa hiyo mungu wako anahamasisha mauaji?Kosa lilikuwepo tangu enzi za kina Yoshua
Waliambiwa wawamalize kabisa hao wafilisti, hawakusikia!
Labda ndo wanataka wawamalize sasa???
wewe huogopi kusomewa albadiri kweli?Hao vinyesi wasakwe mpaka wapatikane huwezi anzisha vurugu afu utie huruma, ni mabomu kwa kwenda mbele yaaan mpaka mseme
Sasa hapo kuna aibu gani?Hiyo ni sehemu ya kumsaka adui.Inaletaje aibu?Au neno "aibu" siku hizi limebadilishwa maana?Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.
Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.
Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.
Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.
Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.
Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Wasome tuwewe huogopi kusomewa albadiri kweli?
Unamaanisha wameshindwa vita?maelezo yako ni kama umekubali Israel imeshindwa kinamna na huko mbele itashindwa kinmna nyengine.
Inatia huruma ukali wa makombora kutoka vifaa vya kisasa na sifa za kientelijensia kuwa sasa mnataka taarifa kutoka kwa wagonjwa na raia mitaani.
Wameshindwa kinamna.Unamaanisha wameshindwa vita?
Kwani malengo ya mwanzo yalikuwa ni niniWameshindwa kinamna.
Wale wanaopima kwa vifaru na kuuwa na kuporomosha majengo wanaona kama ameshinda
Wale wanaopima kwa malengo ya kivita yaliyoainishwa mwanzo mwa vita wanaona wameshindwa.
Wamenasa kwenye mtego.
Hamas wanasikiliza ushauri wa nani?Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Hapo ni vema risasi na mabomu yapewe tuisheni ya namna ya kukwepa wanawake na watoto.Aibu ni kuwa unamlenga adui lakini unapiga watoto na iCu
Kama bado wanaendelea kupiga, itakuwa ni hasira kwasababu bado wanashambuliwa na hao Hamas. Na pia bado hawajui mateka walipo.Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.
Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.
Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.
Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.
Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.
Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Ohoooo, kama namuona sheikh Ponda na kundi lake la kijangiri wanakuwekea kikaoWasome tu
Hawana lolote mazwazwa tu haoOhoooo, kama namuona sheikh Ponda na kundi lake la kijangiri wanakuwekea kikao