Israel yaendelea kupiga kwa hasira Gaza. Maana yake nini

Inarushwaje mzee , idf iko ndani ya Gaza,wakirusha ina maana wanajitambulisha kwa idf tuko hapaaaa njooni mtuue, hawwezi, kufanya hivyo.
Hicho ndo nawasifu,wanatoa info kidogo huku wanatwangatwanga kilakitu.
Unashangaa mtu yuko shelter anazuiliwa kutoka mwisho.
Jamaa wanabonda shelter yote,
Hapo watoto ,wazee na wabibi wanapitiwa.
Na waliambiwa waondoke
 
Kosa lilikuwepo tangu enzi za kina Yoshua

Waliambiwa wawamalize kabisa hao wafilisti, hawakusikia!

Labda ndo wanataka wawamalize sasa???
Kwa hiyo mungu wako anahamasisha mauaji?
 
Sasa hapo kuna aibu gani?Hiyo ni sehemu ya kumsaka adui.Inaletaje aibu?Au neno "aibu" siku hizi limebadilishwa maana?
 
maelezo yako ni kama umekubali Israel imeshindwa kinamna na huko mbele itashindwa kinmna nyengine.
Inatia huruma ukali wa makombora kutoka vifaa vya kisasa na sifa za kientelijensia kuwa sasa mnataka taarifa kutoka kwa wagonjwa na raia mitaani.
Unamaanisha wameshindwa vita?
 
Unamaanisha wameshindwa vita?
Wameshindwa kinamna.
Wale wanaopima kwa vifaru na kuuwa na kuporomosha majengo wanaona kama ameshinda
Wale wanaopima kwa malengo ya kivita yaliyoainishwa mwanzo mwa vita wanaona wameshindwa.
Wamenasa kwenye mtego.
 
Wameshindwa kinamna.
Wale wanaopima kwa vifaru na kuuwa na kuporomosha majengo wanaona kama ameshinda
Wale wanaopima kwa malengo ya kivita yaliyoainishwa mwanzo mwa vita wanaona wameshindwa.
Wamenasa kwenye mtego.
Kwani malengo ya mwanzo yalikuwa ni nini
 
Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Hamas wanasikiliza ushauri wa nani?
 
Navyoona kwa sasa Israel inatumia nguvu zote, kuhakikisha Hamas wanasalimisha mateka bila masharti, kitu ambacho Hamas imekikataa mpaka Israel itakapokapostisha mashambulizi, na itakapokubali kuwaachia Wafungwa wa Kipalestina walio katika magereza zao.
Sasa hapo ni nani atakayesalim Amri kwa mwingine?
 
Kama bado wanaendelea kupiga, itakuwa ni hasira kwasababu bado wanashambuliwa na hao Hamas. Na pia bado hawajui mateka walipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…