Exactly. Hezbollah wanautumia "Unyonge/Udhaifu" wa Lebanese Army kuiendesha (kuikikimisha) Serikali ya Lebanon kimabavu. Ila kiukweli Hezbollah ni magaidi yaliyojificha chini ya mwavuli wa Serikali ya Nchi ya Lebanon.Lebanese Army ,ndio jeshi hao wahuni ni magaidi
Icj,icc wameona yote hayo ni bongo movie,wanamtaka netanyahu na wenzie mahakamaniMbona Ushahidi upo? Kule Gaza picha na video zilionesha mitambo ya kutengeneza silaha na vifaa vya mawasiliano ilivyogundulika chini kwenye mahandaki ambayo milango ya kuingilia au kutokea ilikuwa chini ya majumba ya ghorofa ya kiraia au kijamii. Hilo nalo unalikataa? Kwanini hao Raia kung'ang'ania (wengine walilazimishwa)kukaa hapo kana kwamba ni kuku anaatamia mayai.?
Nakazia na kuunga mkono hoja.Ahsante baba wa Dunia
Hamuoni aibu kobazi wote mnaungana kupiga na taifa dogo la israel bado mnashindwaBaada ya nchi kama Iran, Iraq, Lebanon kuungana na kuishambulia Israel naona kila dalili ya vita ya tatu ya dunia.
Vita siyo ya wanajeshi tu hata wewe utaingia front lineunalilia koki eeh mwisho ulowe alafu ulalamike ooh! wanajeshi wabaya
Hivi ile ya Afrika Kusini iliishiaje? au ndo hiyo unasemea.Icj,icc wameona yote hayo ni bongo movie,wanamtaka netanyahu na wenzie mahakamani
Israel anataka kukuta extended arms zote za Iran.Hawa Hezbullah mafala sana, wao Israel wanau Raia, nyie mnapiga askari pigeni Raia wao pia uwaone kama atagusa tena Lebanon. Hata uislam unakuambia anaye kushambulia mshambulie vile vile.
Lebanon ilikuwa nchi ya Kikristu na bora kabisa, iliharibika ilipokaribisha wakimbizi wengi wakitokea Palestina.Lebanon ndio Nchi ya kiarabu yenye wakristo wengi kama hufahamu. Endelea kujifajiri Israel wanaua "kobazi"
Nashukuru kwa kunipa ufafanuzi mujarab ila nikuulize kidogo ; Je hawa rifiki zangu waislamu wa hapa Rau Madukani mbona nao wanavaa vipedo? si itakuwa nao wamekaririshwa Mila za Uarabuni?Tatizo Lugha
View attachment 3104602
Unahisi Mwarabu Mkristo hasemi Allahu Akbar? Hata Tanzania Makanisa kibao wanasema Allahu Akbar sema tu kwa Lugha nyengine.
Na hata kabla ya Mtume wetu Yesu alivaa hivyo mnvyoita Vipedo pia Musa na mtume wengine
View attachment 3104611
Hilo ni vazi la mitume,
Na mpaka leo ni kWaida kuwa kuta wamevaa Kabisani the so called vipedo
View attachment 3104631
Ila sababu ya ushamba wenu kutojua dini yenu na kukaririshwa Mila za Ulaya kama ndio Ukristo munashangaa mkiona mtu kavaa kanzu fupi ambalo ni Vazi la Kibiblia.
West wanaua wakristo wa Lebanon miaka na Miaka, na wapalestina wengi wanaoenda Lebanon ni Wakristo madhehebu moja.Lebanon ilikuwa nchi ya Kikristu na bora kabisa, iliharibika ilipokaribisha wakimbizi wengi wakitokea Palestina.
Na matokeo yake ndo vikazaliwa vikundi vingi vya kigaidi kipinga Serikali iliyokuwa madarakani; na kundi la Hezbollah likachukua umaarufu zaidi.Lebanon ilikuwa nchi ya Kikristu na bora kabisa, iliharibika ilipokaribisha wakimbizi wengi wakitokea Palestina.
Vipedo si Mila za Uarabuni ni Mila za MitumeNashukuru kwa kunipa ufafanuzi mujarab ila nikuulize kidogo ; Je hawa rifiki zangu waislamu wa hapa Rau Madukani mbona nao wanavaa vipedo? si itakuwa nao wamekaririshwa Mila za Uarabuni?
Hahaha Leo unawaita Mafala wakati waliua watoto wa kiarabu wakicheza soccer? na Nyumba za raia wamezilipua Israel aajua mapema kabla hawajarusha maokomboa so huwaambia raia waingie kwenye safe place... hujasia jana vifo vya 30 Cows zizini?Hawa Hezbullah mafala sana, wao Israel wanau Raia, nyie mnapiga askari pigeni Raia wao pia uwaone kama atagusa tena Lebanon. Hata uislam unakuambia anaye kushambulia mshambulie vile vile.
Israel anamuwinda Nasrallah
Israel ana mkono mrefu sana