Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Tatizo Lugha

View attachment 3104602
Unahisi Mwarabu Mkristo hasemi Allahu Akbar? Hata Tanzania Makanisa kibao wanasema Allahu Akbar sema tu kwa Lugha nyengine.

Na hata kabla ya Mtume wetu Yesu alivaa hivyo mnvyoita Vipedo pia Musa na mtume wengine
View attachment 3104611
Hilo ni vazi la mitume,
Na mpaka leo ni kWaida kuwa kuta wamevaa Kabisani the so called vipedo
View attachment 3104631

Ila sababu ya ushamba wenu kutojua dini yenu na kukaririshwa Mila za Ulaya kama ndio Ukristo munashangaa mkiona mtu kavaa kanzu fupi ambalo ni Vazi la Kibiblia.
Eti viazi la nitume 😂😂🙃 akili mlipeleka wapi
 

Kweli jana Hezbollah walijitutumua ila wamekuta Israel wamejipanga. Israel wamewazidi akili mbali.

1. Nchi ina mfumo wa ving'ora; rocket zinapokuja ving'ora vinalia wananchi wanachukua tahadhari/hatua. Hii akili ya juu kuwalinda raia.

2. Hapo rocket nyingi zimedunguliwa na Iron dome. Zingefika zote hali ingekuwa mbaya.

Vipi kule Lebanon, Hezbollah walichukua tahadhari gani kuwalinda watu wao dhidi ya mashambulizi ya Israel? Kama si Israel kuona huruma na kuwatumia sms wahame hali ingekuwa mbaya zaidi. Hezbollah na Lebanon wako "uchi" kabisa
 
Kweli jana Hezbollah walijitutumua ila wamekuta Israel wamejipanga. Israel wamewazidi akili mbali.

1. Nchi ina mfumo wa ving'ora; rocket zinapokuja ving'ora vinalia wananchi wanachukua tahadhari/hatua. Hii akili ya juu kuwalinda raia.

2. Hapo rocket nyingi zimedunguliwa na Iron dome. Zingefika zote hali ingekuwa mbaya.

Vipi kule Lebanon, Hezbollah walichukua tahadhari gani kuwalinda watu wao dhidi ya mashambulizi ya Israel? Kama si Israel kuona huruma na kuwatumia sms wahame hali ingekuwa mbaya zaidi. Hezbollah na Lebanon wako "uchi" kabisa
Utakua mgeni wa Hizbollah anazipigaje iron Dome, kila siku zinafanywa hivyo hivyo, vinatangulizwa virocket mpaka Battery ziishe halafu makombora yanafuatia, sio mara ya kwanza wala ya pili Hezbollah kubypass iron dome.
 
At least 50 people have been killed and more than 300 wounded by Israeli air strikes in Lebanon, the ministry of health said Monday.

Also read >Wakazi wa Kusini mwa Lebanon wamepokea SMS zikiwataka kuhama kwenye nyumba zao

View attachment 3104244
Smoke billows over southern Lebanon following Israeli air attacks [Aziz Taher/Reuters]
Published On 23 Sep 202423 Sep 2024

Israeli air attacks on southern Lebanon have killed at least 50 people and wounded more than 300, according to the Lebanese Ministry of Public Health.

Children, women and medics were among the victims in Monday’s attacks that came after Israel told residents of southern Lebanon to evacuate from homes and other buildings where it claimed Hezbollah had stored weapons, saying the military would conduct “extensive strikes” against the group.

Lebanese media also reported that residents received text messages telling them to move away from any building where Hezbollah stores arms until further notice.

The warnings were the first of their kind in nearly a year of steadily escalating conflict that has forced the displacement of communities on both sides of the border.

On Sunday, Hezbollah launched about 150 rockets, missiles and drones into northern Israel in retaliation for strikes that killed a top commander and dozens of fighters.

The increasing strikes and counterstrikes have raised fears of an all-out war.

With Israel’s war on Gaza approaching the one-year mark, Hezbollah has decided to continue its strikes in solidarity with the Palestinians in the besieged and bombarded territory even as Israel says it is committed to returning calm to its northern border.

Source: Photos: Israeli air raids hit wide swaths of southern Lebanon, kill dozens
Hizbolla wamelitafuta wamelipata hatutaki kusikia play for Lebanon
 
Hezbollah wamepigwa within hours 🤣 🤣

Wavaa kobazi walikuwa wanaamini Hawa wanamgambo wanaweza kupigana vita kamili na Israel
 
Kuna swali nawauliza hawa wagalatia humu ndani wanashindwa kujibu.
Kambi za Hizbollah zinajulikana zipo umbali wa kilometa 50+ na makazi ya raia,kwanini Israel iache kushambulia kambi za hizbollah na ishambulie makazi ya raia wa kawaida!!??

WAGALATIA NAOMBENI MAJIBU TAFADHALI.
HIMARS.
Iyerdoi
.
Marcopolo
Intelijensia yetu inaonyesha siraha zimefichwa maeneo hayohayo unayosema ni makazi ya raia. Hizi ndo mbinu za kivita mzee so Kaa Kwa kutulia, watu hawapigi kizembekizembe. Unaweza kushambulia ikulu ukadhani kwamba umefanikiwa kumuua rais kwa kuamini kwamba Rais hukaa ikulu kumbe hayupo hapo.
 
Kweli jana Hezbollah walijitutumua ila wamekuta Israel wamejipanga. Israel wamewazidi akili mbali.

1. Nchi ina mfumo wa ving'ora; rocket zinapokuja ving'ora vinalia wananchi wanachukua tahadhari/hatua. Hii akili ya juu kuwalinda raia.

2. Hapo rocket nyingi zimedunguliwa na Iron dome. Zingefika zote hali ingekuwa mbaya.

Vipi kule Lebanon, Hezbollah walichukua tahadhari gani kuwalinda watu wao dhidi ya mashambulizi ya Israel? Kama si Israel kuona huruma na kuwatumia sms wahame hali ingekuwa mbaya zaidi. Hezbollah na Lebanon wako "uchi" kabisa
Akili zingine we hujui mpaa mda hu Hezbullah anapiga Military target tu sio wale mafala we unasema wanawaonea huruma 😄 Hizo nyumba alizo piga hakuna hata silaha walizo kuta hio ni huruma au kuwaonea watu sababu America anakupa silaha za bure na ndege zake zinapiga pia hapo hapo. Waonyeshe silaha wanapiga majumba mengine ya gas cylinder za kupikia ya kilipuka wanasema missiles za Hezbullah 😄

Israel kumshinda Hezbullah ni ndoto kumbuka Hezbullah hajanza lenga majumba ya raia na silaha zake kali bado hajanza kuzitumia.
 
Lebanon ndio Nchi ya kiarabu yenye wakristo wengi kama hufahamu. Endelea kujifajiri Israel wanaua "kobazi"
Hizbolani kobazi,wakristo wengi wameikimbia hiyo nchi na kuishi kaskazini milimani,huko kusini wamejaa kobazi washenzi
 
Intelijensia yetu inaonyesha siraha zimefichwa maeneo hayohayo unayosema ni makazi ya raia. Hizi ndo mbinu za kivita mzee so Kaa Kwa kutulia, watu hawapigi kizembekizembe. Unaweza kushambulia ikulu ukadhani kwamba umefanikiwa kumuua rais kwa kuamini kwamba Rais hukaa ikulu kumbe hayupo hapo.
Hakuna cha intelijensia wala nini.
Siku zote Israel huwa inaleta justification ya kushambulia raia ili ku install fear kwa wapiganaji husika.
Labda kama MTOTO WA JUZI hufahamu kitu kuhusu hawa jamaa.
Nikupe homework ndogo tu hapo chini.
Screenshot_2024-09-23-16-35-01-73_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-23-16-36-14-80_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-23-16-30-03-53_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-23-16-30-49-13_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Israeli ni makatili sana, wanauwa watu na watoto wasio na hatia. Inatisha.
Wawauwe hezibula sio watoto wasio na kosa, kuuuwa watoto ni LAANA.
 
Back
Top Bottom