Hisbollah analenga kambi za jeshi, wao kambi zao za jeshi zipo kwenye majengo ya civilians, unategemea zikipigwa civilians waokoke vipi?Vita yoyote ile wa natakiwa wapigane makundi husika, ila hao Israel wapo busy kuua wasio na hatia, wanawake, watoto, wazee etc.
UNAFKIRI Hezbollah hana uwezo wa kuua raia wa Israel wa kawaida? Anao ila angalau wao wana ubinadamu wanapigana na Jeshi la Israel na sio raia wa Israel.