stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Eti viazi la nitume 😂😂🙃 akili mlipeleka wapiTatizo Lugha
View attachment 3104602
Unahisi Mwarabu Mkristo hasemi Allahu Akbar? Hata Tanzania Makanisa kibao wanasema Allahu Akbar sema tu kwa Lugha nyengine.
Na hata kabla ya Mtume wetu Yesu alivaa hivyo mnvyoita Vipedo pia Musa na mtume wengine
View attachment 3104611
Hilo ni vazi la mitume,
Na mpaka leo ni kWaida kuwa kuta wamevaa Kabisani the so called vipedo
View attachment 3104631
Ila sababu ya ushamba wenu kutojua dini yenu na kukaririshwa Mila za Ulaya kama ndio Ukristo munashangaa mkiona mtu kavaa kanzu fupi ambalo ni Vazi la Kibiblia.
Kweli jana Hezbollah walijitutumua ila wamekuta Israel wamejipanga. Israel wamewazidi akili mbali.
Kabadilishe Biblia na Torah basi mtoe hivyo vifunguEti viazi la nitume 😂😂🙃 akili mlipeleka wapi
Utakua mgeni wa Hizbollah anazipigaje iron Dome, kila siku zinafanywa hivyo hivyo, vinatangulizwa virocket mpaka Battery ziishe halafu makombora yanafuatia, sio mara ya kwanza wala ya pili Hezbollah kubypass iron dome.Kweli jana Hezbollah walijitutumua ila wamekuta Israel wamejipanga. Israel wamewazidi akili mbali.
1. Nchi ina mfumo wa ving'ora; rocket zinapokuja ving'ora vinalia wananchi wanachukua tahadhari/hatua. Hii akili ya juu kuwalinda raia.
2. Hapo rocket nyingi zimedunguliwa na Iron dome. Zingefika zote hali ingekuwa mbaya.
Vipi kule Lebanon, Hezbollah walichukua tahadhari gani kuwalinda watu wao dhidi ya mashambulizi ya Israel? Kama si Israel kuona huruma na kuwatumia sms wahame hali ingekuwa mbaya zaidi. Hezbollah na Lebanon wako "uchi" kabisa
Hizbolla wamelitafuta wamelipata hatutaki kusikia play for LebanonAt least 50 people have been killed and more than 300 wounded by Israeli air strikes in Lebanon, the ministry of health said Monday.
Also read >Wakazi wa Kusini mwa Lebanon wamepokea SMS zikiwataka kuhama kwenye nyumba zao
View attachment 3104244
Smoke billows over southern Lebanon following Israeli air attacks [Aziz Taher/Reuters]
Published On 23 Sep 202423 Sep 2024
Israeli air attacks on southern Lebanon have killed at least 50 people and wounded more than 300, according to the Lebanese Ministry of Public Health.
Children, women and medics were among the victims in Monday’s attacks that came after Israel told residents of southern Lebanon to evacuate from homes and other buildings where it claimed Hezbollah had stored weapons, saying the military would conduct “extensive strikes” against the group.
Lebanese media also reported that residents received text messages telling them to move away from any building where Hezbollah stores arms until further notice.
The warnings were the first of their kind in nearly a year of steadily escalating conflict that has forced the displacement of communities on both sides of the border.
On Sunday, Hezbollah launched about 150 rockets, missiles and drones into northern Israel in retaliation for strikes that killed a top commander and dozens of fighters.
The increasing strikes and counterstrikes have raised fears of an all-out war.
With Israel’s war on Gaza approaching the one-year mark, Hezbollah has decided to continue its strikes in solidarity with the Palestinians in the besieged and bombarded territory even as Israel says it is committed to returning calm to its northern border.
Source: Photos: Israeli air raids hit wide swaths of southern Lebanon, kill dozens
Intelijensia yetu inaonyesha siraha zimefichwa maeneo hayohayo unayosema ni makazi ya raia. Hizi ndo mbinu za kivita mzee so Kaa Kwa kutulia, watu hawapigi kizembekizembe. Unaweza kushambulia ikulu ukadhani kwamba umefanikiwa kumuua rais kwa kuamini kwamba Rais hukaa ikulu kumbe hayupo hapo.Kuna swali nawauliza hawa wagalatia humu ndani wanashindwa kujibu.
Kambi za Hizbollah zinajulikana zipo umbali wa kilometa 50+ na makazi ya raia,kwanini Israel iache kushambulia kambi za hizbollah na ishambulie makazi ya raia wa kawaida!!??
WAGALATIA NAOMBENI MAJIBU TAFADHALI.
HIMARS.
Iyerdoi.
Marcopolo
Nguo yeyote kwa Mwanaume isivuke kifundo.Mtume alisisitiza tuvae niswfu saaq.
Kanzu ama nguo yeyote isivuke kifundo cha mguu.
Akili zingine we hujui mpaa mda hu Hezbullah anapiga Military target tu sio wale mafala we unasema wanawaonea huruma 😄 Hizo nyumba alizo piga hakuna hata silaha walizo kuta hio ni huruma au kuwaonea watu sababu America anakupa silaha za bure na ndege zake zinapiga pia hapo hapo. Waonyeshe silaha wanapiga majumba mengine ya gas cylinder za kupikia ya kilipuka wanasema missiles za Hezbullah 😄Kweli jana Hezbollah walijitutumua ila wamekuta Israel wamejipanga. Israel wamewazidi akili mbali.
1. Nchi ina mfumo wa ving'ora; rocket zinapokuja ving'ora vinalia wananchi wanachukua tahadhari/hatua. Hii akili ya juu kuwalinda raia.
2. Hapo rocket nyingi zimedunguliwa na Iron dome. Zingefika zote hali ingekuwa mbaya.
Vipi kule Lebanon, Hezbollah walichukua tahadhari gani kuwalinda watu wao dhidi ya mashambulizi ya Israel? Kama si Israel kuona huruma na kuwatumia sms wahame hali ingekuwa mbaya zaidi. Hezbollah na Lebanon wako "uchi" kabisa
Hizbolani kobazi,wakristo wengi wameikimbia hiyo nchi na kuishi kaskazini milimani,huko kusini wamejaa kobazi washenziLebanon ndio Nchi ya kiarabu yenye wakristo wengi kama hufahamu. Endelea kujifajiri Israel wanaua "kobazi"
We unaishabikia Hizbollah kwa sababu ya dini yako ya Kiislamu na si vinginevyo.Uislamu umeingiaje hapa?
Hakuna cha intelijensia wala nini.Intelijensia yetu inaonyesha siraha zimefichwa maeneo hayohayo unayosema ni makazi ya raia. Hizi ndo mbinu za kivita mzee so Kaa Kwa kutulia, watu hawapigi kizembekizembe. Unaweza kushambulia ikulu ukadhani kwamba umefanikiwa kumuua rais kwa kuamini kwamba Rais hukaa ikulu kumbe hayupo hapo.
Hata waende kuua Wakristo Vatican au Marekani bado nipo na Israel.Lebanon ndio Nchi ya kiarabu yenye wakristo wengi kama hufahamu. Endelea kujifajiri Israel wanaua "kobazi"
Allah hana uwezo wa kujipigania😭😭😭Hizbollar ni waislam wanampigania allah
Akili zako hazifanyi kazi vizuri.Hata waende kuua Vatican au Marekani bado nipo na Israel.
Anapiganiwa na wafuasi wake alqaeda, alshabaab, bokoharam, isis, Islamic Jihad, Hezbollah, Hamas, Taleban, ansaar sunna, jamiya islamiya etcAllah hana uwezo wa kujipigania😭😭😭
Ungekuwa unajua hivo vita vinavoendeshwa hata usingeandika hikiIsraeli ni makatili sana, wanauwa watu na watoto wasio na hatia. Inatisha.
Wawauwe hezibula sio watoto wasio na kosa, kuuuwa watoto ni LAANA.