Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

2006 Israel alikimbizwa Lebanon.
Kaa usilisahau hilo.
Ukisema alikimbizwa sijui unamaanisha nini ila kupitia sources mbalimbali zinasema IDF alishaingia Lebanon na kufanya chochote alichokuwa anataka kukifanya kama ilivyo Gaza kwasasa na waliamua kuondoka Lebanon kwa shinikizo la umoja wa mataifa.

Sidhani kama Kuna vita ambayo Hizbullah amepata hasara kubwa kamaa hii inayoendelea kwasasa na inavyooneka UN watatia shinikizo IDF wasitishe kushambulia Lebanon alafu mwakani mtakuja tena mmseme IDF walishindwa vibaya kwenye vita vya 2024.
 
Jamaa ni muongo Sana
Unazungumziaje na tukio la 2023 la Israel kuua raia wao wenyewe??
Tena ripoti inaeleza wale raia baada ya kutoroka mikononi mwa Hamas walivua mashati na kuyapeperusha juu kama ishara ya kutaka msaada.Wao wakawawasha risasi.

Ndugu yangu nataka jibu.
 
Kwahiyo itakua

Jamaa wafanya chokochoko toka kwenye makazi ya raia alafu wanalazimisha IDF ikapige magofu ya kambi zao
Inachekesha kuona Hezbollah wa mchambawima anawapangia IDF wapi washambulie
Inshort mayahudi hayachezei silaha hovyo hovyo kama mahasimu wao
 
Mkuu nilishakuonya usiongee kama hauna ujuzi na kitu.
Israel iliondoka Lebanon kwa shinikizo la UN mwaka 2000 kamili.
Mwaka 2006 Israel ilikamata wana hizbollah wanne na kuwaweka kifungoni.
Hizbollah ilivamia patrol ya mpakani na Israel na kuua askari nane na kukamata wanne.Walitaka jamaa zao wanne waachiwe kwa mabadilishano ya askari wa IDF.
Israel ikagoma na kuanza mashambulizi ya anga kwa Lebanon.
Ndipo walipoamua kuingia kwa miguu ili wakomboe askari wao na waweke BUFFER ZONE Bint Jubeir.
Hilo likashindikanika walikutana na upinzani mzito pale Bint jubeir dhidi ya Hibzollah.
Hilo liliwapelekea warudi nyuma hadi Shebah farms,ndio USA akawaita mezani ili asuluhishe na mateka warudishwe kila upande.
Israel ilipata hasara ya mateka wawili kufa kwa majeraha ila Hizbollah ilipata watu wake wote wazima.
2006 Israel Bint Jubeir alikimbia kwa kushindwa mapambano sio kwa shinikizo la UN.
Shinikizo la UN lilikua 2000.
Usichanganye habari hapa.
 
Huko Gaza ndio useseme kabisa ukiona raia wamerundikana sehemu basi ujue hapo Kuna Hamas wa kutosha na Huwa wakati mwingine wanalazimishwa kuwepo hapo kama Kinga na wengine wenye akili ndogo wanafanya kwa utashi wao.

Narudia tena Israel huwa hafanyi mashambulizi ovyo ovyo na ndio maana Kila shambulio wanalofanya lazima watangaze na wanakupa sababu kwann wameshambulia na matokeo ya shambulio.

Unachotakiwa kujua hiyo ni vita sio nage Kuna wakati kinakuwa na miscalculation mpaka hata waisrael wenyewe wanauliwa na IDF ila uzuri ni kwamba mnapewa taarifa ya tukio na mapambano yanaendelea.
 
Mkuu akili yako imechoka pumzika waje wengine.
 
Lkn kusema pia jana ktk Israeli walikufa askari 2 pia akuna mwenye uhakika mana wanaficha majanga yao lkn ili ujue walipokea kipondo kikubwa ww angalia majibu yao baada ya tukio. Kama kweli askari ni wamekufa 2 naamini wasingejibu ivi. Tujiongeze kidogo
 
Mkuu umeanza porojo sasa.
Acha porojo basi unaondoa ladha ya mijadala.
Hao raia unaosema wanachanganyika na Hamas wengi wanaokufa ni wanawake na wazee na watoto.Na hapo wanapokufa hakuna ushahidi wa risasi wala kisu kuleta ushahidi kuwa Hamas walikuwepo.

*Hujanijibu kuhusu waandishi wa habari waliouliwa wakiwa NJE KABISA NA ENEO LA MAPIGANO.
*Haujanijibu kuhusu wanawake wawili waliopigwa risasi na sniper.
Bro hivi sniper anayepima range anaye lock target naye ana miscalculation!??
Bro SNIPER ANA MISCALCULATION NA YEYE!???
AAAAGH MKUU UMEZIDI SASA.
 
Hawa Hezbullah mafala sana, wao Israel wanau Raia, nyie mnapiga askari pigeni Raia wao pia uwaone kama atagusa tena Lebanon. Hata uislam unakuambia anaye kushambulia mshambulie vile vile.
Nilikuuliza humu jana anao uwezo wa kuwafikia raia wa Israel? Kwa niwajuavyo dini ile wanavyopenda damu wangepata upenyo huo wangesambaza upendo wa chinja chinja
 
Nijibu swali kaka huko kumcha Mungu mimi hakunihusu.
Hii mada sio ya kidini ni ya kidiplomasia.
Nasubiri jibu kaka.
Swali huna, issue ya kupiga raia na kuacha kambi ya jeshi ni wao wameona wafanye hivyo na kama Hizbollah wana uwezo wa kufanya hivyo ni wao wataona wachukue hatua gani lakini jua ya kwamba hakuna wa kumshinda Israel mpaka kiama hilo lipo wazi we endelea kuifuatilia na hii ya Hizbollah utaona nini kitatokea Hilo ndilo jibu langu ikiwa wao wanaweza wajibu mapigo kivyovyote waonavyo wao kama wana huo ubavu.
 
Basi hakuna aliyekufa.
 
Umeulizwa lingine unajibu lingine.
Nimekuuliza unajua chanzo cha Oktoba 7?
Hujajibu unajibu swala lingine ambalo pia hulijui.
Kama Israel haiwezi kupigwa basi 2006 wasingepigwa na kuondoshwa Bint Jubeir na hawa hawa Hizbollah.
Chanzo cha Oktoba 7 ni uvamizi wa IDF Khani Younis August 23 kwa kuharibu mashamba ya wabedui na kukanyaga wabedui na vifaru.
Nikuache na hilo.
Uwe na wakati mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…