Vipedo si Mila za Uarabuni ni Mila za Mitume
Hii Royal family ya saudi
View attachment 3104666
View attachment 3104667
Unaona kanzu zao?
Wote Yesu na Mtume wa Waisilamu wamekata kitu kimoja.
Wakati wa Yesu matajiri walikua wakivaa hadi zinaburuzika Chini Yesu akasema
He wore a tunic (chitōn), which for men normally finished slightly below the knees, not at the ankles. Among men, only the very rich wore long tunics. Indeed, Jesus specifically identifies men who dress in long tunics (“stolai”, Mark 12:38) as wrongly receiving honour from people who are impressed by their fine attire, when in fact they unjustly devour widows’ houses.
Same Kwa mtume wa waisilamu aliasa watu kuvaa nguo zinazoburuzika kwa kiburi.
Hivyo hao wanaovaa nguo fupi si mtindo wa waarabu bali wa mitume na mafundisho yao, waarabu wengi majoho yao yanaburuzika chini.