Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Hivi hakuna wa kuwapooza hao wayahudi wawasamehe hao waarabu?
Wapo wengi ila lakini ujue Myahudi katika hali iliyopo sasa, amechafukwa, amejaa hasira kali sana kwa hiyo wanasubiri kwanza Myahudi atoe usongo kwa Waarabu walau kidogo halafu ndipo waweze kuongea naye. Kwa sasa Myahudi hasikii la mwadhini wala la mchota maji. Ni kutembeza kipondo tuu.
 
Hahaha Leo unawaita Mafala wakati waliua watoto wa kiarabu wakicheza soccer? na Nyumba za raia wamezilipua Israel aajua mapema kabla hawajarusha maokomboa so huwaambia raia waingie kwenye safe place... hujasia jana vifo vya 30 Cows zizini?

Kuna Nyumba jana imeisha yote raia walikuwa kwenye safe hause wanatoka hamna nyumba... furahi basi Nyumba imelipuliwa maana ndio mnapenda majanga kwa Israel ila Mjue mnalaniwa nyie na majanga yanakuwa mengi kwenu..

Tatizo lenu mnajau kabisa hamuwezi kuwashinda Israel why mnataka kupigana? and vita anavyotaka Hezbollah anapata faida gani ? na vita ya Gaza inamhusu nini?

And Nikupe Pole vipi Sinwar anaendeleaje maana uvimu umezuka kuwa kadedishwa na bomu so wanahangaika kuchambua nyama kujua kama ni yeye au lah.. maana hata yule aliyekuwa akimpelekea news hapatikani hewani au charge ya Beeper imeisha
Nimewaita mafala sababu Israel anauwa rai wao wanauwa askari, lakini sina wasi wasi nao kabisa Israel hawezi kuwashinda vita Hezbullah hata siku moja time will tell.

Wewe Israel lini alishinda vita wewe hio kupiga Lebanon sababu America kawapelekea maboom mengi wanadhani kupiga majumba ndio watashinda vita au kuwauwa raia.

Israel ni taifa linalo enda kinyume kabisa na sheria za dunia yote sababu imepandikizwa pale kwa manufaa ya Western.
 
Nimewaita mafala sababu Israel anauwa rai wao wanauwa askari, lakini sina wasi wasi nao kabisa Israel hawezi kuwashinda vita Hezbullah hata siku moja time will tell.

Wewe Israel lini alishinda vita wewe hio kupiga Lebanon sababu America kawapelekea maboom mengi wanadhani kupiga majumba ndio watashinda vita au kuwauwa raia.

Israel ni taifa linalo enda kinyume kabisa na sheria za dunia yote sababu imepandikizwa pale kwa manufaa ya Western.
Sasa shida nini waarabu wanashindwa kukafyeka haki ka nchi ka Israel au wanakaogopa maana Kila siku kanatoa dozi ya vilio Kwa wavaa kobazi🤣🤣🤣🤣
 
Hivi hakuna wa kuwapooza hao wayahudi wawasamehe hao waarabu?
Wapo wengi tuu, ila kwa sasa Myahudi amechafukwa sana na ana hasira kali mno na hao waarabu. Hao wenye nia ya kuwapooza wayahudi wanasubiri kidogo myahudi atoe usongo dhidi ya waarabu halafu akishapoa walau kidogo, ndipo waongee naye. Ila kwa sasa mh'! ni ngumu aisee.
 
Wapo wengi tuu, ila kwa sasa Myahudi amechafukwa sana na ana hasira kali mno na hao waarabu. Hao wenye nia ya kuwapooza wayahudi wanasubiri kidogo myahudi atoe usongo dhidi ya waarabu halafu akishapoa walau kidogo, ndipo waongee naye. Ila kwa sasa mh'! ni ngumu aisee.
Duh sasa si watauliwa sana kama makuku
Kuna mtu aliniambiaga kuituliza hasira ya muisraeli sio jambo dogo
 
Nimewaita mafala sababu Israel anauwa rai wao wanauwa askari, lakini sina wasi wasi nao kabisa Israel hawezi kuwashinda vita Hezbullah hata siku moja time will tell.

Wewe Israel lini alishinda vita wewe hio kupiga Lebanon sababu America kawapelekea maboom mengi wanadhani kupiga majumba ndio watashinda vita au kuwauwa raia.

Israel ni taifa linalo enda kinyume kabisa na sheria za dunia yote sababu imepandikizwa pale kwa manufaa ya Western.
Hezbollah wameitaka hii vita sana kwa kufanya mashambulizi ya mara kwa mara ndani ya Israel. Nchi husika hazikukemea uchokozi huu bali walipiga kimya, sasa Israel kajibu tunaanza kusema Israel anaua wanawake na watoto. Wewe ni vita gani unaijua ambayo wanawake na watoto hawakufa?
 
Kama kawaida Jf Imejaa vilaza na waropokaji.
Shambulizi la jana lililofanyika lilifanyika kwenye kambi zao za Hizbollah.
Na hakuna hizbollah aliyekimbia uraiani,kambi ipo na ipo functional.
Israel kuua raia wa kawaida ni kawaida yake.
Aliua hata raia wake mwaka jana hapo Gaza.
Aliua hata France official mwaka jana Palestina.
Huwenda naongea na mtoto wa kijiweni.
Ujinga wenu kichwani unaondoa ladha ya kujifunza hapa JF.
Hivi wewe unajua vita havina macho au wewe unaongea tu kwa sababu ya udini. Unajua wakati wa vita vya Tanzania na Uganda Tanzania ilidungua ndege zake mbili pale Musoma na kuua marubani.
 
Nimewaita mafala sababu Israel anauwa rai wao wanauwa askari, lakini sina wasi wasi nao kabisa Israel hawezi kuwashinda vita Hezbullah hata siku moja time will tell.

Wewe Israel lini alishinda vita wewe hio kupiga Lebanon sababu America kawapelekea maboom mengi wanadhani kupiga majumba ndio watashinda vita au kuwauwa raia.

Israel ni taifa linalo enda kinyume kabisa na sheria za dunia yote sababu imepandikizwa pale kwa manufaa ya Western.
1. Si kweli Hezbollah wanawalenga IDF tu bali hawana uwezo wa kuwafikia wananchi wa Israel. Nyumba zote za Israel zina mahandaki so wakati wa hatari king'ora kinalia wanaingia. Na leo wamehamishwa na serikali yao. Israel hawalengi raia ndio maana wanatangazia kabisa wahame. Lini Hamas au Hezbollah imewahi kuwatangazia Waisrael wahame kabla hawajashambulia?

2. Kama ambavyo Israel inapata msaada toka USA, Hezbollah wanapata toka Iran, Lebanon na washirika wengine. Ni kwamba wanazidiwa uwezo, maarifa na teknolojia. Wenzao wakati wanachimba madesa, wao wanasoma madrasa.
 
Hawa Hezbullah mafala sana, wao Israel wanau Raia, nyie mnapiga askari pigeni Raia wao pia uwaone kama atagusa tena Lebanon. Hata uislam unakuambia anaye kushambulia mshambulie vile vile.
Pole sana kwa kipigo bado hujasema
 
Vipedo si Mila za Uarabuni ni Mila za Mitume

Hii Royal family ya saudi
View attachment 3104666
View attachment 3104667

Unaona kanzu zao?

Wote Yesu na Mtume wa Waisilamu wamekata kitu kimoja.

Wakati wa Yesu matajiri walikua wakivaa hadi zinaburuzika Chini Yesu akasema

He wore a tunic (chitōn), which for men normally finished slightly below the knees, not at the ankles. Among men, only the very rich wore long tunics. Indeed, Jesus specifically identifies men who dress in long tunics (“stolai”, Mark 12:38) as wrongly receiving honour from people who are impressed by their fine attire, when in fact they unjustly devour widows’ houses.

Same Kwa mtume wa waisilamu aliasa watu kuvaa nguo zinazoburuzika kwa kiburi.

Hivyo hao wanaovaa nguo fupi si mtindo wa waarabu bali wa mitume na mafundisho yao, waarabu wengi majoho yao yanaburuzika chini.
Bwege wewe kitu usicho kijua bora unyamaze kuliko kuketa uwongo, Mtume Muhammad alikataza watu kuvaa kazi kupita kifundo cha mguu. Hata alisema wanao vaa kanzu zinaburuza chini salaa zao hazikubaliki.
 
Israel hana mamlaka yoyote yale kwa Sheria ya kimataifa kuwaambia raia wa Nchi yoyote ile aondoke Nchini kwao.

Leo Kagame ama Museveni akiwaambia watu wa Mkoa wa Kagera waondoke halafu wa kapiga Kagera itakua wenye Tatizo NI Tanzania?
Wewe unajiongelesha tu ingekuwa we ungebakia ufe kizembe? kisa sheria za kimataifa zitakulinda hizo dhidi ya kipindo cha Israel?
 
1. Si kweli Hezbollah wanawalenga IDF tu bali hawana uwezo wa kuwafikia wananchi wa Israel. Nyumba zote za Israel zina mahandaki so wakati wa hatari king'ora kinalia wanaingia. Na leo wamehamishwa na serikali yao. Israel hawalengi raia ndio maana wanatangaza kabisa wahame. Lini Hamas au Hezbollah imewahi kuwatanga Waisrael wahame kabla hawajashambulia?

2. Kama ambavyo Israel inapata msaada toka USA, Hezbollah wanapata toka Iran, Lebanon na washirika wengine. Ni kwamba wanazidiwa uwezo, maarifa na teknolojia. Wenzao wakati wanachimba madesa, wao wanasoma madrasa.
Very true, nakubaliana na wewe kuwa waarabu hawajawahi kuwa na huruma na kiumbe yeyote aitwaye myahudi... Iguess hata kakijitabu kao kanakataa.. Ni mwiko
 
Back
Top Bottom