Israel yaichakaza miundombinu ya magaidi wa Houthi na kumjeruhi mkuu wa WHO

Israel yaichakaza miundombinu ya magaidi wa Houthi na kumjeruhi mkuu wa WHO

Una C&P inaonekana hata huijui hii vita vizuri.
Jordan hakupigana vita ya siku sita bali alihusika na mapigano ya nyuma ya tangu 1955 kuja 1967 yaliyochangia vita ya siku sita.
Rudi kasome tena ulipo C&P.
Nimesema waarabu sijataja nchi, hizo nchi nyingine ziliunga mkono wenzao tu.
 
Kama waliunga m
Kama hujui kitu nyamaza tu.
Vita ya six days war ilihusisha Israel kulipua Egypt airbase ya Sinai peninsula na kuiteka Sinai yote baada ya kulipua airbase ya Egypt.
Vita ikaamia Gollan heights kwa Syria ambako Israel alifanya shambulizi la anga zito na kuiteka Gollan heights.
Kipindi Israel inajiandaa kizidisha mashambulizi hadi Central Syria rais wa USA Lyndon Johnson aliwazuia Israel wasiendelee na mashambulizi.
Israel ndio ikaweka buffer zone Gollan heights na hawajairudisha hadi sasa.
Sinai wamekuja kuirudisha baada ya vita ya Yomkippur war baada ya Egypt kuwapora 70% ya ardhi 30% iliyobaki ikaja kurejeshwa kwa mkataba wa Camp david.

Waarabu gani wote unaowasemea wewe walipigana na Israel!?
Egypt na Syria ndio waarabu wote!??
Kama waliwaunga mkono maana yake nini? Wamepigwa wote, tuache ubishi usiojenga. Kama lengo ni ubishi basi umeshinda! Hatuonyeshani uhodari wa kubishana, haina maana.
Sijapotosha maana.
 
Mwabeshi alifuata nini huko Yemen? kila anayeishi middle east ni kwa hisani ya myahudi. Myahudi akiamua kumuondoa yeyote ni kama kutema mate.
Kwani hata ninabishi basi?

Kiongozi wa Hamas kwenda kuchinjiwa Tehran jirani kabisa na makazi matakatifu ya mheshimiwa Ayatollah, mi sina hamu nao.
 
Kama waliunga m

Kama waliwaunga mkono maana yake nini? Wamepigwa wote, tuache ubishi usiojenga. Kama lengo ni ubishi basi umeshinda! Hatuonyeshani uhodari wa kubishana, haina maana.
Sijapotosha maana.
Nani alimuunga mkono nani!?
Hata mimi sibishani mkuu nakuasa rudi kasome upya.
Vita ya six days war Misri alijiandaa kijeshi na Syria ili kushambulia Israel kwa kushtukiza.
Israel ikapata intel kuwa Misri imenunua fighter jets pamoja na attacking helicopters 200+ kutoka Soviet/Russia pale Sinai Peninsula ikijiandaa na uvamizi dhidi ya Israel.
Israel ndio ikawahi ku press button kwa mashambulizi ya anga.
Nakusihi kasome tena kwa umakini.
Hakukuwa na confrontation bali kulikua na Israel kushambulia Misri na Syria.
Uwe na jioni njema mkuu.
 
Kwanza jifunze kuandika kwa ufasaha. Pili mchungaji wangu ni Yesu anayeniongoza kwenye njia ya uzima. Kama Tel Avivu ilihimil balistics 200 za wahuni pasipo kupoteza hata mtu mmoja ni kitu gani kitakachoiangamiza?
Naww umeamini kweli akuna aliekufa!!!!
 
Jew anakata mirija kwanza halafu Kuna papa anaenda kupasuka.
 
Kwani hata ninabishi basi?

Kiongozi wa Hamas kwenda kuchinjiwa Tehran jirani kabisa na makazi matakatifu ya mheshimiwa Ayatollah, mi sina hamu nao.
Nasraallah alishi maisha ya siri kuliko digidigi. Makaz yake yalikuwa kwenye bunkers almost 20m chini ya surface, myahudi alipomwamulia ilibaki pete tu. Ayatoallah anaishi sababu myahudi hajaamua kumfanya target, ole wake ajichanganye.
 
Nasraallah alishi maisha ya siri kuliko digidigi. Makaz yake yalikuwa kwenye bunkers almost 20m chini ya surface, myahudi alipomwamulia ilibaki pete tu. Ayatoallah anaishi sababu myahudi hajaamua kumfanya target, ole wake ajichanganye.
Katika vitu ambavyo myahudi hatothubutu ni kumuua kiongozi wa dini wa kishia.
Kama Israel waliweza kumuua kiongozi wa Hamas katika safe house ya Tehran hawashindwi kumuua Ayatollah.
Ila hawatothubutu,ukitaka kuwaona mashia ni wafia dini ua kiongozi wao wa dhehebu lao la shia.
Aisee hadi watoto wenu watachinjwa.
Na ogopa sana shia wakianzisha vita ya kidini,sunni wenyewe wanajua mziki wa shia.
 
Kama hujui kitu nyamaza tu.
Vita ya six days war ilihusisha Israel kulipua Egypt airbase ya Sinai peninsula na kuiteka Sinai yote baada ya kulipua airbase ya Egypt.
Vita ikaamia Gollan heights kwa Syria ambako Israel alifanya shambulizi la anga zito na kuiteka Gollan heights.
Kipindi Israel inajiandaa kizidisha mashambulizi hadi Central Syria rais wa USA Lyndon Johnson aliwazuia Israel wasiendelee na mashambulizi.
Israel ndio ikaweka buffer zone Gollan heights na hawajairudisha hadi sasa.
Sinai wamekuja kuirudisha baada ya vita ya Yomkippur war baada ya Egypt kuwapora 70% ya ardhi 30% iliyobaki ikaja kurejeshwa kwa mkataba wa Camp david.

Waarabu gani wote unaowasemea wewe walipigana na Israel!?
Egypt na Syria ndio waarabu wote!??
Six-Day War, or Arab-Israeli War of 1967, War between Israel and the Arab countries of
1. Egypt,
2. Syria,
3. Jordan
.
4. Palestinian guerrilla
attacks on Israel from bases in Syria led to increased hostility between the two countries. A series of miscalculations by both sides followed.
 
Kama waliunga m

Kama waliwaunga mkono maana yake nini? Wamepigwa wote, tuache ubishi usiojenga. Kama lengo ni ubishi basi umeshinda! Hatuonyeshani uhodari wa kubishana, haina maana.
Sijapotosha maana.
Six-Day War, or Arab-Israeli War of 1967, War between Israel and the Arab countries of Egypt, Syria, and Jordan. Palestinian guerrilla attacks on Israel from bases in Syria led to increased hostility between the two countries. A series of miscalculations by both sides followed.
 
Katika vitu ambavyo myahudi hatothubutu ni kumuua kiongozi wa dini wa kishia.
Kama Israel waliweza kumuua kiongozi wa Hamas katika safe house ya Tehran hawashindwi kumuua Ayatollah.
Ila hawatothubutu,ukitaka kuwaona mashia ni wafia dini ua kiongozi wao wa dhehebu lao la shia.
Aisee hadi watoto wenu watachinjwa.
Na ogopa sana shia wakianzisha vita ya kidini,sunni wenyewe wanajua mziki wa shia.
Mlikuwa mnasema Iran haigusiki, mara ina nuclear na blah blah kibao. Mwisho wa siku yahudi katungua raisi, viongoz wa vikundi, vituo vya kijeshi ndani ya Iran na hakuna anayeongea. Siku Ayatoallah akijichanganya itakuwa ngumu kuilam Israel maana hakuna atakayejua ameondolewaje. Ukimchokoza myahudi haangalii cha shia wala sunni, yeye ni kutwanga tu.
 
Six-Day War, or Arab-Israeli War of 1967, War between Israel and the Arab countries of
1. Egypt,
2. Syria,
3. Jordan
.
4. Palestinian guerrilla
attacks on Israel from bases in Syria led to increased hostility between the two countries. A series of miscalculations by both sides followed.
Jordan na Palestine hawakupigana vita ya siku sita.
Bali walipigana vita za nyuma yake zilizochagiza vita ya siku sita.
 
Mlikuwa mnasema Iran haigusiki, mara ina nuclear na blah blah kibao. Mwisho wa siku yahudi katungua raisi, viongoz wa vikundi, vituo vya kijeshi ndani ya Iran na hakuna anayeongea. Siku Ayatoallah akijichanganya itakuwa ngumu kuilam Israel maana hakuna atakayejua ameondolewaje. Ukimchokoza myahudi haangalii cha shia wala sunni, yeye ni kutwanga tu.
Usitudanganye wewe acha uongo.
Rais wa Iran hakuuliwa na Israel.
Pia usijisahaulishe kuwa Iran ilifanya mashambulizi mawili ya visasi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Israel.
Usisahau miji ya Israel ilichakazwa kwa makombora ya Iran.
Sasa jiulize,kuuawa tu kwa kamanda wa Iran,Iran imerusha makombora zaidi ya 200 na yakapenya na kuleta madhara,je ukimuua kiongozi wao wa dini kitakukuta nini!??
Tena Israel yenyewe kuzuia hayo mashambulizi mataifa makubwa yalihusika France,Uk na USA.
Ikionesha Israel dhaifu isingeweza kuhimili mashambulizi yenyewe.
Kaa litafakari hilo,katika assassination zote kwanini hukuwahi kusikia kiongozi wa dini Iran hajauliwa.
Jikute una akili kuliko myahudi.
 
Jordan na Palestine hawakupigana vita ya siku sita.
Bali walipigana vita za nyuma yake zilizochagiza vita ya siku sita.
Six-Day War, or Arab-Israeli War of 1967, War between Israel and the Arab countries of
1. Egypt,
2. Syria,
3. Jordan
.
4. Palestinian guerrilla
attacks on Israel from bases in Syria led to increased hostility between the two countries. A series of miscalculations by both sides followed.
 
Six-Day War, or Arab-Israeli War of 1967, War between Israel and the Arab countries of
1. Egypt,
2. Syria,
3. Jordan
.
4. Palestinian guerrilla
attacks on Israel from bases in Syria led to increased hostility between the two countries. A series of miscalculations by both sides followed.
Wacha nikuletee article nzima ya six days war.
 
Jordan na Palestine hawakupigana vita ya siku sita.
Bali walipigana vita za nyuma yake zilizochagiza vita ya siku sita.
Screenshot_2024-12-27-22-19-00-908_com.android.chrome.jpg
 
Back
Top Bottom