Israel yaichakaza miundombinu ya magaidi wa Houthi na kumjeruhi mkuu wa WHO

Israel yaichakaza miundombinu ya magaidi wa Houthi na kumjeruhi mkuu wa WHO

images-8.jpeg
 
Kunywa chai na izo kwanza zengine zinakuja broo usimalize chai!!
 
kama wamepiga huyo muethiopia wayahudi watakuwa wamefurai sana, aliwasaliti sana vita vya gaza, si ukute walipiga airport wakiwa wanaelewa atapita hapo muda huo, wamemkoa, tushukuru Mungu amepona.
 
kama wamepiga huyo muethiopia wayahudi watakuwa wamefurai sana, aliwasaliti sana vita vya gaza, si ukute walipiga airport wakiwa wanaelewa atapita hapo muda huo, wamemkoa, tushukuru Mungu amepona.
 
Uyo mlembo ndio ivo vita kaamua kushika mtutu akauwe vitoto vya Palestine lkn ndio nayeye kalala milele amina!!!
 
Kwa sasa vita vimeisha, kinachoendelea ni safisha kuondoa makapi yaliyosalia. Israel kuwa unsafe ni moja ya maagizo na mission ya uislam kuhakikisha kila mahali panakuwa unsafe. Hata Somalia, north Nigeria mission ni moja.
Na wamefanikiwa au!?
 
Usiku wa leo hso Houthi wamepokea kichspo kutoka kwa US.
 
Kwa sasa vita vimeisha, kinachoendelea ni safisha kuondoa makapi yaliyosalia. Israel kuwa unsafe ni moja ya maagizo na mission ya uislam kuhakikisha kila mahali panakuwa unsafe. Hata Somalia, north Nigeria mission ni moja.
"Mission ni moja" = Kueneza dini kwa upanga na vitisho! Hiyo ndiyo dini ....
 
Kama waliunga m

Kama waliwaunga mkono maana yake nini? Wamepigwa wote, tuache ubishi usiojenga. Kama lengo ni ubishi basi umeshinda! Hatuonyeshani uhodari wa kubishana, haina maana.
Sijapotosha maana.
Hahahaaa,kwahiyo Ukraine akipigwa na Urusi,maana yake nini?Jibu kwa sauti😉
 
Back
Top Bottom