Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wamefanikiwa au!?Kwa sasa vita vimeisha, kinachoendelea ni safisha kuondoa makapi yaliyosalia. Israel kuwa unsafe ni moja ya maagizo na mission ya uislam kuhakikisha kila mahali panakuwa unsafe. Hata Somalia, north Nigeria mission ni moja.
Kina nani hao unaouliza kama wamefanikiwa?Na wamefanikiwa au!?
"Mission ni moja" = Kueneza dini kwa upanga na vitisho! Hiyo ndiyo dini ....Kwa sasa vita vimeisha, kinachoendelea ni safisha kuondoa makapi yaliyosalia. Israel kuwa unsafe ni moja ya maagizo na mission ya uislam kuhakikisha kila mahali panakuwa unsafe. Hata Somalia, north Nigeria mission ni moja.
Ndivyo walivyoagizwa na mnyazi mungu?"Mission ni moja" = Kueneza dini kwa upanga na vitisho! Hiyo ndiyo dini ....
Ficha ujinga wako.Taifa teule, hata kama wanakosea husamehewa. Na mwisho Mungu atawakomboa pamoja na kuwa wana shingo ngumu. Hayo ni Maandiko!
Mimi nimenukuu kwako, waulize wenye dini yao.Ndivyo walivyoagizwa na mnyazi mungu?
Hahahaaa,kwahiyo Ukraine akipigwa na Urusi,maana yake nini?Jibu kwa sauti😉Kama waliunga m
Kama waliwaunga mkono maana yake nini? Wamepigwa wote, tuache ubishi usiojenga. Kama lengo ni ubishi basi umeshinda! Hatuonyeshani uhodari wa kubishana, haina maana.
Sijapotosha maana.