Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Wenye dhamira yakulikosesha amani taifa la israel!?Kina nani hao unaouliza kama wamefanikiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye dhamira yakulikosesha amani taifa la israel!?Kina nani hao unaouliza kama wamefanikiwa?
Eti kaka Adiosamigo!!!! Anaitwa kobazi AdiosamigoKaka Adiosamigo kama unapicha za makamanda wa IDF waliokufa tusaidie tuma tuwakumbushe awa mana hii mijamaa miongo miongo itadai akuna viongozi muimu wa jesh adi sasa wamekufa kwenye IDF
Kuichokoza Israel ni kuitafuta hukumu ya kifo. Tangu October 7 magaidi wanapewa haki yao ya kutangulizwa akhera kwa upumbavu wao.Wenye dhamira yakulikosesha amani taifa la israel!?
Izo picha zote nimetuma ujue ni IDF kwasasa wapo chini ya ardh milele amina.Usiku wa leo hso Houthi wamepokea kichspo kutoka kwa US.
Hawa watu siku wajichanganye wapige himaya ya Urusi ndio utakuwa mwisho wao.Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom akiwa na wafanyakazi wengine wamenusurika kuuawa katika shambulio la anga, linalodaiwa kufanywa na ndege za kivita za Israel kwenye uwanja wa ndege wa Yemen, ambalo limesababisha vifo vya watu watatu na wengine kujeruhiwa.
Mhariri | @abuuyusuftz
#UTV108 #AzamTV #AdhuhuriLive
Izo picha nimetuma wote ni wapo matoni kwasasa nini kuchokoza watu wamewauwa kabisa na washafukiwa milele kwa mileleKuichokoza Israel ni kuitafuta hukumu ya kifo. Tangu October 7 magaidi wanapewa haki yao ya kutangulizwa akhera kwa upumbavu wao.
Nyie endeleen kuimba kuwapamba lkn watu awajui kuusu taifa teule wanapitanao na kuzikwa zivuli. Utaifa teule nibaki nao sisi tunajua wavamiz kutoka Ulaya. Dawa yao kuu mtutu watakufa adi wakimbie mwarabu taifa teule lisingevamia ardhi ya watu.Izo picha nimetuma wote ni wapo matoni kwasasa nini kuchokoza watu wamewauwa kabisa na washafukiwa milele kwa milele
Siyo mimi ni maandiko!Ficha ujinga wako.
WOTE WANAOMSAIDIA WANAPIGWA PAMOJA NAYE!Hahahaaa,kwahiyo Ukraine akipigwa na Urusi,maana yake nini?Jibu kwa sauti😉
Picha si nimetuma na ikiwa ulisaau wamekufa cIaDFEti kaka Adiosamigo!!!! Anaitwa kobazi Adiosamigo
Muimu picha nimetuma na nimekutendea aki ikiwa ulisaau IDF waliokufa nimekuwekea na idad 700+ apo au nitume na wengine?Eti kaka Adiosamigo!!!! Anaitwa kobazi Adiosamigo
Kama unajua lugha pata maelezo hapa jinsia askari wa kizayuni wamekumbwa na wimbi la woga na wasiwasiMkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom akiwa na wafanyakazi wengine wamenusurika kuuawa katika shambulio la anga, linalodaiwa kufanywa na ndege za kivita za Israel kwenye uwanja wa ndege wa Yemen, ambalo limesababisha vifo vya watu watatu na wengine kujeruhiwa.
Mhariri | @abuuyusuftz
#UTV108 #AzamTV #AdhuhuriLive
Ameuawa kipenzi chao, general soleyman na wakakaa kimya , bure kabisaKatika vitu ambavyo myahudi hatothubutu ni kumuua kiongozi wa dini wa kishia.
Kama Israel waliweza kumuua kiongozi wa Hamas katika safe house ya Tehran hawashindwi kumuua Ayatollah.
Ila hawatothubutu,ukitaka kuwaona mashia ni wafia dini ua kiongozi wao wa dhehebu lao la shia.
Aisee hadi watoto wenu watachinjwa.
Na ogopa sana shia wakianzisha vita ya kidini,sunni wenyewe wanajua mziki wa shia.
Hahahahaha 😆 😆 😆 Hisbollah imelemaa Hamas imekwisha Al Assad amefukuzwa sasa zamu ya Houthi kwa ufupi mikono ya Iran 🇮🇷 imekatwaKama unajua lugha pata maelezo hapa jinsia askari wa kizayuni wamekumbwa na wimbi la woga na wasiwasi
![]()
IDF refusers: The men who volunteered but now won't fight in Gaza
Some of those who reported for duty after October 7 explain why they are now refusingwww.bbc.com
Mbona hajamuondoa Khamenei??Mwabeshi alifuata nini huko Yemen? kila anayeishi middle east ni kwa hisani ya myahudi. Myahudi akiamua kumuondoa yeyote ni kama kutema mate.
Kwa kosa lipi?Mbona hajamuondoa Khamenei??
Kwani hao wengine walioondolewa ilitangazwa wataondolewa lini? We subiri, "time will tell".Kwa kosa lipi?
Siku akijaa kwenye mfumo huenda isijulikane kaondolewa kwa kitu gani. Yule Rais wa Iran hadi leo kuna watu wanaamini ilikuwa ajali ya kawaida tu.Kwani hao wengine walioondolewa ilitangazwa wataondolewa lini? We subiri, "time will tell".