Israel yaichakaza miundombinu ya magaidi wa Houthi na kumjeruhi mkuu wa WHO

Una C&P inaonekana hata huijui hii vita vizuri.
Jordan hakupigana vita ya siku sita bali alihusika na mapigano ya nyuma ya tangu 1955 kuja 1967 yaliyochangia vita ya siku sita.
Rudi kasome tena ulipo C&P.
Nimesema waarabu sijataja nchi, hizo nchi nyingine ziliunga mkono wenzao tu.
 
Kama waliunga m
Kama waliwaunga mkono maana yake nini? Wamepigwa wote, tuache ubishi usiojenga. Kama lengo ni ubishi basi umeshinda! Hatuonyeshani uhodari wa kubishana, haina maana.
Sijapotosha maana.
 
Mwabeshi alifuata nini huko Yemen? kila anayeishi middle east ni kwa hisani ya myahudi. Myahudi akiamua kumuondoa yeyote ni kama kutema mate.
Kwani hata ninabishi basi?

Kiongozi wa Hamas kwenda kuchinjiwa Tehran jirani kabisa na makazi matakatifu ya mheshimiwa Ayatollah, mi sina hamu nao.
 
Kama waliunga m

Kama waliwaunga mkono maana yake nini? Wamepigwa wote, tuache ubishi usiojenga. Kama lengo ni ubishi basi umeshinda! Hatuonyeshani uhodari wa kubishana, haina maana.
Sijapotosha maana.
Nani alimuunga mkono nani!?
Hata mimi sibishani mkuu nakuasa rudi kasome upya.
Vita ya six days war Misri alijiandaa kijeshi na Syria ili kushambulia Israel kwa kushtukiza.
Israel ikapata intel kuwa Misri imenunua fighter jets pamoja na attacking helicopters 200+ kutoka Soviet/Russia pale Sinai Peninsula ikijiandaa na uvamizi dhidi ya Israel.
Israel ndio ikawahi ku press button kwa mashambulizi ya anga.
Nakusihi kasome tena kwa umakini.
Hakukuwa na confrontation bali kulikua na Israel kushambulia Misri na Syria.
Uwe na jioni njema mkuu.
 
Kwanza jifunze kuandika kwa ufasaha. Pili mchungaji wangu ni Yesu anayeniongoza kwenye njia ya uzima. Kama Tel Avivu ilihimil balistics 200 za wahuni pasipo kupoteza hata mtu mmoja ni kitu gani kitakachoiangamiza?
Naww umeamini kweli akuna aliekufa!!!!
 
Jew anakata mirija kwanza halafu Kuna papa anaenda kupasuka.
 
Kwani hata ninabishi basi?

Kiongozi wa Hamas kwenda kuchinjiwa Tehran jirani kabisa na makazi matakatifu ya mheshimiwa Ayatollah, mi sina hamu nao.
Nasraallah alishi maisha ya siri kuliko digidigi. Makaz yake yalikuwa kwenye bunkers almost 20m chini ya surface, myahudi alipomwamulia ilibaki pete tu. Ayatoallah anaishi sababu myahudi hajaamua kumfanya target, ole wake ajichanganye.
 
Nasraallah alishi maisha ya siri kuliko digidigi. Makaz yake yalikuwa kwenye bunkers almost 20m chini ya surface, myahudi alipomwamulia ilibaki pete tu. Ayatoallah anaishi sababu myahudi hajaamua kumfanya target, ole wake ajichanganye.
Katika vitu ambavyo myahudi hatothubutu ni kumuua kiongozi wa dini wa kishia.
Kama Israel waliweza kumuua kiongozi wa Hamas katika safe house ya Tehran hawashindwi kumuua Ayatollah.
Ila hawatothubutu,ukitaka kuwaona mashia ni wafia dini ua kiongozi wao wa dhehebu lao la shia.
Aisee hadi watoto wenu watachinjwa.
Na ogopa sana shia wakianzisha vita ya kidini,sunni wenyewe wanajua mziki wa shia.
 
Six-Day War, or Arab-Israeli War of 1967, War between Israel and the Arab countries of
1. Egypt,
2. Syria,
3. Jordan
.
4. Palestinian guerrilla
attacks on Israel from bases in Syria led to increased hostility between the two countries. A series of miscalculations by both sides followed.
 
Kama waliunga m

Kama waliwaunga mkono maana yake nini? Wamepigwa wote, tuache ubishi usiojenga. Kama lengo ni ubishi basi umeshinda! Hatuonyeshani uhodari wa kubishana, haina maana.
Sijapotosha maana.
Six-Day War, or Arab-Israeli War of 1967, War between Israel and the Arab countries of Egypt, Syria, and Jordan. Palestinian guerrilla attacks on Israel from bases in Syria led to increased hostility between the two countries. A series of miscalculations by both sides followed.
 
Mlikuwa mnasema Iran haigusiki, mara ina nuclear na blah blah kibao. Mwisho wa siku yahudi katungua raisi, viongoz wa vikundi, vituo vya kijeshi ndani ya Iran na hakuna anayeongea. Siku Ayatoallah akijichanganya itakuwa ngumu kuilam Israel maana hakuna atakayejua ameondolewaje. Ukimchokoza myahudi haangalii cha shia wala sunni, yeye ni kutwanga tu.
 
Jordan na Palestine hawakupigana vita ya siku sita.
Bali walipigana vita za nyuma yake zilizochagiza vita ya siku sita.
 
Usitudanganye wewe acha uongo.
Rais wa Iran hakuuliwa na Israel.
Pia usijisahaulishe kuwa Iran ilifanya mashambulizi mawili ya visasi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Israel.
Usisahau miji ya Israel ilichakazwa kwa makombora ya Iran.
Sasa jiulize,kuuawa tu kwa kamanda wa Iran,Iran imerusha makombora zaidi ya 200 na yakapenya na kuleta madhara,je ukimuua kiongozi wao wa dini kitakukuta nini!??
Tena Israel yenyewe kuzuia hayo mashambulizi mataifa makubwa yalihusika France,Uk na USA.
Ikionesha Israel dhaifu isingeweza kuhimili mashambulizi yenyewe.
Kaa litafakari hilo,katika assassination zote kwanini hukuwahi kusikia kiongozi wa dini Iran hajauliwa.
Jikute una akili kuliko myahudi.
 
Jordan na Palestine hawakupigana vita ya siku sita.
Bali walipigana vita za nyuma yake zilizochagiza vita ya siku sita.
Six-Day War, or Arab-Israeli War of 1967, War between Israel and the Arab countries of
1. Egypt,
2. Syria,
3. Jordan
.
4. Palestinian guerrilla
attacks on Israel from bases in Syria led to increased hostility between the two countries. A series of miscalculations by both sides followed.
 
Wacha nikuletee article nzima ya six days war.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…