Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Ukisema mimi niko neutral maana yake uko upande wa MWONEVU.eti kila mtu ashinde mechi zake....Ukraine wamekubali kuwa uwanja wa vita kati ya NATO na RU
hii itupe funzo la kutoegemea mrengo wowote...tuwe neutral when it comes to foreign affairs
Mkuu hujakosea, msaada wa kibinadamu (chakula na madawa) watapeleka, ila wamekataa kutoa msaada wa silaha za kivita za kuisaidia Ukraine kupambana na majeshi ya Russia. Soma title ya habari hiyo hapa
Israel refuses repeated Ukrainian requests for arms
Israel has rejected Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy's request to supply his country with weapons, according to a report in Yedioth Ahronoth. The request came during a telephone conversation with Israeli...www.middleeastmonitor.com
wanajichaganya wenyewe RUSSIA hachanganywi namtu nandio maana anawanyuka kweli kweliHayo maombi ya dharula ya Ukraine kujiunga nato ni viinimacho tu vinavyo chezwa na Nato na Ukraine.
Wanamchanganya russia tu kwenye maamuzi yake katika hii vita.
[emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]Hii Vita itakuwa mwanzo wa kumalizika kwa enzi za mbabe Putin...
Ruski. Priviet!Kwahiyo Duniani kuna Lugha inaitwa Kirusi!!..Tanzanian wonders shall never end
Hizo mbwembwe hata angelekua kazaliwa Jerusalem acha apigwe nyundo za mapumbuKati ya nchi yenye Wayahudi wengi Ulaya ni Ukraine, hata Rais wa Ukraine ni Myahudi. Hivyo kama kuna urafiki kati ya Israeli na Russia basi inawezekana iwe katika kigezo kingine.
Hata Ndugai anaasili ya KiyahudiKaoge ukalale.....idadi ya wayahudi Ukraine haifiki hata nusu ya waliopo Russia View attachment 2135592View attachment 2135593
hiyo nuke anayo peke yake?Sasa Putin kasema wakizingua anaweka Nuke unafikiri wao hawajamuelewa hapo.
Tena ndugu wa damu![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Israel na Russia ndugu hao ,,