GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Huyu mlabanoni anawaingiza chaka na taarifa zake
Ngoja mchapike tena muanze free palestina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://youtu.be/fQkDZIo0FrU?si=NrT9x1UOUYtoNWq7
Oneni waisrael walivyo furahia kuondoka Gaza 😄 Hawa ndio watawaweza Hamasi?
Wamekimbia dogo we baki unapapasa kama mtawashinda HamasiYaan mzayuni afurahi kuondoka gaza clip ambayo mbele yuko gaidi alieficha sura
Unachekesha wewe
Bila msaada wa USA, Israel nisawa na DRC, anapigana nawavaa kobazi miez 3 ambao wanamiliki magari ya Toyota na SMG tu.
Mnaanza wenyewe kuwasha moto wazayuni wakiukoleza mnakuja humu kuliaWamekimbia dogo we baki unapapasa kama mtawashinda Hamasi
Kwa mwezi huu tu magaidi 2000 ya hamas yameangamizwa na IDF. I'm watching aljazeera live. Bila shaka utapinga taarifa hii na kusema hizi ni propaganda za IDF.Hamas endeleeni kuwachinja hao magaidi wa kizayuni
Tuliambiwa Hamasi inafutwa na Israel anaichukua Gaza hakuna ceasefire kabisa tukaona ceasefire badaye tukaimbiwa hakuna tena ceasefire mpa tuwamalize Hamasi tunaona aisrael ndio anaomba ceasefire vipi tena.Mnaanza wenyewe kuwasha moto wazayuni wakiukoleza mnakuja humu kulia
Well said be blessed; kitu kingine Israel ina uhakika gani kwamba wao ndio wanao miliki silaha za nuclear mashariki ya kati - naniKawaida mkuu uliitaka viongozi wawe wapi?. Mbona NETA hatumuoni mstali wambele?. Israel BTW hamna kitu nichui wamakaratasi, hivi angekua hapewi msaada na west&USA siangepiga NUCLEAR?. Kila siku nasema wajifunze Kwa Might RUSSIA, USA naukubwa wake wote anaikusanya mpaka shelisheli eti walinde RED SEA, sivituko hivyo?.
Hao vichanga wa Gaza wanakuhusu nini wakati magaidi wamemuua Mtanzania asiye na hatia.Kila nikiangalia mauaji ya vichanga pale ghaza moyo unaniuma sana