Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Lebanon kunawaka moto wanajukwaa.... aisei wavaa kobaz wanapoteana.... Myahudi amechafukwa....



623205
Hili dude hata kama uko kwenye handaki lazima likutafune tu...
 
Unajua ukifuatilia media unaweza kushangaa sana na wtu wanachoongea huku , wajaribu kuangalia na kule ukraine watu wanavyokufa hao wote ni wakristo ila wameacha wamehamia kushambulia waislamu .

Hapo palestine wapo wakristo ten mpaka makanisa yao yamelipuliwa , hata lebanon wapo pia .

Vipi Sudan mbona wako Waislamu wengi tu.......naona Wayahudi wanawatoa roho....matokeo yake ndi haya....Pager hiyo....

1726914804596.png
 
Bora useme ukweli , ukifuatilia nyuzi humu unaweza kucheka ...Utaona ushabiki maandazi , kama sisi sote ni watanzania lakini mawazo yetu yapo tofuati sio kosa kuwa upande fulani ila pia tuangalie na ukweli uko wapi .

Hii vita inapigana pale lakini naona wanaokejeliwa waislamu wengine kama ni jambo la ushabiki , kuna vita ya Russia na ukraine hawa wote ni wakristo ila Russia ni wakristo hasaa ...Lakini huoni watu wakiongelea vbaya ukristo kwa sababu Russia anaua watu wa ukraine ambao wote kiimani ni ndgu .

Zipo page za watu wanawakosoa na kuunga mkono pande moja wap na watu hao ni miongoni mwa waislamu, wakristo , hata jewish baadhi wanapiga kitendo cha israel .Tanzania ni ubishani maandazi wala hatujui chochote .


Tufike wakati tusisambaze chuki tubaki ukweli hata kama usem israel ni powerful ila hiyo vita wanagawana madhara na haijaanza leo , wengi humu ni wadogo vita wameikuta .​

Mbaya zaidi hatuna uhakika wa kihistoria kamili maana kila mtu anadai pale ni kwake . Pia. swali la kujiuliza Palestine na israel wamefikaje pale mpaka wakawa na miji yao ?

Accumen.... Unasema swali la kujiuliza Palestina na Israel wamefikaje pale mpaka wakawa na miji yao!? Jibu rahisi sana ! Ukiangalia Qurran itakupa jibu lake....Na ukiangalia Biblia itakupa jibu lake......Kwa kifupi kila mtu ana jibu lake katika swala hilo! Ukisoma Charter ya Hamas iko wazi kabisa, Palestine ni nchi Wakf ya Allah....Na Ukisoma Biblia itakupa jibu tofauti kabisa......
 
Lebanon haina tatizo ila Hizbula na nchi ilikuwa ya wakristo dini nyingine ikaamia kwa wingi na kuzaliana kwa wingi na kuwafanyia ugaidi wazawa .
Jamaa zinapambana kuzaliana kwa wingi sasa huko Ukaya na wanadai dini yao inakuwa kwa nguvu ulaya yote. Mtu mmoja ana watoto 70+ alafu hana mbele wala nyuma.
 
Duh,Jamaa wakimkamata kichwa chake mali yao,maneno gani bwana haya?

Ukimsoma katikati ya mistari issue ya pagers na walkie talkie kugeuzwa mabomu kunawafanya kurejea japo miaka 70 nyuma kwa kuanza kutumiana jumbe kwenye bahasha maana hata simu TVs computer haziaminiki tena
Kila mwenye akili timamu aling'amua mapema kabisa lile shambulio la October 7 ilikua ni makosa makubwa sana kimkakati. Myaudi ni kama kafungulia turbo hasikii haambiliki. Hizi movements za Hamas na Hezbollah ni wazi zimeprove failure na wanaoathirika sasa ni raia wasio na hatia.

Warudi nyuma watafute namna nyingine ya kumaliza huu mgogoro. Leo unafurahia umeua Wayaudi 100, kesho anaua watu wako 2000. Haya saivi mnashindwa hata kuchat kwa amani taratibu mnarudi zama za mawe. Majumba yanageuka magofu. Angalau wawe na huruma na raia basi. Wayudi wanakufa ila wao wanakufa zaidi.

Na kujaribu kuiaminisha dunia hii ni vita ya kidini ni makosa makubwa sana. Kuna Waisrael waislamu wako front line wanapigana na Hamas na Hezbollah. It's not about religion, it's all about land. Watu wanataka ardhi waishi kwa amani. Ila kujaribu kuitumia dini kuangamiza kizazi chote cha Wayaudi ni makosa makubwa na hii vita haitakuja kuisha kama haya makundi yatabaki na mtazamo huu.
 
Bongo tumeiweka kidini na chuki , makanisani wanahubiri amani na upendo ,huku wanafurahia wapalestina wanavyodhulumiwa na hawa mazayuni ndani ya nchi yao na kuuwawa .
Jiweke kwenye nafasi ya Myaudi. Baada ya mashambulizi ya October 7 ungefanya nini?
 
Jiweke kwenye nafasi ya Myaudi. Baada ya mashambulizi ya October 7 ungefanya nini?
Wayahudi wapo palestina ,Israel Lebanon ,Afghanistan na Iran ,sijui unaongelea Wayahudi wapi mkuu?
 
Accumen.... Unasema swali la kujiuliza Palestina na Israel wamefikaje pale mpaka wakawa na miji yao!? Jibu rahisi sana ! Ukiangalia Qurran itakupa jibu lake....Na ukiangalia Biblia itakupa jibu lake......Kwa kifupi kila mtu ana jibu lake katika swala hilo! Ukisoma Charter ya Hamas iko wazi kabisa, Palestine ni nchi Wakf ya Allah....Na Ukisoma Biblia itakupa jibu tofauti kabisa......
Ndio kila mtu ana sababu , waache wapigane.
 
Kamanda Mkuu wa operations za kijeshi wa kundi la Hezbollah ndugu Ibrahim Aqil ameuawa mchana leo kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Israel Jijini Beirut nchini Lebanon.

=======
Hezbollah official Ibrahim Aqil in an undated photo. (US Department of State)

A source close to Lebanon’s Hezbollah says the Israeli strike in Beirut’s Dahiyeh neighborhood killed Ibrahim Aqil, a senior commander in the terror group’s elite Radwan unit.
“The Israeli air strike killed Radwan Force commander Ibrahim Aqil, its armed force’s second-in-command after Fuad Shukr,” who was killed by an Israeli strike in July, also in Hezbollah’s southern Beirut stronghold, says the source who requested anonymity to discuss sensitive matters.

Soma Pia:
Israel hata wakimuua mtoto mdogo watatangaza wameua kamanda Mwandamizi 😂😂
 
Vita haina ufundi ndio nafuatilia hapa naona balaa tu 😀 😀 .....Ngoja tuone aisee maana watu wako live ....Kuua viongozi sioni kama inatija labda kuwakata spirit kabisa ila jamaa ni watu wamejitoa kabisa .

Mwisho wa siku wakipiga mahesabu wote ni loser ...Sema ushabiki wa huku ndio tatizo wanafuata itikadi za kidini .
 

Attachments

  • 20240921_154951.jpg
    20240921_154951.jpg
    54.9 KB · Views: 2
Mh!

Mbona mimi mzani wangu nikiyapima haya maneno unagoma kuelewa?ninyi kabisaa?
Hayo makundi kwa mujibu wa Sheria za uislamu yanatakiwa kupigwa vita , acha tuchukulie wanapigania haki kuua raia , kuharibu makazi Mali ,miundombinu ,utekaji wa Raia na ukatili mwingine ni mambo yasiyokubalika kwenye dini.

Na ukichunguza utagundua wameleta maafa makubwa hadi kwa Waislamu wenzao , ndio maana wanazuoni wakubwa wamewakemea na nchi kama Saudia , UAE nk wanawindwa sana.

Hayo makundi chanzo chake ni historia ndefu , wewe jua tu kila kitu katika Uislamu sio mtu kujiamua bali ni kufuta taratibu zilizowekwa hata vita nazo zina tartibu na misingi yake.
 
Ya kawaida??
The biggest economy in Europe ni nchi ya kawaida?
Hata kivita Germany sio ya kawaida.
Unasema sio ya kawida na imeanza kupunguza kupeleka Misaada Ukraine. Ujerumani hamna kitu hawezi kumfikia nchi kama China hata kidogo japokuwa mchina hatujayaona Makeke yake kwenye Vita.
 
Haya kafunga beach Haifa,Acre na Nahariya maisha hayo mpaka lini? Yaani kwenye nchi yako unashinda ndani kama mfungwa? Yaani Israhell na ukonga hamna tofauti wanakula na kushinda chini ya ardhi alafu anatarajia vita kuisha huku yeye akiendelea na vita. Wanamsifia eti ni taifa lenye watu wenye akili
 
Back
Top Bottom