Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.Unajua maana ya uasi?
Zimeni moto base mbili zimeisha teketezwa huko wambieni waruhusu media wachukue kama vile Lebanon na Gaza wanaogopa nini?
Zimeni moto afu wajanja wanachukua pembeni pembeni kuonyesha miti waseme empty space sa kama empty space yanini mnazima moto kwa ndege in cost pesa nyingi sana
View: https://youtu.be/kz0SUZXQkBk?si=Lt0tcGFlxpbJGwey
Kuna shehe mmoja ndio huwa anapenda Kuwaita hivyo ndugu zangu hawa. BTW mi mwenyewe ni likatoliki...."likatoliki"...!Hapo unataka kumaanisha nini?
Vema.Wewe endelea kujiita hivyo kwa sababu umeridhika.Usiwaite wengine hivyo.Kuna shehe mmoja ndio huwa anapenda Kuwaita hivyo ndugu zangu hawa. BTW mi mwenyewe ni likatoliki.
Kuna kipi kinapungua adui akikuita jina baya, ama akutukane?Vema.Wewe endelea kujiita hivyo kwa sababu umeridhika.Usiwaite wengine hivyo.
Kuchukia kwa mtu si lazima akuoneshe uso wake ulivyokunjamana.Wewe elewa na uzoee kuwaita wengine kiungwana.Kuna kipi kinapungua adui akikuita jina baya, ama akutukane?
Ukichukia si ndio anakua amepata silaha ya kukupiga?
Usiruhusu maisha yako yaendeshwe na hisia.
Wameanza lini na yataisha lini mimi hayanihusu maana sikuwepo wakati wanaanza na sitokuwepo wakati watakapoyamaliza ila kikubwa nafurahia kuona watu wajinga wajinga wakitiwa adabu.hawajaanza leo,lakini hawatawamaliza abadan
Kwani na wewe ni likatoliki mkuu? Au umeamua kuwatetea?Kuchukia kwa mtu si lazima akuoneshe uso wake ulivyokunjamana.Wewe elewa na uzoee kuwaita wengine kiungwana.
Mimi ninaweza kuwa yeyote kwa kadiri nilivyoamka siku hiyo.Naweza kuwa Mbahai,Myahudi,Mkristo au Mbuddha.Kwani na wewe ni likatoliki mkuu? Au umeamua kuwatetea?
Lebanon haina tatizo ila Hizbula na nchi ilikuwa ya wakristo dini nyingine ikaamia kwa wingi na kuzaliana kwa wingi na kuwafanyia ugaidi wazawa .Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Vita haina ufundi ndio nafuatilia hapa naona balaa tu 😀 😀 .....Ngoja tuone aisee maana watu wako live ....Kuua viongozi sioni kama inatija labda kuwakata spirit kabisa ila jamaa ni watu wamejitoa kabisa .Wamewahi kukutana Mara mbili kwenye Medani za vita, ya kwanza ilisemekana Israel alidundwa na vita vya pili ilisemekana walitoka draw(sare sare).
Wakipigana vita sasa, itakuwa wanapigana kwa Mara ya tatu na Hezbollah walishasema kuwa kama vita vitaanza na wao hawataangalia sehemu za kupiga au kufuata kanuni za vita zinavyotaka. Kwahiyo watafanya kama wanavyofanya Israeli kuua Raia hovyo na kuangamiza Miji ya raia badala ya kupambana na jeshi na kulipua vituo vya kijeshi na Maghala ya Silaha.
Hivyo basi kwa kuwa wote hawatafuata kanuni za vita basi tutarajie vita vitakuwa vibaya sana kwa pande zote mbili, ijapokuwa Hezbollah watapata Madhara na Israel watapata pia Madhara, ukizingatia uwezo wa hezbollah umeongezeka tofauti na kipindi cha nyuma. Maana taarifa za Israel kupitia MOSSAD zinasema kwa sasa Hezbollah uwezo wake wa Makombora umeongezeka hadi kufikia laki moja na nusu, tena ni makombora yanayoweza kuongozwa na kuchagua wapige wapi na wapi wasipige.
Mwisho kabisa, tuache ushabiki vita ni mbaya maana Adolf Hitler alijona Mwamba na kiranja wa Dunia lakini leo hii Ujerumani ni ya kawaida tu. Dola ya Ugiriki, Roma, na Persian zote hazipo leo hii. Hata Uingereza alikuwa Super Power na kuwapa eneo Wayahudi pale pale Palestina(Israel) mwaka 1948 lakini leo hii Muingereza kawa kama Mandonga.
Acha uomgo wewe , lebanon wanaishi kwa pamoja ...Tatizo hujui chochote kwamba Asia ukristo unafutika kabisa kuanzia hapo israel .Lebanon haina tatizo ila Hizbula na nchi ilikuwa ya wakristo dini nyingine ikaamia kwa wingi na kuzaliana kwa wingi na kuwafanyia ugaidi wazawa .
Ukitaka kuua mbwa mpe jina baya , hao wazayuni ndio wavamizi na magaidi kwenye nchi ya watu, fuatilia taratibu bila hisia za kidini .Lebanon haina tatizo ila Hizbula na nchi ilikuwa ya wakristo dini nyingine ikaamia kwa wingi na kuzaliana kwa wingi na kuwafanyia ugaidi wazawa .
Lebanon tatizo lake kujitosa kununua ugomvi usiomhusu"mtoto kautaka mtoto kautaka"
Kwani pager na radio call zilizoua magaidi Lebanon ni za Lebanon? Hawana kiwandaWaongo hao kuna mtu atajua hizo ndege za Israel au US.
Adui!?..Kuna kipi kinapungua adui akikuita jina baya, ama akutukane?
Ukichukia si ndio anakua amepata silaha ya kukupiga?
Usiruhusu maisha yako yaendeshwe na hisia.
Sema marekani wakapata habari,wakaamuru kambi yao ya kijeshi ishambulieAdiosamigo: Unamjua aliyeuawa lakini? Dau hilo lilitolewa miaka mingi sana......1983, alipolipua makazi ya askari wa Marekani....Huwa naishi kwa kujificha, jana akiwa kikaoni na wenzake,kwenye ghorofa chini ya basement, Israel ikapa habari na kufumua jengo hilo....
View attachment 3101655
Watakuambia, "Usitupangie, vita ni mkakati"..😎Hadithi za Israel na Hezbollah ni kama hadithi ya Mungu na Shetani vile!
Mungu hajamwangamiza Shetani kwa makusudi flani.
Je Israel nayo haimwangamizi mkuu wa Hezbollah kwa makusudi flani?
Imeshindwaje kumlenga Jemedari wao Nasrala ili ugomvi ufikie mwisho,
?
Au ndiyo hayo ya kuishi shimoni kama nyaga, bila simu bila kompyuta?
Iweje walenge kidagaa wakati papa yupo, tunabaki tunajiuliza?