fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
hawajaanza leo,lakini hawatawamaliza abadan"mtoto kautaka mtoto kautaka"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawajaanza leo,lakini hawatawamaliza abadan"mtoto kautaka mtoto kautaka"
Nakubaliana na wewe 110% hakuna mlebanoni anaunga mkono hezibola, Lebanoni ni christian country ila walifanya kosa la kuwakaribiosha palestina ndio wamegeuka hezibolaLebanon nchi nzuri inakwenda kuharibika sababu ya mabifu ya hesbolah (iran) na israel... walebanon halisi wenyewe ni watu wa kula goodtym na ku-vibe tu
Kama Israel wanajiamini kweli waue mwingine waone.
Kwahiyo unakiri kuwa nchi nyingine huko mashariki ya kati wakristo wananyimwa haki na waislamu? Sasa ni upi upendo wa waislamu?Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Kwa hiyo ni waasi?Ni walebanon walioanzisha jeshi baada ya jeshi lililokuwepo kuwa legelege
Sasa tunasubiri waue mwingine waine kama watabaki😅 au wajaribu kuvuka mpaka waone.Mkuu uko wapi .....Walianza na Fuad Fakr, wako wapi akina Imad Morenia, Mustafa Badr a-din...in ile first generation ya Hezbolah military wing imemalizika.....Au habari za Hamas umeanza kusikia jana......? Jifanyie hata utafiti kidogo kabla hujaandika.
Ila anafanya kaz nzuri ya ku eliminate magaidi ya kiislamu hayo mengine hayatuhusuNetanyahu mpoland,babaake alipohamia palestine ndiyo akajiita netanyahu,siyo kwao hapo
Uko sawa mkuu.........tatizo hao wafilisti wameingilia chezo la watu........ikibidi wawafukuze maana waliwalea wenyewe wakina nasralahHii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Nimeona kuwa taifa lolote lisipokuwa na jeshi lake kamili, ama kuwa na paramilitaries tu, basi madhara ya usalama wake huwa ni mkubwa ama kuwa mashakani.Ila tukubali tukatae Lebanon kuna wakristo karibu nusu ya raia wote ,pia madhara ya kivita yanawapata wote .
Wacha uongo............Hezbollah yule ...........mtoto wa kiislam............ila anapenda kuutakaHata Muigizaji Mia khalifa ni likatoliki la Lebanon.
Sio wakristo wala waislamu wenye upendo na mwenzake ,wala sio wayahudi ,kila mmoja anaona tamaduni na mapokeo yake ni bora zaidi ya mwingine.Kwahiyo unakiri kuwa nchi nyingine huko mashariki ya kati wakristo wananyimwa haki na waislamu? Sasa ni upi upendo wa waislamu?
Kobazi ni kitu gani ,ungepunguza hasira mkuu ,ungeweza kueleweka hata kidogo.Peleka upumbavu wako huko nan hakuji wewe ni kobazi
Maandiko yako yanasadifu wewe ni kobazi purely
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe vumilia kobazi wenzako wanachapika haswa
Hawa waarabu akili zao zimekaa kufa kufa tu. Wenyewe kwenye maandiko yao Israel wanadai ni malaika mtoa roho."mtoto kautaka mtoto kautaka"
Hawajachokoza hao wazayuni ndio wapo kwenye nchi ya wapalestina kibavu .Hawa waarabu akili zao zimekaa kufa kufa tu. Wenyewe kwenye maandiko yao Israel wanadai ni malaika mtoa roho.
Wanamchokoza mtoa roho wanatarajia nini sasa?
Hizi hadithi sasa zifikie mwisho.Hawajachokoza hao wazayuni ndio wapo kwenye nchi ya wapalestina kibavu .
Unajua maana ya uasi?Kwa hiyo ni waasi?
Umeumia sana,pole.. netanyahu siyo mpwa yesu kama ulivyoamini awaliKweli we pungazeze madrasa imekuharibu kabisaa akili kiasi ambacho hufikirishi tena hata akili kiduchu uliyonayo kila uchafu unaokaririshwa na propaganda za kiislamu unabeba tu umekuwa kokoro
Unawachanganya na wayemeni kuweni makini kabla humjaleta ujuaji kwenye mambo msiyoyajua hasa ya kimataifaNi sawa tu, maana walikuwa wakizamisha meli zao wanachekelea tu
Ogopa mwenyewe bhanaLebanon wasipokuwa makini, beirut itabadilika na kuwa kama Gaza..
Myahudi anahakikisha anakuvuruga...
Naogopa sana.