Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Wanajua alipo ila lengo sio kumuua, lengo ni Lebanon ifanywe kama iilivyo Gaza.

Hassan Nasrallah lives in an underground facility equipped with all sports facilities, recreation, emergency electricity and drinking water at a depth of about 60 meters from the ground in southern Lebanon, with 3 car exits leaving the ground at a distance of 2 kilometers.

In different directions on its face is a dense apartment complex of Hezbollah members and their families, which is considered a kind of human shield for his hiding place. Israel's attacks in recent times are designed to cause the people living in the human shield layer of Nasrallah's hideout to flee, so that they will find him in the next step and hunt down the Niyya in the middle of Tehran to Nasrallah will not dare to flee to Tehran to seek refuge there. Hassan Nasrallah was not injured in the explosion of the radios, but several of his associates from the closed circle were seriously injured, the organization received a fatal blow , and Israel has not yet activated its master plan: the goal was to protect the northern settlements
Hapa nimeelewa namna alivyojichimbia kujificha aridhini chini ya quaters za Hezbollar akitumia makazi hayo kama ngao yake.
 
Israel hana mchezo asee mbona wataisoma Namba na hapo bado ,anagusa maeneo muhimu tu alianza na pagers,Leo kiongozi anasogea tu mbona mpaka waseme Hezbolah
Ajuza Nasrallah bleed ilikata ila leo imerudi tena upyaaa kwa kihoro, hapo alipo pampaz limejaaa
 
Wazayuni ndio wavamizi
Then in reality who is gaidi tukiiweka kauli yako pale juu kwenye uchambuzi huru?

Ndiyo ni wavamizi lakini nao huwa wanavamiwa so kilichotokea Oct 7 mwaka jana ule utauita siyo ugaidi na kinachotokea leo ndiyo ugaidi?hao wanawahiana tu mara hii mmoja kamuwahi mwenzake na ana nguvu zaidi acha awaonyeshe kilichomnyonyoa kanga manyoya duniani heshima hailetwi kwenye bahasha heshima inapiganiwa kama hivi.
 
Pole sana😆
Israel anasema meeting ya ma commander ya hicho kikosi cha Radhwan ilifanyika kwenye 2nd underground building ya chini kabisa, na kapewa infomation leo tu, sa ana uhakika gani hao macommander wamekufa au walikuwepo 💯. Mpaa mda hu kuna watu wameokolewa je kama huyo Commander yuko hai?
 
Namkumbuka Benjamin Netanyahuh baada ya shambulizi la 7.10.2023, alisema wao wanapigana kulinda nchi na ardhi yao, na maadui ( waarabu) wanapigana kuhakikisha wanaondoka hapo walipo. Anqyepambana kukutoa kwako uta deal naye kwa hasira zote, na gharama zozote
Netanyahu mpoland,babaake alipohamia palestine ndiyo akajiita netanyahu,siyo kwao hapo
 
Namkumbuka Benjamin Netanyahuh baada ya shambulizi la 7.10.2023, alisema wao wanapigana kulinda nchi na ardhi yao, na maadui ( waarabu) wanapigana kuhakikisha wanaondoka hapo walipo. Anqyepambana kukutoa kwako uta deal naye kwa hasira zote, na gharama zozote

Nathan Mileikowsky​



Nathan Mileikowsky (Hebrew: נתן מיליקובסקי; August 15, 1879 – February 4, 1935) was a Zionist political activist, rabbi, and writer. Mileikowsky's son was the scholar and academic Benzion Netanyahu, and his grandson is current Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu.
Nathan Mileikowsky
Relative
BornAugust 15, 1879
Kreva, Russian Empire
DiedFebruary 4, 1935 (aged 55)
Jerusalem, Mandatory Palestine
CitizenshipRussian, later British subject
SpouseSarah Mileikowsky (née Lurie)
Children9, including Benzion and Elisha
 
Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Dhambi yao nì moja tu, kuhifadhi magaidi wa Hezbollah
 
Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Kwa taarifa tu, Lebanon ilikuwa nchi ya kikristu, ilivyokaribisha tu wanamgambo wa Palestina, ndio wamezaliwa Hezbollah, mengine imebaki hidtoria.
 
Kwa taarifa tu, Lebanon ilikuwa nchi ya kikristu, ilivyokaribisha tu wanamgambo wa Palestina, ndio wamezaliwa Hezbollah, mengine imebaki hidtoria.
Hiyo ni kawaida kutokana na jamii ya utaratibu wa kiislamu lazima idadi yao ingekuja kuwa kubwa,hata huku tuendako mataifa mengi yenye wakristo wengi yatakua na idadi kubwa zaidi ya waislamu.
 
Back
Top Bottom