Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Hadithi za Israel na Hezbollah ni kama hadithi ya Mungu na Shetani vile!

Mungu hajamwangamiza Shetani kwa makusudi flani.

Je Israel nayo haimwangamizi mkuu wa Hezbollah kwa makusudi flani?

Imeshindwaje kumlenga Jemedari wao Nasrala ili ugomvi ufikie mwisho,
?
Au ndiyo hayo ya kuishi shimoni kama nyaga, bila simu bila kompyuta?

Iweje walenge kidagaa wakati papa yupo, tunabaki tunajiuliza?
Mmoja mmoja ndio mpango subiri wazike mwengine atafuata
 
Lebanon kunawaka moto wanajukwaa.... aisei wavaa kobaz wanapoteana.... Myahudi amechafukwa....



623205
Kwamba wengine wanaenda kushoto, wengine kulia
 
Ila tukubali tukatae Lebanon kuna wakristo karibu nusu ya raia wote ,pia madhara ya kivita yanawapata wote .
Hii sio vita ya kidini mkuu,halafu israeli dini kuu ni uyahudi kwahiyo mambo ya ukristo wao hawana habari nayo
 
Lebanon wasipokuwa makini, beirut itabadilika na kuwa kama Gaza..
Myahudi anahakikisha anakuvuruga...

Naogopa sana.
Namkumbuka Benjamin Netanyahuh baada ya shambulizi la 7.10.2023, alisema wao wanapigana kulinda nchi na ardhi yao, na maadui ( waarabu) wanapigana kuhakikisha wanaondoka hapo walipo. Anqyepambana kukutoa kwako uta deal naye kwa hasira zote, na gharama zozote
 
Hizi wiki 4 zimekuwa mbaya sana kwa Hezbollah na washirika wake, naona Israel kasema liwalo na liwe
 
Inasemekana kuwa makamanda zaidi ya 20 wameuawa pamoja naye kwa kutumia mabomu 4
 
Back
Top Bottom