Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Vipi kuhusu FPM na hezbollah?
Umehama tena kwa maronite?
Tetea hoja yako maana umesema wanashirikiana na kuaminiana.
Hiyo taarifa katoa kiongozi wao. Wanataka kuachia wapiganaji 20000 wenye siraha mitaani kupambana na hezbollah.
 
Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Sidhani kama wakristo wa Lebanon wanaunga mkono makundi ya kigaidi.
Hata wapo waislam moderates ambao hawataki nchi yao kuwa uwanja wa mapambano kwa kutumiwa na Iran
 
Umehama tena kwa maronite?
MTetea hoja yako maana umesema wanashirikiana na kuaminiana.
Hiyo taarifa katoa kiongozi wao. Wanataka kuachia wapiganaji 20000 wenyw siraha mitaani kuoambana na hezbollah.
Hiko chama cha siasa ni Moronite na kina ushirikiano mkubwa wa kisiasa na hezbollah
 
Sidhani kama wakristo wa Lebanon wanaunga mkono makundi ya kigaidi.
Hata wapo waislam moderates ambao hawataki nchi yao kuwa uwanja wa mapambano kwa kutumiwa na Iran
Hii vita wapo wazayuni ambao pia ni waislamu wanashiri ,japo udini upo ila kibongo bongo tumeiweka kidini zaidi kuliko wahusika.
 
Amjad Taha a political Strategist and analyst from the UAE wrote this on X:

You dared to strike at a smart and courageous nation on October 7th—committing genocide, kidnapping their children, and violating their women. You thought they would fall, but they rose again, returning after 11 months to correct what had only momentarily slipped—their intelligence. Now, they will send you back 1,000 years, to a time without technology, where a ringtone feels like a death knell and a beep is a nightmare.

You will be haunted by your own shadow, too afraid to use any technology, cut off from the advanced world. And they will defeat you—not with bullets or tanks, but through the unbreakable will of brave, intelligent people. Over a simple cup of coffee, with one decisive click, they will seal your fate, and the fate of anyone who dares harm their children. This is a nation the world respects. Lebanon—Hezbollah's pager attacks and today's V82 strike are not merely military victories; they represent a triumph for the Middle East over radicalism—a victory not only for Israel but for all who stand against terror.View attachment 3101297
Duh,Jamaa wakimkamata kichwa chake mali yao,maneno gani bwana haya?

Ukimsoma katikati ya mistari issue ya pagers na walkie talkie kugeuzwa mabomu kunawafanya kurejea japo miaka 70 nyuma kwa kuanza kutumiana jumbe kwenye bahasha maana hata simu TVs computer haziaminiki tena
 
Kamanda Mkuu wa operations za kijeshi wa kundi la Hezbollah ndugu Ibrahim Aqil ameuawa mchana leo kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Israel Jijini Beirut nchini Lebanon.

=======
Hezbollah official Ibrahim Aqil in an undated photo. (US Department of State)

A source close to Lebanon’s Hezbollah says the Israeli strike in Beirut’s Dahiyeh neighborhood killed Ibrahim Aqil, a senior commander in the terror group’s elite Radwan unit.
“The Israeli air strike killed Radwan Force commander Ibrahim Aqil, its armed force’s second-in-command after Fuad Shukr,” who was killed by an Israeli strike in July, also in Hezbollah’s southern Beirut stronghold, says the source who requested anonymity to discuss sensitive matters.

Soma Pia:
Kama Israel wanajiamini kweli waue mwingine waone.
 
Lebanon nchi nzuri inakwenda kuharibika sababu ya mabifu ya hesbolah (iran) na israel... walebanon halisi wenyewe ni watu wa kula goodtym na ku-vibe tu
Wanawahost hao Hezibolaa wa kazi gani? Mambo mengine hayana maana.
 
Amjad Taha a political Strategist and analyst from the UAE wrote this on X:

You dared to strike at a smart and courageous nation on October 7th—committing genocide, kidnapping their children, and violating their women. You thought they would fall, but they rose again, returning after 11 months to correct what had only momentarily slipped—their intelligence. Now, they will send you back 1,000 years, to a time without technology, where a ringtone feels like a death knell and a beep is a nightmare.

You will be haunted by your own shadow, too afraid to use any technology, cut off from the advanced world. And they will defeat you—not with bullets or tanks, but through the unbreakable will of brave, intelligent people. Over a simple cup of coffee, with one decisive click, they will seal your fate, and the fate of anyone who dares harm their children. This is a nation the world respects. Lebanon—Hezbollah's pager attacks and today's V82 strike are not merely military victories; they represent a triumph for the Middle East over radicalism—a victory not only for Israel but for all who stand against terror.View attachment 3101297
Afadhali wameanza kuambiana ukweli.
 
Ungepinga hoja yangu kwa hoja sijawahi kuwa na dini yoyote , hata ningetaka dini ukristo usingekua chaguo langu.
Ndio maana nikasema wewe ni muasi, siwezi tumia hoja nzito wala hoja yoyote kukujibu wewe ambaye fikra zako zishatiwa upofu huna ujuzi wowote na ni bahat mbaya sana umeshagua njia ya upotevu.
Vitu vizito navyoweza kuviongea kuhusu suala hili, u have got no tallents to comprehend
 
Na wewe hata kabla ya October 7 ni mwehu yaani Fanatical supporter of Zionism na chochote wanachofanya hata ubaya wa wazi na dhuluma kwako ni nzuri unafurahi na kuwapongeza , lakini sisi tofauti hatufurahii matendo ya Al Qaeda , ISIS , Al Shabaab na wenzao pamoja kuwa wanadai wanapigania dini.
Mh!

Mbona mimi mzani wangu nikiyapima haya maneno unagoma kuelewa?ninyi kabisaa?
 
Umeninukuu vibaya.
Hapana, I have seen this several times yaani una enjoy kufanya mizaha na dhihaka za kidini haswa mambo yanayohusu uislamu , mtu ukipenda sana mizaha , dhihaka na kukithirisha unajikuta unakuwa mpuuzi bila kujijua taratibu uwezo wako wa kupima na kung'amua mambo kwa sawa unapungua unakuwa unaenda upepo unapovuma tu blindly , ndio maana wakina Maghayo na wenzake wamekuwa watu wa hovyo hata kwenye mijadala seriaz na ambayo sio ya kidini.
Kumbuka Uislamu unakataza "Elimu ya Dunia"unasisitiza zaidi "Elimu ya kesho Ahera" kwahiyo bidhaa za Electronics zikianza kulipuka hawajui hata wafanyeje zaidi ya kusema Allah ndie kasababisha😆😆😂🤣
Tukianze kuchambua hapo "Uislamu unakataza Elimu Dunia " = Uongozi wa wazi na mzaha

"Hawajui wafanyaje zaidi ya kiswm Allaah die kasababisha" = Kejeli na dhihaka za wazi
 
Israel hana mchezo asee mbona wataisoma Namba na hapo bado ,anagusa maeneo muhimu tu alianza na pagers,Leo kiongozi anasogea tu mbona mpaka waseme Hezbolah
 
Ndio maana nikasema wewe ni muasi, siwezi tumia hoja nzito wala hoja yoyote kukujibu wewe ambaye fikra zako zishatiwa upofu huna ujuzi wowote na ni bahat mbaya sana umeshagua njia ya upotevu.
Vitu vizito navyoweza kuviongea kuhusu suala hili, u have got no tallents to comprehend
🚮🚮
 
Back
Top Bottom