Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Dini+hulka ya Mwanaamu ya Us and them" kwa mfano Nchi za Kishia kama Iran nk. Sunni wanadharaulika sana kama taka taka na hivyo hivyo Nchi za Kisunni Shia wanaitwa kuwa ni Makafiri maadui wa Allah na hao ni Waisilamu imagine.
Kumbuka Uislamu unakataza "Elimu ya Dunia"unasisitiza zaidi "Elimu ya kesho Ahera" kwahiyo bidhaa za Electronics zikianza kulipuka hawajui hata wafanyeje zaidi ya kusema Allah ndie kasababisha😆😆😂🤣
Wewe jamaa ushabiki tayari umepunguza kiwango chako Cha akili hapa Jf na rasmi umeshakuwa a Fanatical Guy .

Uislamu unasapoti wazi kabisa mambo yote muhimu na yenye manufaa kwa Wanadamu na ulimwengubkwa ujumla ila ktk kila jambo Kuna misingi yake , hata kihistoria dola za uislamu na wataalamu wake wamechangia pakubwa katika maendeleo ya Sayansi na taaluma mbalimbali za Elimu Dunia .
 
Lebanon sio tuu kwamba ina wakristo, ilikuwa NCHI YA KIKRISTO kabisaaa, ila baada ya kuwapokea na kuwakaribisha waislamu, mambo yakabadilika, asaiv ni nchi ya kiislamu inayoongozwa na itikadi za kiislamu, hata ulivosema ina wakristo wengi umetupiga kamba pia, Lebanon waislamu wako mara mbili ya idadi ya wakristo.
Ni nchi yenye idadi kubwa ya wakristo kuliko nchi zote mashariki ya kati, hiyo nchi ilikua na dini ya canaanite religion ,hizo nyingne zilikuja baadae.
 
Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Ndo hao hao wakristo wa Lebanon mosad. Wanalitumikia taifa teule kutoa siri Hezbollah wanapojificha.
 
Wewe jamaa ushabiki tayari umepunguza kiwango chako Cha akili hapa Jf na rasmi umeshakuwa a Fanatical Guy .

Uislamu unasapoti wazi kabisa mambo yote muhimu na yenye manufaa kwa Wanadamu na ulimwengubkwa ujumla ila ktk kila jambo Kuna misingi yake , hata kihistoria dola za uislamu na wataalamu wake wamechangia pakubwa katika maendeleo ya Sayansi na taaluma mbalimbali za Elimu Dunia .
Waaapiii.
 
Ndo hao hao wakristo wa Lebanon mosad wanalitumikia taifa teule kutoa siri Hezbollah wanapojificha.
Hezbollah na Moronite ya wakristo wanaaminiana nakushirikiana bega kwa bega mkuu.
 
Wewe jamaa ushabiki tayari umepunguza kiwango chako Cha akili hapa Jf na rasmi umeshakuwa a Fanatical Guy .

Uislamu unasapoti wazi kabisa mambo yote muhimu na yenye manufaa kwa Wanadamu na ulimwengubkwa ujumla ila ktk kila jambo Kuna misingi yake , hata kihistoria dola za uislamu na wataalamu wake wamechangia pakubwa katika maendeleo ya Sayansi na taaluma mbalimbali za Elimu Dunia .
October 7 2023 mlikuwa mnakata mauno balaa.
 
Wewe jamaa ushabiki tayari umepunguza kiwango chako Cha akili hapa Jf na rasmi umeshakuwa a Fanatical Guy .

Uislamu unasapoti wazi kabisa mambo yote muhimu na yenye manufaa kwa Wanadamu na ulimwengubkwa ujumla ila ktk kila jambo Kuna misingi yake , hata kihistoria dola za uislamu na wataalamu wake wamechangia pakubwa katika maendeleo ya Sayansi na taaluma mbalimbali za Elimu Dunia .
Umeninukuu vibaya.
 
😆😆😆 sasa hivi Ayatula mdogo hamuamini Ayatula mkubwa😆😂
Amjad Taha a political Strategist and analyst from the UAE wrote this on X:

You dared to strike at a smart and courageous nation on October 7th—committing genocide, kidnapping their children, and violating their women. You thought they would fall, but they rose again, returning after 11 months to correct what had only momentarily slipped—their intelligence. Now, they will send you back 1,000 years, to a time without technology, where a ringtone feels like a death knell and a beep is a nightmare.

You will be haunted by your own shadow, too afraid to use any technology, cut off from the advanced world. And they will defeat you—not with bullets or tanks, but through the unbreakable will of brave, intelligent people. Over a simple cup of coffee, with one decisive click, they will seal your fate, and the fate of anyone who dares harm their children. This is a nation the world respects. Lebanon—Hezbollah's pager attacks and today's V82 strike are not merely military victories; they represent a triumph for the Middle East over radicalism—a victory not only for Israel but for all who stand against terror.
Screenshot_20240920-193249~2.png
 
We Kenge Elimu yako ni ndogo kujua vitu hivi wewe endelea na Mabhangi yako na ushabiki uchwara , huyo jamaa imhotep rasmi kashakuwa kama wewe pamoja na wapuuzi wenzako wengine hapa Jf .
Kata maunooo sasa nakubweka Allah akbar kama October 7 2023 thubutuu maamaee.

True God bless and PROTECT Israel.

Israel the LAND JEWS the people
 
Kata maunooo sasa nakubweka Allah akbar kama October 7 2023 thubutuu maamaee.

True God bless and PROTECT Israel.

Israel the LAND JEWS the people
Mimi nimeshamaliza kuweka bayana , sina tena time ya kubishana kipuuzi na mizaha ndio maana nakupuuza unaponitag na kuniQuote katika upuuzi wako na kama ukiendele shauri yako .
 
Back
Top Bottom