Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo Ndege hata jana zilikuwa zinaruka chini chini wakati Ayatula wa Hezbola akitoa speech ule ulikuwa ni ujumbe kwa Hezbola kuwa Israel Airforce ina uwezo wa kupiga popote pale Lebanon.Waongo hao kuna mtu atajua hizo ndege za Israel au US.
Siyo poa alooLebanon kunawaka moto wanajukwaa.... aisei wavaa kobaz wanapoteana.... Myahudi amechafukwa....
![]()
Cha kushangaza huyu kamanda aliyekufa Leo alikuwa anatoka hospital alikokuwa amelazwa baada kulipukiwa na pagersHizo Ndege hata jana zilikuwa zinaruka chini chini wakati Ayatula wa Hezbola akitoa speech ule ulikuwa ni ujumbe kwa Hezbola kuwa Israel Airforce ina uwezo wa kupiga popote pale Lebanon.
Visingizo? Hio habari ni kweli US alikuwa anamtafuta huyo kwa kuwambia atakaye toa infomation yake atampa 7 millions.Hilo mmeanza visingizio
Sasa hivi hawatumii Simu Pager wala Walkie-talkies inawezekana hata cctv zote Lebanon zimehakiwa 😁Cha kushangaza huyu kamanda aliyekufa Leo alikuwa anatoka hospital alikokuwa amelazwa baada kulipukiwa na pagers
Lebanon wanaishi kidini na kimadhehebu maeneo yanayoshambuliwa ni ya Shia ambayo ni kusini mwa Beirut na Kusini mwa Lebanon.Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Ndiyo Mnaenda kupotea kwenye historia ya Dunia hivyo; hawa Hezbollah walivyoambiwa kuwa ile vita ya 2006 waliisababishia Israel hasara kubwa in term ya vifaa na wanajeshi, basi kichwa kikavimba kuwa kwa sasa wanauwezo huo wa kutumiza AZMA ya Quran yao wa kuifutilia mbali Israel. Wenzenu waliojaribu hilo walijikuta wakifutiliwa mbali kwenye historia ya DuniaVisingizo? Hio habari ni kweli US alikuwa anamtafuta huyo kwa kuwambia atakaye toa infomation yake atampa 7 millions.
US ndio anawauwa siri imeanza kutoka anatoa 7 million ili apate information zao
View: https://youtu.be/VLCm_CJ1lPc?si=PG6fS7bKzVH0e-uS
Vita vya Israel havitaisha mpaka Yesu atakaporudi.hivi vita vitaisha lini au ndio kama ya urusi na ukrain?
Ila tukubali tukatae Lebanon kuna wakristo karibu nusu ya raia wote ,pia madhara ya kivita yanawapata wote .Lebanon wanaishi kidini na kimadhehebu maeneo yanayoshambuliwa ni ya Shia ambayo ni kusini mwa Beirut na Kusini mwa Lebanon.
Alieuliwa au anepigwa ni mwislamu niambie mkristo gani yuko QUDS au HEZBULLAH hahaHii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Hao wakristo ni hezbullah?Ila tukubali tukatae Lebanon kuna wakristo karibu nusu ya raia wote ,pia madhara ya kivita yanawapata wote .
HUujui ukristo kama walivyo wakristo wengi. Huna elimu juu ya Eschatology at all, sikushangai wewe mkristo uliyeasi pamoja na wakristo bubu wengine mkiwa mnaongea vitu msivyovijua kama hiviHii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Ndiyo Mnaenda kupotea kwenye historia ya Dunia hivyo; hawa Hezbollah walivyoambiwa kuwa ile vita ya 2006 waliisababishia Israel hasara kubwa in term ya vifaa na wanajeshi, basi kichwa kikavimba kuwa kwa sasa wanauwezo huo wa kutumiza AZMA ya Quran yao wa kuifutilia mbali Israel. Wenzenu waliojaribu hilo walijikuta wakifutiliwa mbali kwenye historia ya DuniaVisingizo? Hio habari ni kweli US alikuwa anamtafuta huyo kwa kuwambia atakaye toa infomation yake atampa 7 millions.
Aisee japo napingana na upuuzi wa Israel ila hii comment imenichekesha sana 😂 we jamaa ni msenge sanaaAyatula hana hamu😆😆😆😆 nasikia kakaa mbali na vyombo vya Kielectroniki😁
View attachment 3101236
Ayatula mwenzake akiwa na Pager kabla ya umauti haujamkuta.😁