Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungepinga hoja yangu kwa hoja sijawahi kuwa na dini yoyote , hata ningetaka dini ukristo usingekua chaguo langu.HUujui ukristo kama walivyo wakristo wengi. Huna elimu juu ya Eschatology at all, sikushangai wewe mkristo uliyeasi pamoja na wakristo bubu wengine mkiwa mnaongea vitu msivyovijua kama hivi
Unafahamu ushirikiano uliopo kati ya kundi la hezbollah na Moronite kundi la kikristo?Hao wakristo ni hezbullah?
Kwenye Lebanese civil war iliyopita Israel iliwasaidia Wanamgambo wa Kikristo na sasa huenda ikawasaidia ili kuyaondoa Magaidi ya Hezbola na kupunguza nguvu zao wanazozipata kutoka kwenye Islamic Government ya Iran.Ila tukubali tukatae Lebanon kuna wakristo karibu nusu ya raia wote ,pia madhara ya kivita yanawapata wote .
Unajisikiaje unapo mpiga mtu bit alafu ndio anakupa kichapo kitakatifu...Kamanda Mkuu wa operations za kijeshi wa kundi la Hezbollah ndugu Ibrahim Aqil ameuawa mchana leo kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Israel Jijini Beirut nchini Lebanon.
=======
Hezbollah official Ibrahim Aqil in an undated photo. (US Department of State)
A source close to Lebanon’s Hezbollah says the Israeli strike in Beirut’s Dahiyeh neighborhood killed Ibrahim Aqil, a senior commander in the terror group’s elite Radwan unit.
“The Israeli air strike killed Radwan Force commander Ibrahim Aqil, its armed force’s second-in-command after Fuad Shukr,” who was killed by an Israeli strike in July, also in Hezbollah’s southern Beirut stronghold, says the source who requested anonymity to discuss sensitive matters.
Soma Pia:
This year uwenda wakamuindoa just speculationHadithi za Israel na Hezbollah ni kama hadithi ya Mungu na Shetani vile!
Mungu hajamwangamiza Shetani kwa makusudi flani.
Je Israel nayo haimwangamizi mkuu wa Hezbollah kwa makusudi flani?
Imeshindwaje kumlenga Jemedari wao Nasrala ili ugomvi ufikie mwisho,
?
Au ndiyo hayo ya kuishi shimoni kama nyaga, bila simu bila kompyuta?
Iweje walenge kidagaa wakati papa yupo, tunabaki tunajiuliza?
Mambo ya Israel kuhusu ukaribu wao na wakristo ukiacha historia yao kuhusu chimbuko la ukristo na siasa, ila hakuna nchi wakristo wanadharaulika mashariki yakati kama IsraelKwenye Lebanese civil war iliyopita Israel iliwasaidia Wanamgambo wa Kikristo na sasa huenda ikawasaidia ili kuyaondoa Magaidi ya Hezbola na kupunguza nguvu zao wanazozipata kutoka kwenye Islamic Government ya Iran.
Huenda tukashuhudia Lebanon Civil war part 2.
Eti Ndugu Ibrahim Aqil 🙂Kamanda Mkuu wa operations za kijeshi wa kundi la Hezbollah ndugu Ibrahim Aqil ameuawa mchana leo kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Israel Jijini Beirut nchini Lebanon.
=======
Hezbollah official Ibrahim Aqil in an undated photo. (US Department of State)
A source close to Lebanon’s Hezbollah says the Israeli strike in Beirut’s Dahiyeh neighborhood killed Ibrahim Aqil, a senior commander in the terror group’s elite Radwan unit.
“The Israeli air strike killed Radwan Force commander Ibrahim Aqil, its armed force’s second-in-command after Fuad Shukr,” who was killed by an Israeli strike in July, also in Hezbollah’s southern Beirut stronghold, says the source who requested anonymity to discuss sensitive matters.
Soma Pia:
Na nyie tafuteni watu wa kuwapa information acheni kulialia.Visingizo? Hio habari ni kweli US alikuwa anamtafuta huyo kwa kuwambia atakaye toa infomation yake atampa 7 millions.
hahahahahahahahahahahahahahah....Ayatula hana hamu😆😆😆😆 nasikia kakaa mbali na vyombo vya Kielectroniki😁
View attachment 3101236
Ayatula mwenzake akiwa na Pager kabla ya umauti haujamkuta.😁
Dini+hulka ya Mwanaamu ya "Us and them" kwa mfano Nchi za Kishia kama Iran nk. Sunni wanadharaulika sana kama taka taka na hivyo hivyo Nchi za Kisunni Shia wanaitwa kuwa ni Makafiri maadui wa Allah na hao ni Waisilamu imagine.Mambo ya Israel kuhusu ukaribu wao na wakristo ukiacha historia yao kuhusu chimbuko la ukristo na siasa, ila hakuna nchi wakristo wanadharaulika mashariki yakati kama Israel
US alimpeleka chaka Ukrainehivi vita vitaisha lini au ndio kama ya urusi na ukrain?
US ndio anawauwa siri imeanza kutoka anatoa 7 million ili apate information zao
View: https://youtu.be/VLCm_CJ1lPc?si=PG6fS7bKzVH0e-uS
Dah!...hii ndio inaitwa 'escalation'.Kamanda Mkuu wa operations za kijeshi wa kundi la Hezbollah ndugu Ibrahim Aqil ameuawa mchana leo kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Israel Jijini Beirut nchini Lebanon.
=======
Hezbollah official Ibrahim Aqil in an undated photo. (US Department of State)
A source close to Lebanon’s Hezbollah says the Israeli strike in Beirut’s Dahiyeh neighborhood killed Ibrahim Aqil, a senior commander in the terror group’s elite Radwan unit.
“The Israeli air strike killed Radwan Force commander Ibrahim Aqil, its armed force’s second-in-command after Fuad Shukr,” who was killed by an Israeli strike in July, also in Hezbollah’s southern Beirut stronghold, says the source who requested anonymity to discuss sensitive matters.
Soma Pia:
Ayatula hana hamu😆😆😆😆 nasikia kakaa mbali na vyombo vya Kielectroniki😁
View attachment 3101236
Ayatula mwenzake akiwa na Pager kabla ya umauti haujamkuta.😁
Huyo mtotooooooooooooo"mtoto kautaka mtoto kautaka"
Hyo inaitwa chaka to chakaUS alimpeleka chaka Ukraine
Iran naye anampeleka chaka Lebanon
Who told you so??Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Wanajua alipo ila lengo sio kumuua, lengo ni Lebanon ifanywe kama iilivyo Gaza.Imeshindwaje kumlenga Jemedari wao Nasrala ili ugomvi ufikie mwisho,
?