Israel yamuua Kiongozi wa juu wa kikundi magaidi wa Hezbollah, Ali Ahmed Hassin

Israel yamuua Kiongozi wa juu wa kikundi magaidi wa Hezbollah, Ali Ahmed Hassin

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote,

Kiongozi mwingine wa ngazi za juu wa kikundi cha ugaidi cha Hezbollah auawa na Jeshi la Israel Katika mji wa as-Sultaniyah huko Lebanon ya Kusini.

Ali Ahmed Hassin akiongoza kikosi maalumu cha askari wenye Weledi mkubwa almaarufu Radwan na aliuawa kwa shambulizi la ndege za Israel yeye pamoja na wasaidizi wake wawili.

Kazi ya kuwasaka magaidi wahusika wa mauaji ya Oktoba 7 yaliyopelekea vifo vya watu 1,200 Israel inaendelea

Kazi inaendelea
Mungu ibariki Israel

============

The IDF says it eliminated a senior field commander in Hezbollah’s elite Radwan force in an airstrike in southern Lebanon overnight.

Ali Ahmed Hassin, according to the IDF, held a rank equivalent to a brigade commander, and was charged with attacks on northern Israel’s Ramim Ridge, an area that has come under repeated rocket, missile, and drone attacks amid the war.

“As part of his role, he was responsible for the planning and execution of terror attacks in the Ramim Ridge area against the Israeli home front,” the IDF says.

Hassin was struck in the southern Lebanon town of as-Sultaniyah. According to the IDF, another two Hezbollah operatives under his command were killed in the strike.
 
Wadau hamjamboni nyote

Kiongozi mwingine wa ngazi za juu wa kikundi cha ugaidi cha Hezbollah auawa na Jeshi la Israel Katika mji wa as-Sultaniyah huko Lebanon ya Kusini.


Ali Ahmed Hassin akiongoza kikosi maalumu cha askari wenye Weledi mkubwa almaarufu Radwan na aliuawa kwa shambulizi la ndege za Israel yeye pamoja na wasaidizi wake wawili.

Kazi ya kuwasaka magaidi wahusika wa mauaji ya Oktoba 7 yaliyopelekea vifo vya watu 1,200 Israel inaendelea


Kazi inaendelea
Mungu ibariki Israel

The IDF says it eliminated a senior field commander in Hezbollah’s elite Radwan force in an airstrike in southern Lebanon overnight.

Ali Ahmed Hassin, according to the IDF, held a rank equivalent to a brigade commander, and was charged with attacks on northern Israel’s Ramim Ridge, an area that has come under repeated rocket, missile, and drone attacks amid the war.

“As part of his role, he was responsible for the planning and execution of terror attacks in the Ramim Ridge area against the Israeli home front,” the IDF says.

Hassin was struck in the southern Lebanon town of as-Sultaniyah. According to the IDF, another two Hezbollah operatives under his command were killed in the strike.
WATAKUJA HAPA WAKUPE MASAA 48 🤣🤣🤣
 
Wadau hamjamboni nyote,

Kiongozi mwingine wa ngazi za juu wa kikundi cha ugaidi cha Hezbollah auawa na Jeshi la Israel Katika mji wa as-Sultaniyah huko Lebanon ya Kusini.

Ali Ahmed Hassin akiongoza kikosi maalumu cha askari wenye Weledi mkubwa almaarufu Radwan na aliuawa kwa shambulizi la ndege za Israel yeye pamoja na wasaidizi wake wawili.

Kazi ya kuwasaka magaidi wahusika wa mauaji ya Oktoba 7 yaliyopelekea vifo vya watu 1,200 Israel inaendelea

Kazi inaendelea
Mungu ibariki Israel

============

The IDF says it eliminated a senior field commander in Hezbollah’s elite Radwan force in an airstrike in southern Lebanon overnight.

Ali Ahmed Hassin, according to the IDF, held a rank equivalent to a brigade commander, and was charged with attacks on northern Israel’s Ramim Ridge, an area that has come under repeated rocket, missile, and drone attacks amid the war.

“As part of his role, he was responsible for the planning and execution of terror attacks in the Ramim Ridge area against the Israeli home front,” the IDF says.

Hassin was struck in the southern Lebanon town of as-Sultaniyah. According to the IDF, another two Hezbollah operatives under his command were killed in the strike.
Magaidi wa Israel wameua tena.Magaidi wamuua raia wa kawaida.
 
Leo IDF wameanza kuingia mji wa rafah huku vikosi vingine vikienda mpakani KUPIGANA na Hezbollah..
Hii vita dunia itaenda kuandika historia Kwa miaka 50 ijayo
Magaidi waisrael,wanaua raia,hii ndio tabia ya magaidi.Kuuwa raia ovyo.
 
Wadau hamjamboni nyote,

Kiongozi mwingine wa ngazi za juu wa kikundi cha ugaidi cha Hezbollah auawa na Jeshi la Israel Katika mji wa as-Sultaniyah huko Lebanon ya Kusini.

Ali Ahmed Hassin akiongoza kikosi maalumu cha askari wenye Weledi mkubwa almaarufu Radwan na aliuawa kwa shambulizi la ndege za Israel yeye pamoja na wasaidizi wake wawili.

Kazi ya kuwasaka magaidi wahusika wa mauaji ya Oktoba 7 yaliyopelekea vifo vya watu 1,200 Israel inaendelea

Kazi inaendelea
Mungu ibariki Israel

============

The IDF says it eliminated a senior field commander in Hezbollah’s elite Radwan force in an airstrike in southern Lebanon overnight.

Ali Ahmed Hassin, according to the IDF, held a rank equivalent to a brigade commander, and was charged with attacks on northern Israel’s Ramim Ridge, an area that has come under repeated rocket, missile, and drone attacks amid the war.

“As part of his role, he was responsible for the planning and execution of terror attacks in the Ramim Ridge area against the Israeli home front,” the IDF says.

Hassin was struck in the southern Lebanon town of as-Sultaniyah. According to the IDF, another two Hezbollah operatives under his command were killed in the strike.
Magaidi wa Israel,ni kuvamia raia wasio na silaha na kuwaua.
 
Serikali ya Lebanon ni waarabu, lakini kwa tukio hili la kumuua huyo jamaa, watakuwa wameenda kuchekea chooni
 
Ukinishambulia halafu unaenda kujificha kwenye raia kama Ngao huo ni ujinga au sio ujinga.?
Sio kujificha kwa raia, Israel kwenye infrantry wamebakiza merkava tu, wanategemea air force na hapo waarabu wanajificha kwenye tunnels, kwa hasira anaamua kupiga nyumba za raia.
 
Back
Top Bottom