Israel yamuua Kiongozi wa juu wa kikundi magaidi wa Hezbollah, Ali Ahmed Hassin

Israel yamuua Kiongozi wa juu wa kikundi magaidi wa Hezbollah, Ali Ahmed Hassin

Magaidi wa Israel,ni kuvamia raia wasio na silaha na kuwaua.
Wapumbavu kweli wanaua hadi watoa misaada.
Israel hawajiamini, wanafanya hivyo kuogopeka na kuleta hofu, ni kwa sababu ya uoga na vita hawawezi.
 
Sio kujificha kwa raia, Israel kwenye infrantry wamebakiza merkava tu, wanategemea air force na hapo waarabu wanajificha kwenye tunnels, kwa hasira anaamua kupiga nyumba za raia.
Tunnels ziko chini ya Nyumba za raia kwahiyo Idiots wanafokiri raia wao wakiuwawa Dunia itapiga kelele hii strategy imesababisha Waarabu elfu arobaini kuuwawa ni u Idiot wa hali ya juu sana.
 
Wapumbavu kweli wanaua hadi watoa misaada.
Israel hawajiamini, wanafanya hivyo kuogopeka na kuleta hofu, ni kwa sababu ya uoga na vita hawawezi.
Wapumbavu wale wanaovua nguo za kijeshi na kujifichwa kwa wanawake na watoto.
 
Only if US and UK wakiwa wame collapse kwanza but As Long as baba ake na kaka ake wapo hai sahau iyo kitu
Viongozi wengi tu wa US na EU wamepiga kelele, Israel ime feli, vita imemshinda, na sasa hivi anpoelekea ndiko kubaya zaidi.
Israel.png

Hata kauli ya TRump hukusikia alichosema?
US ipo radhi kupambana kufa na kupona kuiokoa UK lakini sio Israel.
Hata US sasa hivi kutoa msaada kwenda Israel wanaona kama wana support mauaji ya halaiki, ugaidi na uvunjaji wa haki za kibinadamu.
Israel ni taifa lililofeli.
 
Tunnels ziko chini ya Nyumba za raia kwahiyo Idiots wanafokiri raia wao wakiuwawa Dunia itapiga kelele hii strategy imesababisha Waarabu elfu arobaini kuuwawa ni u Idiot wa hali ya juu sana.
Mbinu za kivita na uwezo ni mdogo, kama wanaziona hizo tunnels si washuke waende special forces mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba.
 
Viongozi wengi tu wa US na EU wamepiga kelele, Israel ime feli, vita imemshinda, na sasa hivi anpoelekea ndiko kubaya zaidi.
View attachment 2957667
Hata kauli ya TRump hukusikia alichosema?
US ipo radhi kupambana kufa na kupona kuiokoa UK lakini sio Israel.
Hata US sasa hivi kutoa msaada kwenda Israel wanaona kama wana support mauaji ya halaiki, ugaidi na uvunjaji wa haki za kibinadamu.
Israel ni taifa lililofeli.
Bro Trump ni candidate Lakini Biden ni incharge mpaka sasa so mawazo ya Trump ni mawazo ya Raia na sio Office japo ni MTU mwenye nguvu ila Kwa Sasa hana mamraka

Katika nchi wajua kucheza mind games ni US wakitumia Media inafurahisha ulivyo sema.
"Hata US sasa hivi kutoa msaada kwenda Israel wanaona Kama wana support mauaji ya haraiki"

Bro hapo middle East yote Israel Ndio kete ya ushindi kwa US usidanganyike na Media wakiojiwa wata laani sana ila usiku wanatuma misaada

Screenshot_20240408-125823.png

Hii ni tarehe 4 April 2024 juzi tu apa
 
Back
Top Bottom