Israel yapanga kumalizia hasira zake kwa watoto, wakina mama na walemavu huko Rafah

Israel yapanga kumalizia hasira zake kwa watoto, wakina mama na walemavu huko Rafah

Nina imani vingi ulikuwa haujui. Hii ya wairan kuwa sio waarab umeijua kupitia comment yangu.

Kwa sababu ungekuwa unajua kuwa wairan sio waarab, usingekuwa unaongelea waarab wakati hapa tunajadili wayahudi wa waajemi.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚we utakua una mental illness
Nimekwambia waarabu walikua na mission ya kuingโ€™oa israel.
Wairan wamekua adui wa israel mwaka 1979 baada ya kupindua serikali ya kifalme na kusimika serikali ya Kiislam.
Kwaiyo ukifuatilia kua waliokua n uchungu na chuki dhidi ya waisrael ni waarabu maana tangu 1947 wanalipigia kelele
 
mkuu inaonekana ushoga unakutesa sana!! Unautumia kama tusiโ€ฆ. ndo maana umeweka picha ya mwanaume mwenzio mwenye 6pack??
Anyway hujui unachokiongoea ww!!
Kwaiyo ulitakaje labda??? Ulitaka hizo drone zisifike??
Ishu siyo kurusha ngumi ! Swali je ngumi imeleta madhara gan
Wewe umejuaje kama hiyo picha ni ya mtu mungine? Kama ni yangu mpaka nikuambie?

Nakupe video yenye kadhara makubwa yaliosababishwa na makombora ya Iran ndan ya ardhi ya Israel, halaf naomba na wewe uniwekee ya Israel iliyosababisha madhara ndani ya ardhi ya Iran.

Nakumbuka shambulio la Iran lilitolewa taarifa mapema kabla ya kuanza kufunguliwa makombora, lakini vinchi vyenu vyote vinane ikiwemo Israel, Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani vikashindwa kuzuia. Israel kashambulio kake akakafanya ka kushtukiza akizani akishtukiza katashindwa kuzuiliwa na kuleta madhara makubwa, lakini kwa bahati mbaya kashambulio kakazuiliwa na nchi moja tu Iran yenyewe tena bila hata kufika chini.

Angalia shambulio la kweli ambalo lilisababisha dunia nzima wapige kelele, japo media za magharibi ambazo mnapenda kuangalia zilificha hizi video ili kuiepusha Israel na aibu ya shambulio, but haikusaidia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Chezeni na hao hao waarab wenu.
 

Attachments

  • 5694720-74202fee70ac282f58720672dc9d5d76.mp4
    7.6 MB
mtu mwemy
Wewe umejuaje kama hiyo picha ni ya mtu mungine? Kama ni yangu mpaka nikuambie?

Nakupe video yenye kadhara makubwa yaliosababishwa na makombora ya Iran ndan ya ardhi ya Israel, halaf naomba na wewe uniwekee ya Israel iliyosababisha madhara ndani ya ardhi ya Iran.

Nakumbuka shambulio la Iran lilitolewa taarifa mapema kabla ya kuanza kufunguliwa makombora, lakini vinchi vyenu vyote vinane ikiwemo Israel, Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani vikashindwa kuzuia. Israel kashambulio kake akakafanya ka kushtukiza akizani akishtukiza katashindwa kuzuiliwa na kuleta madhara makubwa, lakini kwa bahati mbaya kashambulio kakazuiliwa na nchi moja tu Iran yenyewe tena bila hata kufika chini.

Angalia shambulio la kweli ambalo lilisababisha dunia nzima wapige kelele, japo media za magharibi ambazo mnapenda kuangalia zilificha hizi video ili kuiepusha Israel na aibu ya shambulio, but haikusaidia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Chezeni na hao hao waarab wenu.
Wewe umejuaje kama hiyo picha ni ya mtu mungine? Kama ni yangu mpaka nikuambie?

Nakupe video yenye kadhara makubwa yaliosababishwa na makombora ya Iran ndan ya ardhi ya Israel, halaf naomba na wewe uniwekee ya Israel iliyosababisha madhara ndani ya ardhi ya Iran.

Nakumbuka shambulio la Iran lilitolewa taarifa mapema kabla ya kuanza kufunguliwa makombora, lakini vinchi vyenu vyote vinane ikiwemo Israel, Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani vikashindwa kuzuia. Israel kashambulio kake akakafanya ka kushtukiza akizani akishtukiza katashindwa kuzuiliwa na kuleta madhara makubwa, lakini kwa bahati mbaya kashambulio kakazuiliwa na nchi moja tu Iran yenyewe tena bila hata kufika chini.

Angalia shambulio la kweli ambalo lilisababisha dunia nzima wapige kelele, japo media za magharibi ambazo mnapenda kuangalia zilificha hizi video ili kuiepusha Israel na aibu ya shambulio, but haikusaidia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Chezeni na hao hao waarab wenu.
c ya kweli hii ayo makombora yamepigwa mlimani??? hali ingekua hivo israel ingekua ishashambulia iran
 
mtu mwemy


c ya kweli hii ayo makombora yamepigwa mlimani??? hali ingekua hivo israel ingekua ishashambulia iran
Ama kweli kuzaliwa na kukulia kijijini ni shida. Yani sim unayo lakini unakosa taarifa. Kwani wewe haukusikia waisrael walivyocharuka kutokana na kipigo walichopata. Ndo Biden baada ya kuuona uzito wa shambulizi ambalo nchi nane wameshindwa kulizuia akamwambia Netanyahu asithubutu kuingia vitani na Iran, kwani safari nyingine wao wamarekani wataacha kujiingiza kwenye shughuli ya kuzuia makombora ya Iran yasiozuilika na huenda mara ya pili Iran hatotoa taarifa tena la shambulio. Hivyo maafa na hasara kwa Israel zitakuwa kubwa zaidi ya siku ile.

Kumbuka Iran imesema kuwa Israel ikithubutu tena kugusa masilahi yake, basi itaongeza kiwango cha kipigo. Yani kama kile kipimo walikipima kwa uzito wa gram 5 basi safari nyingine itakuwa 10. Mu israel baada ya kusikia Mmarekani kakataa kumsiadia akanywea. Maana muisrael bila Mmarekani ni sawa na mtoto yatima bila mlezi.
 
Unazungumza nini kashambulia halafu anajihami na mkwara mzito wakirespond itakuwa vita, mbona wamejibu bila msaada wa marekani na uingereza na washirika wengine, ile ni sovereign state haitegemei tu misaada kulipa kisasi linapokuja swala la maslahi yake mapana
Wewe unafaa kushirikiana na mzee Isufu kuimba taarab, maana toka nimesoma ulichoandika, sijaona fact wala chochote cha maana ulichoandika zaidi ya kujaza mipasho comment nzima.

Anyway mimi sipendi mipasho, sisomi mipasho na wala sisikilizi mipasho. Mimi nakupa fact ambayo media za magharibi na nchi zao walikuwa wamejaribu kuificha ili waendelee kuwalaghai nyinyi chawa wao.

Natuma video ya shambulio la Iran nchini Israel ambalo limeshindwa kuzuiwa na nchi zenu 8 mnazoamini kuwa zina ulinzi bora wa anga. Halaf na wewe utatuma video ya shambulio la Israel nchini Iran tupime shambulio lenye lililoleta uharibifu zaidi kwa mwenzake.

Kumbuka Iran alijiamini kuwa hakuna nchi ya kuweza kuzuia makombora yake yote, ndomaana alitoa taarifa mapema kabla ya kufyatua makombora, ili wamarekani wajitahidi kuyazuia. Mwisho wa siku tukaona kuwa pamoja na kupewa taarifa na kufanya maandalizi ya kuzuia week nzima, lakini makombora yalipita katikati ya ulinzi wao wa anga na kwenda kuiadhibu Israel.

Lakini Israel yeye hakutoa taarifa ya kushambulia, kama kawaida yake akajiandaa na kashambulio ka kushtukiza akifikiri atakuta ulinzi wa anga wa Iran umelala kama ulivyokuwa umelala wa kwao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mwisho wa siku wayahudi wakaambulia aibu kwa shambulio lililozuiwa na nchi moja tu (Iran) bila msaada wa yoyote๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Attachments

  • 5694720-74202fee70ac282f58720672dc9d5d76.mp4
    7.6 MB
Kwani hiyo athari umeiona mwenyewe tu [emoji848], mbona hamna hata madhara yaliyolipotiwa, ni kweli shambulizi limefanywa lakini interception ilikuwa 99%, sasa hayo madhara tena makubwa niyapi labda wengine hatuoni, wenzetu mnamacho ya rohoni, sitetei upande wowote but tuache ushabiki tuongee facts zenye ushahidi
Hakuna facts zozote utazozipata kutoka Israel kuhusu shambulio lililofanywa nchini kwao. Kwa kawaida dunia nzima hakuna nchi ambayo hukubali kirahisi rahisi jambo kama hilo.

Hata hapo Congo, mfano M23 wakiuwa askari 100 wa Congo, basi jeshi lazima litatangaza kuwa waliouwawa ni askari 10 tu ili kuifichia aibu serikali, na kuifanya serikali iendelee kuaminiwa na raia. Sasa tukija katika shambulio la Iran huko Israel, jeshi na serikali ya Israel ndio zimetoa report, halaf kwa upande wa media zimeripotiwa zaidi na BBC ya Uingereza ambayo ilikuwa moja ya nchi iliyoisaidia Israel kuzuia makombora ya Iran sasa hapo unategemea BBC itakuwa upande gani?

Pia media zingine ni CNN ya Marekani ambayo pia ni mshirika mkubwa wa Israel na yenyewe ndo hutoa msaada wa kijeshi, silaha nk kwa waisrael sasa unategemea hiyo CNN itakuwa upande gani?
Hivyo vyombo vyombo viwili nilivyokutajia hata raisi mstaafu wa Marekani mhe Donald Trump alikuwa haviamini hata kidogo, anakwambia vinaongoza kwa kupiga propaganda mbali mbali za kisiasa na kijamii. Sasa kama Trump aliekuwa raisi wa taifa kubwa kama Marekani alikuwa haamini habari zinazotolewa na hivyo vyombo wewe ni nani mpaka ukimbilie kuamini?

Ukiangalia hiyo video niliokutumia na kuipa akili yako uhuru wa kupambanua mambo bila kubebwa na mihamko utaona ukweli jinsi taarifa hii ilivyofichwa fichwa ili kupoteza ukweli, lakini wenye akili ukweli tumeuona. Wewe endelea kusubiri kina Netanyahu wakupimie taarifa za kukuletea.
 

Attachments

  • 5694720-74202fee70ac282f58720672dc9d5d76.mp4
    7.6 MB
Hakuna facts zozote utazozipata kutoka Israel kuhusu shambulio lililofanywa nchini kwao. Kwa kawaida dunia nzima hakuna nchi ambayo hukubali kirahisi rahisi jambo kama hilo.

Hata hapo Congo, mfano M23 wakiuwa askari 100 wa Congo, basi jeshi lazima litatangaza kuwa waliouwawa ni askari 10 tu ili kuifichia aibu serikali, na kuifanya serikali iendelee kuaminiwa na raia. Sasa tukija katika shambulio la Iran huko Israel, jeshi na serikali ya Israel ndio zimetoa report, halaf kwa upande wa media zimeripotiwa zaidi na BBC ya Uingereza ambayo ilikuwa moja ya nchi iliyoisaidia Israel kuzuia makombora ya Iran sasa hapo unategemea BBC itakuwa upande gani?

Pia media zingine ni CNN ya Marekani ambayo pia ni mshirika mkubwa wa Israel na yenyewe ndo hutoa msaada wa kijeshi, silaha nk kwa waisrael sasa unategemea hiyo CNN itakuwa upande gani?
Hivyo vyombo vyombo viwili nilivyokutajia hata raisi mstaafu wa Marekani mhe Donald Trump alikuwa haviamini hata kidogo, anakwambia vinaongoza kwa kupiga propaganda mbali mbali za kisiasa na kijamii. Sasa kama Trump aliekuwa raisi wa taifa kubwa kama Marekani alikuwa haamini habari zinazotolewa na hivyo vyombo wewe ni nani mpaka ukimbilie kuamini?

Ukiangalia hiyo video niliokutumia na kuipa akili yako uhuru wa kupambanua mambo bila kubebwa na mihamko utaona ukweli jinsi taarifa hii ilivyofichwa fichwa ili kupoteza ukweli, lakini wenye akili ukweli tumeuona. Wewe endelea kusubiri kina Netanyahu wakupimie taarifa za kukuletea.
Umejibu vyema mkuu hakuna taifa litatoa taarifa sahihi ili kuepusha aibu, unafikiri hao Iran ulitegemea wakuambie comeback ya Sons of Jacob imeleta athari kubwa kiasi gani kwao, kama kweli athari ni siri ya jeshi akili kumkichwa, watakupoza tu ni kashambulio kadogo ili kujenga imani na kujimwambafai
Halafu acha kupotosha umma, hako ka video sio mashambulizi ya Iran, hayo makombora yalirushwa na Hezbollah towards nothern parts of Israel, kama tu walivyo fanya Hamas kipindi kile, kwanza ni rockets tu zenye milipuko maana Hezbollah hawana missiles ambalo pia Israel ilijibu kama kawaida yao muwe mnafatilia vitu kuepuka aibu zingine ndogo ndogo kama hizi, na ukifatilia vizuri huo mji upo northern parts of Israel, hakuna shambulizi la Iran lilikuwa lime target northern parts of Israel wao walilenga zaidi vituo vya kijeshi Jerusalem na Tel Aviv kwa kiasi kikubwa ambapo still waliambulia patupu jana wakawa wanaonesha mabaki ya ballistic missiles zilizotunguliwa hata mazingira husika hayajui kama kuna dubwasha limeanguka, ku attack Jerusalem na Tel Aviv Israel tena kwa makombora ujipange sana sio Isfahan hiyo [emoji16], maeneo yote ya kimkakati ya Israel hata kunusa tu sio rahisi.

Na siku zote vita huwa ni target au malengo sio kumshambulia tu adui, ndio maana huwezi piga tu kombora la mamilioni ya fedha kwenye open space isiyo na faida kwako wala hasara kwa adui na wewee ukasema nimeshambulia utakuwa ni ujinga wa kiwango cha SGR(utani [emoji16])lazima uangalie target za kimkakati za nchi na jeshi zitakazoleta uharibifu kwa adui na faida kwako, sasa nikuulize target gani ambayo Iran wamelenga ikafanikiwa swali dogo tu? Au umeona moshi tu unapanda juu ukachanganyikiwa tu [emoji16], au nipe jina la huo mji wa Israel ulioweka kwenye video yako ulipigwa, si ajabu hata huujui na mi sishangai maana, lakini leo Dunia nzima inatamgu

lakini Isfahan imeshambuliwa tena toys jinsi walivyowadharau, na ikumbukwe kwa Iran ni moja ya miji mikubwa ya kimkakati yaani facility muhimu kwa nchi na jeshi zipo pale ikiwemo mitambo ya kurutubisha madini ya Uranium na kambi kubwa ya jeshi na ghala za kuhifadhia silaha ikiwemo za nuclear na by the way haikuwa shambulio ila ilikuwa ni taarifa inatumwa kwa mzee Khamenei kwamba mzee utachapika hata kama ni kwenye birthday yako ohho [emoji16].

Maana Israel kama Israel kwa historia tu ikiamua kweli kufanya shambulizi lazima Dunia Isimame na hii sio propaganda ni facts isiyo na ubishi, ikisema kabisa tunavamia taifa fulani aloo ni mpaka watu wa haki za binadamu wapige kelele, Baraza la usalama la umoja wa mataifa liingilie kati, Hashtags za #prayfor.. #justicefor... [emoji16], hiyo ndio design ya mashambulizi ya Kiyahudi kitaalam inaitwa 1:100 kuelewa hiyo at least uwe na D mbili [emoji16] tena sio za Arabic language na Islamic knowledge(utani tu huo[emoji16])
So
 
Back
Top Bottom