Israel yapigwa vibaya ndani ya Gaza. Wapi Hamas wanapata silaha? Inashangaza

Israel yapigwa vibaya ndani ya Gaza. Wapi Hamas wanapata silaha? Inashangaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya Israel kuuzingira mji wa kusini wa Rafah na kuudhibiti ukanda wa Philadephi unaotenganisha na Misri ilitarajiwa kama walivyojitapa Israel ingekuwa ndio mwisho wa nguvu za Hamas.

Maelezo yaliyokuwa yakitolea na Israel ni kwamba Hamas wana mahandaki wanayotumia kuingiza silaha Gaza.

Fikra hiyo imethibitika kuwa si kweli na kuupa nguvu ule utafiti uliofanywa na vyombo vya habari vikubwa vya Marekani kuwa sehemu kubwa ya silaha wanazotumia Hamas ama ni kubadili matumizi silaha zinazoshindwa kuripuka na zile wanazozikwapua kutoka kwa askari majeruhi au maiti wa IDF na pia zile zinazopenyezwa kwa Hamas moja kwa moja kutoka vikosi vya Israel

Utafiti huo unazidi kupata nguvu kwani katika wiki hii askari wengi wa Israel wamekuwa wakiuliwa vikosi vizima vizima kusini na kaskazini ya jimbo hilo la Gaza.

Tangu juzi kundi la Qassam limekuwa likitangaza kwa mfululizo kuangamiza vikosi vya Israel kwa kupiga magari yao au kuwategeshea kuingia kwenye majengo ambayo baadae huripuliwa na Hamas kutokea mbali.

Where Is Hamas Getting Its Weapons? Increasingly, From Israel.

1719600842149.png
 
Mpaka Sasa wamekufa wapalestina wangapi na Waisraeli wangapi? Mbona idf waliokufa hawazidi 400 toka October, 30,2023, wakati wapalestina wamekufa makumi elfu wakiwemo Hamas, ambayo ninyi wavaa vipedo na misuli wenzako mnadai ni wanawake, watoto na raia wasio na hatia? Punguza propaganda wewe mvaa misuli wahedi 🤔
 
Mpaka Sasa wamekula wapalestina wangapi na Waisraeli wangapi? Mbona idf waliokufa hawazidi 400 toka October, 30,2023, wakati wapalestina wamekufa makumi elfu wakiwemo Hamas, ambayo ninyi wavaa vipedo na misuli wenzako mnadai ni wanawake, watoto na raia wasio na hatia? Punguza propaganda wewe mvaa misuli wahedi 🤔
Mona povu limetoka sana au were mvaa kijora😂
 
Mpaka Sasa wamekula wapalestina wangapi na Waisraeli wangapi? Mbona idf waliokufa hawazidi 400 toka October, 30,2023, wakati wapalestina wamekufa makumi elfu wakiwemo Hamas, ambayo ninyi wavaa vipedo na misuli wenzako mnadai ni wanawake, watoto na raia wasio na hatia? Punguza propaganda wewe mvaa misuli wahedi 🤔
Walokole baba wanajeshi waliokufa hawazidi 400 ww kichaa kweli
 
Mpaka Sasa wamekula wapalestina wangapi na Waisraeli wangapi? Mbona idf waliokufa hawazidi 400 toka October, 30,2023, wakati wapalestina wamekufa makumi elfu wakiwemo Hamas, ambayo ninyi wavaa vipedo na misuli wenzako mnadai ni wanawake, watoto na raia wasio na hatia? Punguza propaganda wewe mvaa misuli wahedi 🤔
Israel wanasema askari wao waliokufa kwa hesabu zao tu ni 1500.Wewe umeshikilia 400.
Hamas hawaweki hesabu ya idf waliokufa lakini ukiangalia taarifa zao ni wengi sana na maelfu waliojeruhiwa wanaweza kuzidi hata 2500.
Kombora walilotumia Hamas juzi ni lile la ndege ya F16 Lililoshindwa kuripuka.Wamelirekebisha na kuwarudishia liwauwe wenyewe.
 
Mpaka Sasa wamekula wapalestina wangapi na Waisraeli wangapi? Mbona idf waliokufa hawazidi 400 toka October, 30,2023, wakati wapalestina wamekufa makumi elfu wakiwemo Hamas, ambayo ninyi wavaa vipedo na misuli wenzako mnadai ni wanawake, watoto na raia wasio na hatia? Punguza propaganda wewe mvaa misuli wahedi 🤔
mkuu wameua raia tu wengi sana karibu34000, lakini ukiwauliza kuhusu wanajeshi wa hamas idadi hawana jibu
 
mkuu wameua raia tu wengi sana karibu34000, lakini ukiwauliza kuhusu wanajeshi wa hamas idadi hawana jibu
Hawa wavaa Pampers wao wamezowea kurusha maboom tu kwenye majumba, lakini vita inataka wanaume, na Israel hawezi waface Hamasi na huko kwa Hezbullah hasogei kabisa, ataishia kurisha tu viboom ile full war ataiweza wapi.

Hio ya kurusha maboom tu au kuwauwa sijui kamanda wa Hezbullah, anaiweza skisha pewa infomation na ndege za Uingereza zinazo spy Lebanon kutokea Cyprus.
 
Vita sio jambo la kuleta ushabiki
angalau tuone video waisrael wanaolia lia kama walivyolia wapalestina
 
Mpaka Sasa wamekula wapalestina wangapi na Waisraeli wangapi? Mbona idf waliokufa hawazidi 400 toka October, 30,2023, wakati wapalestina wamekufa makumi elfu wakiwemo Hamas, ambayo ninyi wavaa vipedo na misuli wenzako mnadai ni wanawake, watoto na raia wasio na hatia? Punguza propaganda wewe mvaa misuli wahedi 🤔
Mazayuni kila wanaponyukwa wanakimbilia kuuwa watoto na mama zao tena mahospitalini.

Mashoga wa kizayuni siyo wapiganaji.
 
Back
Top Bottom