Israel yapigwa vibaya ndani ya Gaza. Wapi Hamas wanapata silaha? Inashangaza

Israel yapigwa vibaya ndani ya Gaza. Wapi Hamas wanapata silaha? Inashangaza

Baada ya Israel kuuzingira mji wa kusini wa Rafah na kuudhibiti ukanda wa Philadephi unaotenganisha na Misri ilitarajiwa kama walivyojitapa Israel ingekuwa ndio mwisho wa nguvu za Hamas.

Maelezo yaliyokuwa yakitolea na Israel ni kwamba Hamas wana mahandaki wanayotumia kuingiza silaha Gaza.

Fikra hiyo imethibitika kuwa si kweli na kuupa nguvu ule utafiti uliofanywa na vyombo vya habari vikubwa vya Marekani kuwa sehemu kubwa ya silaha wanazotumia Hamas ama ni kubadili matumizi silaha zinazoshindwa kuripuka na zile wanazozikwapua kutoka kwa askari majeruhi au maiti wa IDF na pia zile zinazopenyezwa kwa Hamas moja kwa moja kutoka vikosi vya Israel

Utafiti huo unazidi kupata nguvu kwani katika wiki hii askari wengi wa Israel wamekuwa wakiuliwa vikosi vizima vizima kusini na kaskazini ya jimbo hilo la Gaza.

Tangu juzi kundi la Qassam limekuwa likitangaza kwa mfululizo kuangamiza vikosi vya Israel kwa kupiga magari yao au kuwategeshea kuingia kwenye majengo ambayo baadae huripuliwa na Hamas kutokea mbali.

Where Is Hamas Getting Its Weapons? Increasingly, From Israel.

View attachment 3028619
Hii vita imeleta maafa Sana....ifike mwisho tu
 
Baada ya Israel kuuzingira mji wa kusini wa Rafah na kuudhibiti ukanda wa Philadephi unaotenganisha na Misri ilitarajiwa kama walivyojitapa Israel ingekuwa ndio mwisho wa nguvu za Hamas.

Maelezo yaliyokuwa yakitolea na Israel ni kwamba Hamas wana mahandaki wanayotumia kuingiza silaha Gaza.

Fikra hiyo imethibitika kuwa si kweli na kuupa nguvu ule utafiti uliofanywa na vyombo vya habari vikubwa vya Marekani kuwa sehemu kubwa ya silaha wanazotumia Hamas ama ni kubadili matumizi silaha zinazoshindwa kuripuka na zile wanazozikwapua kutoka kwa askari majeruhi au maiti wa IDF na pia zile zinazopenyezwa kwa Hamas moja kwa moja kutoka vikosi vya Israel

Utafiti huo unazidi kupata nguvu kwani katika wiki hii askari wengi wa Israel wamekuwa wakiuliwa vikosi vizima vizima kusini na kaskazini ya jimbo hilo la Gaza.

Tangu juzi kundi la Qassam limekuwa likitangaza kwa mfululizo kuangamiza vikosi vya Israel kwa kupiga magari yao au kuwategeshea kuingia kwenye majengo ambayo baadae huripuliwa na Hamas kutokea mbali.

Where Is Hamas Getting Its Weapons? Increasingly, From Israel.

View attachment 3028619
Naangalia Al Jazeera hicho unachosema mBona sikioni..,all the week siJaona kupigwa vibaya
 
Naangalia Al Jazeera hicho unachosema.mnona sikioni..,all the week sinaona kipigwa vibaya
Mkuu usiwaamini hao dini yako inawashurutisha kuongopa wanaita Taqiyya kiongozi wao bingwa wa uongo anaitwa Allah...
 
We hebu tupe elimu yako ya neno gaidi unalielewa vipi?

Ikiwa Israel anauwa watoto, wanawake , vizee anapiga majumba ya watu hayana hata silaha huyo sio gaidi.

We gaidi ni mtu anaye dai haki yake au sio.

Msalaba ni lana kama bibilia zenu zinavyo sema 😄
Fake Muslim unaongea nini kutoka kwa Allah.. hivi mliambiwa msipofanya dhambi Allah atawaondoa uhai wenu na kureplace watu wanaofanya dhambi tu ili wawe wanatubu ndio Allah anapenda kuombwa msamaha... Allah ni Iblis.. Lete hiyo Biblia inayosema Msalaba ni laana
 
Mazayuninkila wanaponyukwa wanakimbilia kuuwa watoto na mama zao tena mahospitalini.

Mashoga wa kizayuni siyo wapiganaji.
Tuletee picha za walizouwawa na majina yao tukuamini kama huna shut up and stop spreading lies same like your prophet eti katokewa na jibreel anamuambia asome nae akasema hawezi... jiulize Jibreel alimuambia asome kitabu wakati quran sio kitabu ni maneno tu yaliyokarilishwa kichwani.. uongo wenu shetani kamuingia mudy alafu eti soma akasema siju Mwanzo wa uongo wa uislam yaani picha linaanza tu uongo.. kama mudy alikuwa muongo basi na waumini vile vile waongo
 
Tuletee picha za walizouwawa na majina yao tukuamini kama huna shut up
Ingia Youtube, sina kazi ya kukuhabarisha poyoyo usiyejijuwa.

Hamas washaseam hakuna kulala mpaka ukombozi.

Upande wa Kaskazini kuna Hebollah wanatembeza kichapo kila siku.

Baharini wapo Wayemeni, sasa hivi wanazuia meli zenye uhusiano na mazayuni za bahari nne kwa pamoja.

Basha wenu biden kaikimbiziza manowari kubwa ya kivita hapo bahari nyekundu, unalijuwa hilo?

Jana kuamkia leo Wayemeni wamezitandika meli nne katika bahari mbili au tatu tofauti. Unalijuwa hilo?

Mazayuni na mabasha zao siku hizi ni cha mtoto tu. Watu wamestukia toka walipochezea kichapo cha Taliban na kutolewa nduki.
 
Fake Muslim unaongea nini kutoka kwa Allah.. hivi mliambiwa msipofanya dhambi Allah atawaondoa uhai wenu na kureplace watu wanaofanya dhambi tu ili wawe wanatubu ndio Allah anapenda kuombwa msamaha... Allah ni Iblis.. Lete hiyo Biblia inayosema Msalaba ni laana
Mimi ni original Muslim dogo.


Kumbukumbu 21:22 “Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;

23 mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi wako”.

Utasoma sehemu nyingi, katika biblia mifano ya watu waliangikwa msalabani. (Mwanzo 40:18-19, Esta 2:22-23, Esta 7:10)
 
Ingia Youtube, sina kazi ya kukuhabarisha poyoyo usiyejijuwa.

Hamas washaseam hakuna kulala mpaka ukombozi.

Upande wa Kaskazini kuna Hebollah wanatembeza kichapo kila siku.

Baharini wapo Wayemeni, sasa hivi wanazuia meli zenye uhusiano na mazayuni za bahari nne kwa pamoja.

Basha wenu biden kaikimbiziza manowari kubwa ya kivita hapo bahari nyekundu, unalijuwa hilo?

Jana kuamkia leo Wayemeni wamezitandika meli nne katika bahari mbili au tatu tofauti. Unalijuwa hilo?

Mazayuni na mabasha zao siku hizi ni cha mtoto tu. Watu wamestukia toka walipochezea kichapo cha Taliban na kutolewa nduki.
Kila pigo moja linazalisha ushujaa ya pigo jengine.
Kwa kweli Taliban wametoa picha nzuri kwa waislamu kwamba hata ikichukua miaka 20 usikate tamaa na ushindi iwapo unamuamini Allah.
Hamas nao hakuna kusalim amri kwa watu waovu na mafisadi.Hata wasiposaidiwa na ndugu na majirani zao kwao Allah anawatosha na atabadilisha kila kitu ushindi uende kwa waislamu.
Houth mwanzo walionekana kama kichekesho na wapo wana JF wengi waliwadharau.Sasa umoja wa mataifa unapitisha azimio kuwaomba wasimamishe vita.Sidhani kwamba Houth watasikiliza maazimio hayo wakati UN imeshindwa kusimamia maazimio kwa makumi dhidi ya Israel kwa karibu karne sasa.
 
We hebu tupe elimu yako ya neno gaidi unalielewa vipi?

Ikiwa Israel anauwa watoto, wanawake , vizee anapiga majumba ya watu hayana hata silaha huyo sio gaidi.

We gaidi ni mtu anaye dai haki yake au sio.

Msalaba ni lana kama bibilia zenu zinavyo sema 😄
Magaidi ni Hamas, Islamic jihad, Hezbollah, bokoharam,alshabaab, alqaeda, Isis nk
 
Magaidi ni Hamas, Islamic jihad, Hezbollah, bokoharam,alshabaab, alqaeda, Isis nk
Sa mbona hutupi point kwanini mnawaita magaidi kwa kuwa wanapigana na Israel na USA.

Sa vipi US na Israel wao ni nani ikiwa Hamasi na Hezbullah na Jihad Al Islam ni magaidi.

Gaidi mimi navyo fahamu nimuwaji watoto,wanawake. Vizee kama anavyo fanya US na Israel

Hamasi sijawahi sikia kaenda nchi zingine kuvamia, au Hezbullah nilicho sikia Hezbullah alienda msaidia Syria bada ya US na mapuppets wake walivyo ivamia Syria..

Gaidi ni Wale wanao mwaga damu kila upande wa dunia kama US

Gaidi ni Israel ambaye kazi yake kuwauwa watoto, wanawake na kuvunja majumba.
 
Mpaka Sasa wamekufa wapalestina wangapi na Waisraeli wangapi? Mbona idf waliokufa hawazidi 400 toka October, 30,2023, wakati wapalestina wamekufa makumi elfu wakiwemo Hamas, ambayo ninyi wavaa vipedo na misuli wenzako mnadai ni wanawake, watoto na raia wasio na hatia? Punguza propaganda wewe mvaa misuli wahedi 🤔
Mbona povu linakutoka Yahudi wa Ifakara?
 
We hebu tupe elimu yako ya neno gaidi unalielewa vipi?

Ikiwa Israel anauwa watoto, wanawake , vizee anapiga majumba ya watu hayana hata silaha huyo sio gaidi.

We gaidi ni mtu anaye dai haki yake au sio.

Msalaba ni lana kama bibilia zenu zinavyo sema 😄
Mimi nachojua kuna wakati Kenya(Mombasa) walipitisha msako( operation) kwenye misikiti kusaka magaidi na walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuteketeza mitandao ya kigaidi baada ya kukuta vijana wanafundishwa ugaidi kwenye misikiti ambako kulikutwa na shehena za silaha za moto
 
Arabic channels lazima zioneshe vitu kama hivyo even if si za kweli. Al jazeerz ni ya waarabu lakini reporters wengi si waarabu hivyo hakuna u partisan
Siyo kweli, kuna Arabic channels mpaka za mazayuni.

Tazama za india, hazifungamani na upande wowote.
 
Mimi nachojua kuna wakati Kenya(Mombasa) walipitisha msako( operation) kwenye misikiti kusaka magaidi na walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuteketeza mitandao ya kigaidi baada ya kukuta vijana wanafundishwa ugaidi kwenye misikiti ambako kulikutwa na shehena za silaha za moto
Aisay kwa hio yule Mnewzeland alingia kuwauwa waislam kule New Zeland kwenye masjid alitokea si kanisani au umesahau
 
Back
Top Bottom