Biblia sio na haikuwahi kuwa na asili ya Maneno ya Mwenyezi Mungu Mtukufu.
Tafsiri ya neno Biblia ni Greek language means Book of Book.. so unaweza kutamka Vitabu vyaTorat na Injil.. ili ufurahi maana vimekusanywa pamoja sisi tunaita Book of books... Same na Quran Inatamka People of the Books...
Kasome Quran mjinga wewe unaibisha waislam unaowangoza.. kama wewe ni mjinga hao wengine bendera fata upepo wakoje? Chagua wewe ni mjinga au word of Allah ndio mjinga.. make a choice hahaha - Kitaabu ni Biblia =Torah+Injil
Enyi watu wa Kitabu...
Qul yaaa Ahlal Kitaabi
"O people of the Scripture!: Why do you disbelieve in the verses [about Prophet Muhammad (peace be upon him)] of Allah, while you (yourselves) bear witness (to their truth)." (Al ‘Imraan, 3:70)
And:
"Say: O people of the Scripture! Why do you stop those who believe from the path of Allah, seeking to make it crooked, while you (yourselves) are witnesses? And Allah is not unaware of what you do". (Al ‘Imran, 3:99)
Torati ilitumwa kwa Musa, amani iwe juu yake, na Injil (Injil, Habari Njema, Habari Njema) ikatumwa kwa Yesu, amani iwe juu yake, na sio kwa wanafunzi, wala kwa wadanganyifu ambao hawakuwahi hata kukutana na Yesu uso kwa uso. kama vile Paulo.
Paulo Bulus hahaha yupo kwenye Quran.. unapinga ujinga na nilishawahi kukuelewesha wewe ni Donkey hutauelewa uislam hadi kiama. Kasme tena Quran 36:14 kisha Tafsiri utamuona Paulo wa tatu safiii
Sababu kwa nini "injili" za Biblia zinaitwa hivyo leo ni kwa sababu zilipewa jina la Ufunuo wa awali ambao Yesu alikuwa nao.
Hivyo kwa maneno mengine, Injili halisi ni Injili ya Yesu Kristo.
Mengine yote ni uzushi kwenye vinywa vya Yesu na wanafunzi wake.
Hakuna kitu kama hicho, katika Uislamu, kinachoitwa "injili ya Mathayo", "injili ya Yohana", nk ... Mafundisho ya asili yamepotea kutoka katika dunia hii.
Quran 36:14 Inawataja kabisa Peter and John and the third Paul. tena Messenger wa Jesus not Allah Mji wa Antioch Makao makuu ya Roma enzi hizo kwa sasa ni Instabul Uturuki.
Qatadah bin Di`amah claimed that they were messengers of the Messiah, peace be upon him, sent to the people of Antioch.
﴿ إِذۡ أَرۡسَلۡنَآ إِلَيۡہِمُ ٱثۡنَيۡنِ فَكَذَّبُوهُمَا ﴾
(When We sent to them two Messengers, they denied them both
😉 means, they hastened to disbelieve in them.
﴿ فَعَزَّزۡنَا بِثَالِثٍ۬ ﴾
(so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were
Sham`un(Simon /Peter) and
Yuhanna,(
John) and the name of the third was
Bulus, and the city was Antioch (Antakiyah).
﴿ فَقَالُوٓاْ ﴾
(and they said) means, to the people of that city,
﴿ إِنَّآ إِلَيۡكُم مُّرۡسَلُونَ ﴾
Qur'ani Tukufu pekee ndiyo Neno asili la Mwenyezi Mungu Mtukufu. Hakuna kingine kinachosimama. Vitabu vingine vyote vina ufisadi na uongo ndani yake. Ndio maana Mwenyezi Mungu Mtukufu Akasema:
Acha urongo Quran imejaa uongo from the first cover to the last and cover Quran yenywe inasema = Quran ni maneno ya Mudy na sio Allah kasome Quran 69:40
إِنَّهُۥ لَقَوۡلُ رَسُولٖ كَرِيمٖ
Innahoo laqawlu Rasoolin kareem
Sahih International:
[That] indeed, the Qur’an is the word of a noble Messenger.
sasa Mudy ni Mtukufu aliyeomba kusamehewa dhambi za zamani na dhambi mpya zijazo yaani jamaa ni siner mdhambivu Quran 48:2
"Hakika sisi tumeteremsha Ujumbe, na kwa yakini tutaulinda (na ufisadi) (Qur'an Tukufu, 15:9).
Aliyetelemsha Quran ni Adui wa Jibreel so Allah anajitambulisha yeye ndie Adui wa Jibreel Iblis Quran 2:97
“Ni juu yetu kuikusanya na kuikusanya (yaani Qur’ani) na kuitangaza” (Qur’ani Tukufu, 75:17)”
Sasa kama ni juu ya akina Allah wengi kuikusanya quran na kuitangaza... Uthman ndio alikusanya kisha akazichoma quran 6 mliyobaki nayo imekusanywa na Hafs ambayo ni according accoding nyingi hadi Uthman acording to Mohamad acording to Jibreel according to Allah.. je hilo kundi ni mushrik wa Allah?? kuna wanaochoma Quran mnawapiga na muwaua why wakati mshaambiwa hiyo ni kazi ya Wakina Allah.
Mwenyezi Mungu hakuteremsha Injili kama kitabu wala Torati kama kitabu wala Quran kama kitabu
Naona unajirudi mwenyewe unakula matapishi yako.. Kama ni Hivyo tuambie Allah kuita watu wa Kitabu wakati hakuna kitabu je Allah ni Tahahira?
Usiandike kwa jaziba hata hufahamiki wacha chuki na jaziba tulia usome upate kufahamu uwache ukafiri , utakuingiza motoni bure kwa kiburi
Siandiki kwa Chuki wala Hasira nawaelewesheni nyie waislam kuwa mpo na Shetani.. be honest Elimu nayokupa hivi haikuingii moyoni ukajua Uislam ni ushetani? and umenikumbusha Allah anasema amepandikiza Chuki kwa Wakristo dhidi ya Wakristo na amepandikiza pia chuki kwa wahahudi dhidi ya wayahudi unadhani ni Mungu huyo? and wote anadai kawapa vitabu na wataenda Peponi...
Kuna aya zinashangaza kama ni Allah anaongea.. Eti mwanamke yeyote muumini iwe mke wa mtu au sio akijisia anaenda kwa mtume Mohamad na kumpa uchi wake atiwe.. ni Mungu huyu au Shetani? and kuna umuhimu gani kuwepo kwenye Kitabu cha Allah enh Soma Quran 33:50