Vikosi vya Houthi ndio jeshi la Yemeni la sasa.Ni Chama cha siasa kweli, lakini kimeenda mbali zaidi na kujiwekea mkondo wa kijeshi ndani ya chama. Hauwezi kuwa na majeshi mawili katika nchi moja. Ndo mana nimesema wanahifadhiwa kwa mana kwamba Yemen ana-intertain uwepo wa jeshi lisilo rasmi nchini mwake hata kama wahusika ni wenyeji.
Yan ACT wazalendo wawe na vikosi vya kiJeshi hapa Tz? Hawatakubaliwa japo ni Watanzania halisi- Hizo ni vurugu. Kama Tz wataridhika bila kuchukua hatua ina maana wamekubaliana na jambo hilo. Kama wakichukua hatua, hata nchi marafiki watasaidia kuvifurusha vikosi hivyo haramu(Sio vikosi rasmi na havitakiwi).
Au kaka hujui kama Yemeni inaongozwa na Houthi sasa hivi!?
Hakuna jeshi lingine zaidi ya Houthi pale Yemeni.
Maana kipindi Mansour anakataa kutoka madarakani hadi jeshi lake lilimgeuka na kuungana na Houthi kumtoa madarakani.
Hivyo Yemeni Army = Houthi.