Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Ona unavyoongea ufala.
Nahisi naongea na kijana wa balehe anayeropoka hapa.
Una ushahidi wa Spain kumwambia Israel kisirisiri aendelee kuua Palestina!?
Brazil,Spain,Colombia zote zimefunga balozi za Israel nchini mwao,je huo ni mchezo!?
Katika upigaji kura mataifa asilimia 70 yamepiga kura kuitambua Palestina kuwa nchi huru je huo ni mchezo!?
Mataifa mengi ikiwemo Spain,Belgium na Norway zimeungana na kukubali Israel ishitakiwe ICJ je huo ni mchezo!?

Kinachoendelea Sudan sio vita za Udini ni za ukabila na UCHU WA MADARAKA baina ya RSF na jeshi ku la Sudan.Hilo ni suala la wenyewe kukaa ndani kulimaliza,na raia wameungana na jeshi la serikali dhidi ya kundi la RSF.
Unaropoka ufala ufala hapa huna unalolijua!?
Suala la Palestina ni la KIMATAIFA.
Nenda kajifunze kama huna kitu kichwani usoni quote huwa sijadili na vilaza.
Naona unatumikia akili za mwaarabu kufikiria na kuandika uharo.
Unashindwa kuhurumia ndugu zako wa kiafrika wanaouwawa Sudan na maarabu ya kiislamu. Unajifanya mpalestina
Wapelestina watapigwa mpk wachakae na hakuna taifa lenye akili timamu litawaunga mkono hao magaidi wa october 7 wakipalestina lbd magaidi wenzao Lebanon na Yemen.
ICC imefikia wapi?
Watu wanabaka na kuua halafu wanashangilia allah akbar. Siyo wakuonea huruma hata kidogo.
Narudia tena, hizo nchi zinabweka ili zionekane ila nyuma ya pazia zinasema piga hayo magaidi ya october 7.
 
Vikosi vya Houthi ndio jeshi la Yemeni la sasa.
Au kaka hujui kama Yemeni inaongozwa na Houthi sasa hivi!?
Hakuna jeshi lingine zaidi ya Houthi pale Yemeni.
Maana kipindi Mansour anakataa kutoka madarakani hadi jeshi lake lilimgeuka na kuungana na Houthi kumtoa madarakani.
Hivyo Yemeni Army = Houthi.
Yale yale ya Palestina(Gaza) na kundi la HAMAS. Lebanon na kundi la Hezbollah.
Sijui ni kwa nini inakuwa vurugu hivyo.
 
"Kwasababu ina nguvu kuliko hamas" (Russia v/s Ukrain?)
- Houth kwanini hawakuchaguwa kuisaidia Palestine waakimarishana huko huko ndani ya palestine ambako tayari moto ilikuwa ukiwaka, au walitaka kupanua eneo la mapigano?
Wangekua na nguvu kuliko hamas wangekua washakomboa watu wao waliotekwa mwaka sasa huu
Kuna namna nyingi zakumsaidia mtu na kila mtu anaangalia namna anayoweza yeye kusaidia
Neta paka anawadanganya wamarekani kwamba ataokoa watu wake waliotekwa
Atawaokoa lini hasemi maana mwaka sasa
 
Mkuu nimekuelewa sasa. Hizi media hasa za western ni majanga. Tnalishwa matango pori kila siku.
US nayo itakuwa hivyo mikwara kibao ila hakuna kitu😕😕😕😕😕
Americant wakawaida sana ila anabebwa na nyuklia tu
Nakupa hii kama hukuwahi kua nayo hakuna vita yeyeote ambayo americant amepigana pekee akashinda bila ya kutumia Nyuklia hakuna hakuna hakunaa
 
Sawa. Sasa inakuwaje nchi husika haziwakatai ili kujiepusha na kipigo/Uharibifu? e.g. Unapomhifadhi kibaka aliyeingia nyumbani kwako (haumtoi); raia wenye hasira kali waliokuwa wanamfukuza wanaweza kuichoma nyumba hiyo ambayo ni mali yako na ww ndo unapata hasara. e.g. Bandari iliyochomwa ni mali ya Yemen na sio mali ya Houthi. Ila Yemen ndo amepata hasara.
Unadhani ingekua rahisi kuwatoa wangewaacha
Unadhani tshisekedi anapenda kuona waasi wale wa M23 wapo pale nchini kwake?
 
Wewe ni pumbaf, most arrogant, huna akili, unapenda ushoga sana, huachi kuongea bila kuongelea ushoga, utakuwa unahemewa ssana wewe, stupid..

Houthi ni wa kushindana na Israel? Akili huna kabisa, wala hujui kabisa chochote, swine..!!
Wewe mwenye akili umefaidika nini na hizo akili ulizo nazo
Nyie hamtaki kusemwa hilo kundi lenu mkisemwa tu mnalialia
Tutawaambieni LGBTQ mpaka mtapoacha hio laana
 
Naona unatumikia akili za mwaarabu kufikiria na kuandika uharo.
Unashindwa kuhurumia ndugu zako wa kiafrika wanaouwawa Sudan na maarabu ya kiislamu. Unajifanya mpalestina
Wapelestina watapigwa mpk wachakae na hakuna taifa lenye akili timamu litawaunga mkono hao magaidi wa october 7 wakipalestina lbd magaidi wenzao Lebanon na Yemen.
ICC imefikia wapi?
Watu wanabaka na kuua halafu wanashangilia allah akbar. Siyo wakuonea huruma hata kidogo.
Narudia tena, hizo nchi zinabweka ili zionekane ila nyuma ya pazia zinasema piga hayo magaidi ya october 7.
Unaongea upuuzi bado!?
Kwanza unaonekana hauna akili timamu usikute nabishana na kichaa hapa.
Sudan wamepitia crisis ngapi!?
Nani kakwambia Sudan wana mapigano ya waislam na wakristo!?
Sudan wanapigania utawala baina ya jeshi kuu la Sudan na RSF jeshi la usaidizi la Sudan.
Hilo ni jambo la ndani ya nchi.
ACHA USENGE BASI KUWA MUELEWA.
Unafananishaje jambo la kitaifa na kimataifa!?
Pia mada hapa inahusu Middle east kama ukitaka mada ya Sudan nenda thread zake zipo zimefunguliwa.

Wacha nikupe somo la mwisho maana naona unazidi USENGE.
BELGIUM,NORWAY,SPAIN,COLOMBIA,BRAZIL na mataifa mengine makubwa yamevunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel na kupiga kura Palestina iwe kama taifa huru.
Msenge one kama wewe unaongea nini!?
Kwahiyo hayo mataifa yalikua yanacheza pale UN na kukata mauno!?

Mwisho huwa sijadili na wapuuzi maana naona unataka ubishani na mimi napenda majadiliano ngojea nikublock.
 
Mimi sina chuki na wakristo na marafiki wengi sana wakristo ambao misimamo yao kama kina Putin, commander Robert Mgabe R.I.P, Magufuli na M7.

Ama vikristo njaa kama nyie huwa ndio na matatizo nao na ndio vinahisi navichukia.
Wala hatutaki kuwa marafiki na miislamu usijipendekeze kwet
 
Houthi ndio inaunda serikali ya Yemeni sasa hivi,japo muunganiko bado haujawa sawa.
Raia wote wanaunga mkono anachofanya Houthi.
90% ya raia wa Yemeni wanaungana na anachofanya Houthi.
Houthi ni jeshi bora kabisa duniani ila kifiro walichokipata kutoka kwa myahudi kimewanyamazisha kabisa.
 
Isreal ni bla bla nyingi kwanza hizo F35 mpaa zifike Yemen wanazo two option wapunguze uzito, wa maboom ndio zitafika Yemen, kama wakitumia njia ya Red Se.

Hao mimi na kwenda na wale walio sema hizo ndege zilizo piga ni za US, UK, Egypt na Saud Arabia. Israel bila kupewa green light watumie Air space ya Egypt na Saud Arabia ni vigumu kufika huko ndege zao bila kuwa refuel, na hizo ndege tulizo onyeshwa zina refuel sio za Israel eti zipo Red Sea, ni video zipo kwenye archive zao.

Option ya pili walitumia UAE kwenda ku attacked Yemen.

Huku na huku warabu wameshiriki kama kawaida zao wameruhusu ndege za Israel kutumia anga ya Jordani, Saud Arabia na Egypt Warabu na wafrica si watu wakuwamini,wakiona ngozi ya pink.

R.I.P commander wangu Robert Mgabe huyu ni katika wale wakristo 10% naheshimu misimamo yao, sio hivi vikristo njaa vinavyo amini bibilia ya Paulo na taifa teule lake

Hi video nzuri kwa waimba kwaya watazame vipi Mungu wa bibilia zaio.ni Racist 😄


View: https://youtu.be/kQI7WWCi-eQ?si=RG6Ku8g3825pzy2U

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mcha mbuzi🐐 bobevu kabisa kutoka mashariki ya kati ikwiriri akidadavua vyema masuala ya kivita za kimedani na intelijensia za vyombo vya kimataifa vya usalama Mossad,cia, & mi jinsi walivo weza kushirikiana kuripua vinu vya mafuta vya yemen na njia muhimu kabisa walizo pitia na kutekeleza unyama huo...
taqbiiiiiiiir!!!! 🥋
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mcha mbuzi🐐 bobevu kabisa kutoka mashariki ya kati ikwiriri akidadavua vyema masuala ya kivita za kimedani na intelijensia za vyombo vya kimataifa vya usalama Mossad,cia, & mi jinsi walivo weza kushirikiana kuripua vinu vya mafuta vya yemen na njia muhimu kabisa walizo pitia na kutekeleza unyama huo...
taqbiiiiiiiir!!!! 🥋
Allahu akbaaaaaaaaaruuuuuu
 
Back
Top Bottom