Israel yathibitisha kuwa Taifa kubwa kwa Intelijensia baada ya kumuua Mkuu wa Nyuklia wa Iran

Israel yathibitisha kuwa Taifa kubwa kwa Intelijensia baada ya kumuua Mkuu wa Nyuklia wa Iran

Akifanya Israel basi wana akili nyingi ila wakifanya Iran ni magaidi.
Hii dunia imejaa watu wapumbavu sana.
Hakika mkuu,

Hata akishindwa TUNDU, uchaguzi umevurugwa, angeshindwa Magufuli, uchaguzi huru na haki.

Pumbavu kabisa hawa watu wa magharibi na vibaraka wap kimwili na kiakili.
 
Israel ni taifa la Mungu mwenyewe, aliwapenda na akawapa akili kubwa. Pamoja na vita na kuishi uhamishoni hawawezi badilika.
Kwahiyo Mengine ni mataifa ya Shetani?
Hebu acha kukaririsha watu ujinga hapa jf.

Israel ingekuwa Taifa la Mungu ingekuwa inahangaika na Covid19 halafu Tanzania tupo free?

Kuua watu kwa mabomu ndo Taifa la Mungu Hilo?

Note; Mimi Ni mkristo na msoma maandiko Mzuri Ila sikubaliani na Hawa wazayuni unaowaita wewe Taifa la Mungu.

Most of Israel people are not believing in Christianity but they do in Judaism.
 
Kwahiyo Mengine ni mataifa ya Shetani?
Hebu acha kukaririsha watu ujinga hapa jf.

Israel ingekuwa Taifa la Mungu ingekuwa inahangaika na Covid19 halafu Tanzania tupo free?

Kuua watu kwa mabomu ndo Taifa la Mungu Hilo?

Note; Mimi Ni mkristo na msoma maandiko Mzuri Ila sikubaliani na Hawa wazayuni unaowaita wewe Taifa la Mungu.

Most of Israel people are not believing in Christianity but they do in Judaism.
Ndio mkuu mengine ni ya kishetani.

God bless and protect Israel
 
Niaje niaje,

Nilikuwa napitia moja ya habari kutoka mtandaoni kwenye website ya CNN

Nimekutana na habari ya kushtua kidogo kiongozi na Mkuu wa shirika la Nuclear wa Irani jina lake gumu kidogo.

Ameuawa baada ya kufanyiwa ambushi na Jeshi la Israel ndani ya nchi yake. Yaani alikuwa ndani ya gari yake kwenye matembezi yake akapigwa bomu kila kitu kika ishia hapo na jamaa waalikuwa na project kubwa bado inaendelea

Kweli Israel mbabe na Marekani kajua hata ajaingilia na amekaa kimya kama ajui kilicho tokea karibuni wadau tuongee na kuzungumzia hii Issue juu ya ubabe na INTEREJENSIA ya Israel Mashariki ya Kati

Nawasilisha
Iran ni kama wanamchokoza ili ajae vizuri afu wampige mande.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Ninachojua Mimi Kwa Mungu wote ni sawa.ila waislael walitumia maandishi kuonesha kuwa wao ni bora kuliko walimwengu wote
 
Back
Top Bottom