Hakika mkuu,Akifanya Israel basi wana akili nyingi ila wakifanya Iran ni magaidi.
Hii dunia imejaa watu wapumbavu sana.
Kwahiyo Mengine ni mataifa ya Shetani?Israel ni taifa la Mungu mwenyewe, aliwapenda na akawapa akili kubwa. Pamoja na vita na kuishi uhamishoni hawawezi badilika.
Ndio mkuu mengine ni ya kishetani.Kwahiyo Mengine ni mataifa ya Shetani?
Hebu acha kukaririsha watu ujinga hapa jf.
Israel ingekuwa Taifa la Mungu ingekuwa inahangaika na Covid19 halafu Tanzania tupo free?
Kuua watu kwa mabomu ndo Taifa la Mungu Hilo?
Note; Mimi Ni mkristo na msoma maandiko Mzuri Ila sikubaliani na Hawa wazayuni unaowaita wewe Taifa la Mungu.
Most of Israel people are not believing in Christianity but they do in Judaism.
Mnasumbuliwa na ushamba na ukosefu wa maarifa tu.Ndio mkuu mengine ni ya kishetani.
God bless and protect Israel
Iran ni kama wanamchokoza ili ajae vizuri afu wampige mande.Niaje niaje,
Nilikuwa napitia moja ya habari kutoka mtandaoni kwenye website ya CNN
Nimekutana na habari ya kushtua kidogo kiongozi na Mkuu wa shirika la Nuclear wa Irani jina lake gumu kidogo.
Ameuawa baada ya kufanyiwa ambushi na Jeshi la Israel ndani ya nchi yake. Yaani alikuwa ndani ya gari yake kwenye matembezi yake akapigwa bomu kila kitu kika ishia hapo na jamaa waalikuwa na project kubwa bado inaendelea
Kweli Israel mbabe na Marekani kajua hata ajaingilia na amekaa kimya kama ajui kilicho tokea karibuni wadau tuongee na kuzungumzia hii Issue juu ya ubabe na INTEREJENSIA ya Israel Mashariki ya Kati
Nawasilisha
Punguza jazbaAkifanya Israel basi wana akili nyingi ila wakifanya Iran ni magaidi.
Hii dunia imejaa watu wapumbavu sana.