4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
na ndo dini yako inakufunza huo ufreemason?kichwa chako halalI yangu Kafiri wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na ndo dini yako inakufunza huo ufreemason?kichwa chako halalI yangu Kafiri wewe
google , sisi tunataka haki tuHivi myahudi huelewana na dini gani?
muda si mrefu mnarudi kulialia humuWenzenu leo walijidai kuingiza vifaru viwili na caterpillar wamerudi mbio wamepewa kichapo Gaza hawaingi tena sa kwanza walijidai hali ya mvua, badaye bada ya Biden kuondoka
Sa wamekuja na mpya eti wameomba nchi ziongee na Hamasi ili wao wawachie wafungwa wote wa Palestine na Hamasi awachie hao matekwa wake.
Yani Super power wa ushoga katekewa ma General wake wote kwenye zile kambi nne za jeshi aibu kweli hi.
Tuliwambia wavaa nepi hawawezi vita mkabisha
Ila Magufuri apewe Maua yake aliweza namna ya kuwashughulikia ,Safi kabisakuna jambo jipya hapo ? mtwara na kibiti mlichinja watu walikuwa wamewakosea nn?
Jamaa zako wanajidai kuingiza misaada Gaza kumbe wanapitisha vyombo vya kugundua wapi kuna underground na silaha lakini siri imeisha toka huyo Sisi ni adui kuliko Natanyahau yeye ndiye anataka Gaza ishindwe.muda si mrefu mnarudi kulialia humu
Koran Imetamka hakuna Mungu ila Allah. vipi tena au you're not a Muslim? hujawahi soma Shahada? "There is no God but Allah, and Muhammad is his messenger." Usitumie neno Mungu Allah the keshawaambia la 'iilah 'iilaa allahJamaa zako wanajidai kuingiza misaada Gaza kumbe wanapitisha vyombo vya kugundua wapi kuna underground na silaha lakini siri imeisha toka huyo Sisi ni adui kuliko Natanyahau yeye ndiye anataka Gaza ishindwe.
Mpaa UN wanajaribu kuwasaidia Israel ili washinde vita hi 😂
Kumbe UN ni America, Muingereza na badhi ya Nchinza Europe 😂
Bravo Hamasi hata wafanye vipi Mungu yupo na nyie
Eti familia na sio mwenyewe. Mtabaki kukamata watoto wachanga.
Muislam harudi nyuma kwa hili kupigania ardhi y
Palestina ni ardhi ya waislamu?Eti familia na sio mwenyewe. Mtabaki kukamata watoto wachanga.
Muislam harudi nyuma kwa hili kupigania ardhi yake
kaa mkao wa kuliwa Netanyau yupo anavaa mpira [emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa zako wanajidai kuingiza misaada Gaza kumbe wanapitisha vyombo vya kugundua wapi kuna underground na silaha lakini siri imeisha toka huyo Sisi ni adui kuliko Natanyahau yeye ndiye anataka Gaza ishindwe.
Mpaa UN wanajaribu kuwasaidia Israel ili washinde vita hi [emoji23]
Kumbe UN ni America, Muingereza na badhi ya Nchinza Europe [emoji23]
Bravo Hamasi hata wafanye vipi Mungu yupo na nyie
Kwani mimi ni mtu wa kanisani huo ndio mchezo wenu hujamsikia Sunak anasema ni kuhusu nchi yenye democracy peke yake pale Middle East akanza kwa kusema gay 😂 kila anaye lishangilia hilo taifa ni lazima awe na shombo la ushoga au ni shoga tu.kaa mkao wa kuliwa Netanyau yupo anavaa mpira [emoji23][emoji23][emoji23]
Dini yake sijui, ila alikuwa NAZI sio gaidi.Haujajibu swali.adolph Hitler aliyeua watu alikuwa dini gani
kaaa mkao wa kuliwa aseeKwani mimi ni mtu wa kanisani huo ndio mchezo wenu hujamsikia Sunak anasema ni kuhusu nchi yenye democracy peke yake pale Middle East akanza kwa kusema gay [emoji23] kila anaye lishangilia hilo taifa ni lazima awe na shombo la ushoga au ni shoga tu.
Nadhani huwajui Narco terrorists wa America ya kusini, huyajui makundi yanayopigania kujitenga Nigeria kama Indigenous People of Biafra (IPOB), huwajui Babar Khalsa, Alex Boncayao Brigade, Lord's Resistance Army, Akhil Bharat Nepali Ekta Samaj, Atomwaffen Division, Aum Shinrikyo, Azov Battalion, Conspiracy of Fire Nuclei, Ku Klux Klan, Proud Boys, Real Irish Republican Army, Tamil Tigers kwa uchache tu.Magaidi wote ni Waislam, lakini si Waislam wote ni Magaidi
Adolf Hitler hakuwa Gaidi, alikuwa Mwanajeshi na Mwanasiasa Mvamizi
Gaidi ni watu waoga, wanaovamia kwa kuvizia na kujificha
Mfano mzuri ni hawa HAMAS, Hizbollah, Al Shabaab, ISIS na wengine
Adolf Hitler alikuwa na jeshi na alitangaza vita
Magaidi hawafanyi hivi
Hapo msikitini walikuwa wanavuta bangi au walikuwa wanaswali?Waziri Mkuu wa Canada azomewa msikitini, aambiwa "huna haya"
Hii maana umeitoa wapi?Gaidi anaua watu wasio na hatia pasipo sheria wala kutangaza vita, na hata umoja wa mataifa haupati taarifa
Kifo kama Yesu au muhammad?![emoji101]Eti ban? Na nani? Kwanza zueni kifo kisikufikieni ktk maisha yenu.
Kola nafsi itaonja kifo. Hata wewe jinga utakufaKifo kama Yesu au muhammad?![emoji101]
Hebu soma mafundisho ya YESU na allah!magaidi ni maikiristo yenye kupanga vijinjamanjama na kuwapachikia waislamu na kutaka kuungwa mkono na usipo waunga mkono unakutana na vikwazo
Kwani Hamasi alipo Vania Huko Hakuna waichilamu?? Hata Kwani hujui HAO Hamas wanakimbilia Huko Kwa Abbas??Sasa kama Hamas mbona mayahudi wanawaua mpaka kwa Mahmoud Abass. Hivi ni vita vya kidini dhidi ya Palestina waislam . Waislam wote duniani tunajua hivyo. Hizo zenu ni propaganda tu