Israel yavamia nyumba ya mkuu wa HAMAS na kukamata familia yake

Israel yavamia nyumba ya mkuu wa HAMAS na kukamata familia yake

Wenzenu leo walijidai kuingiza vifaru viwili na caterpillar wamerudi mbio wamepewa kichapo Gaza hawaingi tena sa kwanza walijidai hali ya mvua, badaye bada ya Biden kuondoka

Sa wamekuja na mpya eti wameomba nchi ziongee na Hamasi ili wao wawachie wafungwa wote wa Palestine na Hamasi awachie hao matekwa wake.

Yani Super power wa ushoga katekewa ma General wake wote kwenye zile kambi nne za jeshi aibu kweli hi.

Tuliwambia wavaa nepi hawawezi vita mkabisha
muda si mrefu mnarudi kulialia humu
 
muda si mrefu mnarudi kulialia humu
Jamaa zako wanajidai kuingiza misaada Gaza kumbe wanapitisha vyombo vya kugundua wapi kuna underground na silaha lakini siri imeisha toka huyo Sisi ni adui kuliko Natanyahau yeye ndiye anataka Gaza ishindwe.

Mpaa UN wanajaribu kuwasaidia Israel ili washinde vita hi 😂

Kumbe UN ni America, Muingereza na badhi ya Nchinza Europe 😂

Bravo Hamasi hata wafanye vipi Mungu yupo na nyie
 
Jamaa zako wanajidai kuingiza misaada Gaza kumbe wanapitisha vyombo vya kugundua wapi kuna underground na silaha lakini siri imeisha toka huyo Sisi ni adui kuliko Natanyahau yeye ndiye anataka Gaza ishindwe.

Mpaa UN wanajaribu kuwasaidia Israel ili washinde vita hi 😂

Kumbe UN ni America, Muingereza na badhi ya Nchinza Europe 😂

Bravo Hamasi hata wafanye vipi Mungu yupo na nyie
Koran Imetamka hakuna Mungu ila Allah. vipi tena au you're not a Muslim? hujawahi soma Shahada? "There is no God but Allah, and Muhammad is his messenger." Usitumie neno Mungu Allah the keshawaambia la 'iilah 'iilaa allah
 
Jamaa zako wanajidai kuingiza misaada Gaza kumbe wanapitisha vyombo vya kugundua wapi kuna underground na silaha lakini siri imeisha toka huyo Sisi ni adui kuliko Natanyahau yeye ndiye anataka Gaza ishindwe.

Mpaa UN wanajaribu kuwasaidia Israel ili washinde vita hi [emoji23]

Kumbe UN ni America, Muingereza na badhi ya Nchinza Europe [emoji23]

Bravo Hamasi hata wafanye vipi Mungu yupo na nyie
kaa mkao wa kuliwa Netanyau yupo anavaa mpira [emoji23][emoji23][emoji23]
 
kaa mkao wa kuliwa Netanyau yupo anavaa mpira [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani mimi ni mtu wa kanisani huo ndio mchezo wenu hujamsikia Sunak anasema ni kuhusu nchi yenye democracy peke yake pale Middle East akanza kwa kusema gay 😂 kila anaye lishangilia hilo taifa ni lazima awe na shombo la ushoga au ni shoga tu.
 
Kwani mimi ni mtu wa kanisani huo ndio mchezo wenu hujamsikia Sunak anasema ni kuhusu nchi yenye democracy peke yake pale Middle East akanza kwa kusema gay [emoji23] kila anaye lishangilia hilo taifa ni lazima awe na shombo la ushoga au ni shoga tu.
kaaa mkao wa kuliwa asee
 
Magaidi wote ni Waislam, lakini si Waislam wote ni Magaidi
Nadhani huwajui Narco terrorists wa America ya kusini, huyajui makundi yanayopigania kujitenga Nigeria kama Indigenous People of Biafra (IPOB), huwajui Babar Khalsa, Alex Boncayao Brigade, Lord's Resistance Army, Akhil Bharat Nepali Ekta Samaj, Atomwaffen Division, Aum Shinrikyo, Azov Battalion, Conspiracy of Fire Nuclei, Ku Klux Klan, Proud Boys, Real Irish Republican Army, Tamil Tigers kwa uchache tu.

Bila kusahau zamani akina IRA, ANC na Umkhonto We Sizwe wote walitambulika kama magaidi. Bila kusahau mayahudi walikuwa na magaidi wake kama HaGanah na Irgun Gang.

Sijui ulikumbuka hayo kabla hujaandika hiyo comment?
 
Adolf Hitler hakuwa Gaidi, alikuwa Mwanajeshi na Mwanasiasa Mvamizi

Gaidi ni watu waoga, wanaovamia kwa kuvizia na kujificha

Mfano mzuri ni hawa HAMAS, Hizbollah, Al Shabaab, ISIS na wengine

Adolf Hitler alikuwa na jeshi na alitangaza vita

Magaidi hawafanyi hivi

Ushawahi kusikia kitu inaitwa State Terrorism?
 

Waziri Mkuu wa Canada azomewa msikitini, aambiwa "huna haya"​

Hapo msikitini walikuwa wanavuta bangi au walikuwa wanaswali?
Nilitegemea sehemu kama za msikitini kungekuwepo na watu wenye akili, busara na hekima ila kumbe kuna wajinga hivyo.
Watu wanaweza kukua msikitini humo humo
 
Gaidi anaua watu wasio na hatia pasipo sheria wala kutangaza vita, na hata umoja wa mataifa haupati taarifa
Hii maana umeitoa wapi?

Unajua kuwa kuna makundi Umoja wa Mataifa hauyatambui kuwa ni ya kigaidi ila nchi moja moja au nchi kadhaa zinawatambua kama magaidi?

Kwa definition uliyoitoa hapo mwisho kuna wengi mno wanaingia. Unajua hilo?

Halafu ushasikia kuhusu State Terrorism? Sio State-sponsored Terrorism hiko ni kitu kengine. Namaanisha State Terrorism
 
magaidi ni maikiristo yenye kupanga vijinjamanjama na kuwapachikia waislamu na kutaka kuungwa mkono na usipo waunga mkono unakutana na vikwazo
Hebu soma mafundisho ya YESU na allah!
[emoji116][emoji116]
Matthew 5:34,37
[34]lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu;

[37]Bali maneno yenu yawe Ndiyo, ndiyo; Siyo, siyo; kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.

Muovu
[emoji116][emoji116]
لَّا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أَيْمَانِكُمْ وَلَـٰكِن يُؤَاخِذُكُم بِمَا كَسَبَتْ قُلُوبُكُمْ ۗ وَاللَّهُ غَفُورٌ حَلِيمٌ

[ AL - BAQARA - 225 ]
Mwenyezi Mungu hakushikeni kwa viapo vyenu vya upuuzi. Bali anakushikeni kwa yanayo chuma nyoyo zenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mpole.
[emoji116][emoji2533][emoji116][emoji2533]
Matumizi ya hiyo ayat Kwa vitendo TAQIYA (Udanganyifu)

Wakati Waislamu ni wachache kwa idadi ...
[emoji116][emoji2533][emoji116][emoji2533]
Sisi tunatoka katika Dini ya Amani.

Wakati Waislamu ni wengi ...
[emoji116][emoji116]
Uislamu unastahili hadhi maalum.

Waislamu wanapokuzidi Kwa wingi...
[emoji116][emoji116]
UISLAMU AU VINGINEVYO...!

Ni wakati wa kuamka.
 
Sasa kama Hamas mbona mayahudi wanawaua mpaka kwa Mahmoud Abass. Hivi ni vita vya kidini dhidi ya Palestina waislam . Waislam wote duniani tunajua hivyo. Hizo zenu ni propaganda tu
Kwani Hamasi alipo Vania Huko Hakuna waichilamu?? Hata Kwani hujui HAO Hamas wanakimbilia Huko Kwa Abbas??
 
Back
Top Bottom