Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Mwana kuli-TAFUTA Mwana kuli-PATA.Hiyo maana inafaa kwa nani zaidi kati ya Palestina na Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana kuli-TAFUTA Mwana kuli-PATA.Hiyo maana inafaa kwa nani zaidi kati ya Palestina na Israel
Akikubishia hili jibu niite nimshughulikie mara moja nimekaa pale.......na ndio maana Ghadaf haitwi Gaid japo kafanya mauaji mengi tu
Kumbe ni kweli "maneno huuumba"?[emoji23][emoji23][emoji23] ww ni mpumbav sana , wap kasema anawapenda , ujinga unakusumbua
Malipo ni hapa hapa dunianiUkiamua kusababisha wenzako wasiishi kwa amani, na wewe pia tegemea familia yako iishi kwa tabu....
Ramallah, Palestinian Territories:
Israeli troops on Saturday raided the West Bank home of a senior Hamas leader and detained members of his family, witnesses said.
Saleh al-Aruri is the deputy to Hamas' overall leader Ismail Haniyeh and one of the founders of the Islamist group's military wing.
Based in Lebanon, he is a key target for Israel following the October 7 attacks when Hamas group from Gaza entered southern Israel and killed at least 1,400 people, mostly civilians, and seized more than 200 hostages, according to Israeli officials.
![]()
Israel Raids Home Of Hamas Deputy Leader In West Bank, Detains Family
Israeli troops on Saturday raided the West Bank home of a senior Hamas leader and detained members of his family, witnesses said.www.ndtv.com
Na wanao tumia vifaru mbona na wao wako ndani na walio kwenye ndege wako nje au ndani, akili Mali vita ni tack tik kama Hamasi angepewa silaha za bure kama anavyo pewa Israel hilo taifa la Israel mngenda litafuta limehamia wapi.Adolf Hitler hakuwa Gaidi, alikuwa Mwanajeshi na Mwanasiasa Mvamizi
Gaidi ni watu waoga, wanaovamia kwa kuvizia na kujificha
Mfano mzuri ni hawa HAMAS, Hizbollah, Al Shabaab, ISIS na wengine
Kamwe hawatangazi vita
Umeandika nini? Singieni ndio nini? Wenyezi ndio nini?Na wanao tumia vifaru mbona na wao wako ndani na walio kwenye ndege wako nje au ndani, akili Mali vita ni tack tik kama Hamasi angepewa silaha za bure kama anavyo pewa Israel hilo taifa la Israel mngenda litafuta limehamia wapi.
Kweli wenyezi Mungu alisha sema Waisrael ni Majinga hawezi kupigana ila wajifiche wapo Gaza wanaogopa kuwafata hao mnaosema wanajificha.
Singieni mkawatoe basi kwenye mashimo yao, mnawaogopea nini si mnakila aina salaha [emoji23]
Singieni=ingieni GazaUmeandika nini? Singieni ndio nini? Wenyezi ndio nini?
62.6] Say: O you who are Jews, if you think that you are the favorites of Allah to the exclusion of other people, then invoke death If you are truthful.
Jipige kifuani mara 3 mfululizo kisha jiambie mwenyewe kuwa "huna akili".Na wanao tumia vifaru mbona na wao wako ndani na walio kwenye ndege wako nje au ndani, akili Mali vita ni tack tik kama Hamasi angepewa silaha za bure kama anavyo pewa Israel hilo taifa la Israel mngenda litafuta limehamia wapi.
Kweli wenyezi Mungu alisha sema Waisrael ni Majinga hawezi kupigana ila wajifiche wapo Gaza wanaogopa kuwafata hao mnaosema wanajificha.
Singieni mkawatoe basi kwenye mashimo yao, mnawaogopea nini si mnakila aina salaha [emoji23]
Magaidi wanafata Falsafa za mudy za kuwahi mabikra 72Magaidi yote ni Waislam, lakini si Waislam wote ni Magaidi
Mayahaudi wamejeruhiwa sasa hivi wanapiga kote kote! Popote pale wanapokimbilia magaidi wanakula nao sahani moja. Iwe West Bank ama GazaSasa kama Hamas mbona mayahudi wanawaua mpaka kwa Mahmoud Abass. Hivi ni vita vya kidini dhidi ya Palestina waislam . Waislam wote duniani tunajua hivyo. Hizo zenu ni propaganda tu
Hujui uislam weweMayahaudi wamejeruhiwa sasa hivi wanapiga kote kote! Popote pale wanapokimbilia magaidi wanakula nao sahani moja. Iwe West Bank ama Gaza
Aisee unamuelimisha vizuri sana huyo mjinga kitukuu cha mjinga.Hapana, jua tofauti kati ya Gaidi na Mwanajeshi au Kiongozi wa jeshi rasmi
Kwa Mfano Dikteta Idd Amin hakuwa Gaidi.
Umemjibu vzr sana akiendelea kuuliza nitapata wasiwasi sana na uelewa wakeAdolf Hitler hakuwa Gaidi, alikuwa Mwanajeshi na Mwanasiasa Mvamizi
Gaidi ni watu waoga, wanaovamia kwa kuvizia na kujificha
Mfano mzuri ni hawa HAMAS, Hizbollah, Al Shabaab, ISIS na wengine
Kamwe hawatangazi vita
Mbona karudi nyuma sana mpaka anakaribia kufutika.Jinsi ambavyo muislamu harudi nyuma[emoji28]View attachment 2788747
Yero hapana fananisha masai na gaidi.Uislam ni jamii ya kijinga sana yani imezidiwa ustarabu hadi na wamasai.
Pole sanaRaia wa wa Palestina washa tangaziwa waondoke kupisha vita. Sawa wiliobaki ni wapiganaji ,wafia dini, wazee wasiojiweza. Vita. Kibaya zaidi Hamas anajichanya na hao
Kuna viongozi wa nchi ambao ni waislamu wameongoza kwa mkono wa chuma kama Hitler ila hawakuadopt expansion policy ya Hitler.angekuwa muislam ungemuita gaidi?
Kwanini uwa mnampinga Allah , Allah kasema Kuna Mungu ambaye aliwaandalia hiyo nchi waisraelMuislam harudi nyuma kwa hili kupigania ardhi yake
Wao wakasemaje?Kwanini uwa mnampinga Allah , Allah kasema Kuna Mungu ambaye aliwaandalia hiyo nchi waisrael
Koran 5:21. Enyi Waisrael! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni.