Israeli kusitisha mapigano na Hezbollah, je ni hatua ya Israeli kujiimarisha zaidi au ni mbinu na mkakati wa kumfifisha Iran?

Kwahiyo wafuasi wa mudi ndiyo wana akili au sio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ningekuwa mimi ndiye mudi ningewaahidi kangedere kamoja tu tena kasiko na mkia, maana nyie ni watupu kabisa vichwani
Unazidi kujidhihirisha wanao kuvusha bara bara wanapata tabu
 
Atacms sio mara ya kwanza kutumika ndani ya Russia katafute kombora ama silaha ilotumika kuripua daraja la Crimea hio Atacms imeleta mabadiliko yapi tokea itumike
Unaifahumu wewe,anaye ifaham anailalamikia achana na mambo usiyo yajua
 
Hezbolah tayari wameyimiza matakwa yake,aliwaambia wasiingilie Ugomvi na hamasi hawakisikia ila baada ya mziki wamekubali
 
Hizbullah kachapika sana usiku wa jana na Mazayuni yameshakamata mto Litani.
Biden kamblackmail Netanyahu kusaini ceasefire kama hatua ya kumkomoa Trump.
Netanyahu amewatega Ufaransa na Lebanon kisanii kwamba iwapo itatokea bleach ya aina yeyote kichapo kiko palepale.
Hizbullah wanasubiriwa wajichanganye.
 
Haya makubaliano mbona hayana tofauti na yale ya mwaka 2006?

Haya makubaliano wanasiasa hasa wenye misimamo mikali ndani ya Israel wameyapinga hata Netanyau mwenyewe ameya saini kishingo upande baada ya Marekani kutishia kusitisha usambazaji wa silaha kwa Israel iwapo wange yakataa makubaliano hayo.
%61 ya raia wa Israel walio hojiwa na jarida la Jerusalem post wamesema Israel kashindwa vita sasa ww myahudi wa namanga unabisha nini?
 
Mto litani uko km 30kutoka mpakani mwa Israel ,alafu wakati huo majeshi ya Israel yalishindwa kupenya hata km 2 kwenye ardhi ya Lebanon huo mto litani wameuchuka kwa kutumia malaika?
 
Asante sana ubalikiwe

Lakin Nina swali moja kwani hilo eneo haliwezi kabisa kuwa na aman bila kusikia vifo vya watu wasio na hatia?

Lakin pia nasikia Israel kuchukua eneo la zaid ya kilometer kumi je walichukua mazima au watalilidusha?
 
Umeandika kitu hata hakieleweki
Hahahaha 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 ukikaa kimya utakufa?
 
gTurn ya kweli haya au uongo wa huyu jammaa
 
Naona siyo mfuatikiaji kipigo Gaza kinaendelea mpaka wawaachie mateka,na Hezbollah na Iran wameambiwa wasiingilie na wakiinbgilia wanapigwa ndo maana unaona Irani yupo kimya
Kha nani huyo apigwe Israel ndo hii hii au nyingine
 
Pale moto umewaka ni 50/50. Israel kapiga majengo mengi ila moto bado anamwagiwa mwingi sana. Watakua wanasitisha ili kujipanga upya.
Nanukuu: "Watakua wanasitisha ili kujipanga upya".
Hapana mkuu.
Kitendo cha kusitisha mtifuano ni juhudi za USA na Ufaransa.
Halafu kwenye hiyo ceasefire (Truce)yapo masharti e.g. Usitishwaji ni wa muda wa 60dys halafu tathmini itanyika kuona jinsi masharti yalivyozingatiwa.
Hezbollah hatakiwi aonekane kujipanga kijeshi (Regrouping)na asivuke mto Litani ng'ambo kuelekea Israel kaskazini. Hiyo buffer zone kati ya mto Litani na Israel kaskazini watakuwepo jeshi rasmi la Lebanon (Lebanon Armed Forces) na UN kulinda amani.
Kama Vigezo na masharti visipozingatiwa kama ilivyoainishwa katika makubaliano hayo ngoma inarudi uwanjani.
 
Mto litani uko km 30kutoka mpakani mwa Israel ,alafu wakati huo majeshi ya Israel yalishindwa kupenya hata km 2 kwenye ardhi ya Lebanon huo mto litani wameuchuka kwa kutumia malaika?

Wanaume hao hapo.

Huko masjid mnajazana matango pori sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…