Israeli kusitisha mapigano na Hezbollah, je ni hatua ya Israeli kujiimarisha zaidi au ni mbinu na mkakati wa kumfifisha Iran?

Asante sana ubalikiwe

Lakin Nina swali moja kwani hilo eneo haliwezi kabisa kuwa na aman bila kusikia vifo vya watu wasio na hatia?
Shida iko kwa Israeli wale ambao ni mazayuni siku zote mimi huwa nikiandika humu najitahidi kukwepa neno wayahudi, kwahio mzayuni ndio mbaya anaharakisha ajenda ya shetani haingii akilini vitani ukaue watu na uharibifu wa hospitali na majengo, huo ni uovu. Watu hawawezi kua na amani kwasababu Israeli anaamini Syria, Lebanon na sehem ya Egypt na Jordan inafaa kua ardhi yake. Hapo lini amani ya kweli itapatikana?
Lakin pia nasikia Israel kuchukua eneo la zaid ya kilometer kumi je walichukua mazima au watalilidusha?
Hakuna sehem resolution inamruhusu kuchukua hata mita 1 lile ni eneo la Lebanon na ndio unaona majeshi ya UNiFIL na lebanon ndio yanaenda kuwepo huko kulinda mipaka
 
Hizbullah wanasemaje
Hizb mpaka sasa hawajasema chochote wala kusign wanasubiri kuhakiki kilichowekwa mezani na kusainiwa kama ndicho kilichopo kwenye hilo 1701, maana wiki iliyopita walipewa kingine na serikali ya Lebanon ikapewa kitu kingine. Japo hizb hawana shida sana na hio 1701 resolution shida hawataki vipengele vichezewe. Hakuna press yeyote Mpaka sasa kutoka kwa shekh Qassim
 
Sheikh Qassim Ndio anawachoma....

Wale viongozi wabishi wote wamekufa...

Kati ya Hamas na Hezbollah nani ameonesha ukidume?
 

View: https://youtu.be/rbWJ6WPFydo?si=GfhFkiBzQrI9kOj7
Hii Hotuba ya Dakika mbili Ayatula Gaidi alielezea kwamba hatosimamisha Vita hadi Israel itakaposimamisha Vita dhidi ya Magaidi ya Hamas.
 
Sheikh Qassim Ndio anawachoma....

Wale viongozi wabishi wote wamekufa...

Kati ya Hamas na Hezbollah nani ameonesha ukidume?
Huna ushahidi wowote katika hilo hzb wamempa cheo kikubwa Qassim inamaana wanamuamini, sikatai kuna masnichi wengi ndani ya Lebanon na wengi wao ni wahindi ndio waliochoma sana na si mbaya mpaka sasa hzb kakamata network ya watu 20 waliokua wanaspy viongozi hivyo wanapo pa kuanzia

Hapa hatuangalii nani kidume nani sio hayo majibu wanayo IDF wapi kakutana na challenge iliyonyooka nauhkika wao wanajua nini kimetokea
 
USA haina maslahi ya Moja Kwa Moja nchini Ukaraine,Vita ambayo kaiwekea maanani Taiwani na Chaina hapo ndo kajipanga kuingia mazima ikitokea yaani ata deploy troops kabisa
Haina maslahi? Unajua Kyiv ikidondoka inayofuata ni Warsaw!! The closer Urusi inasogelea Eastern front ndio threat kwa USA na imekua hivyo tokea cold War. Kama angekua hana maslahi asingewekeza matrillion kila mwezi
wahouth,hii piga nikupige na Israeli imemvua nguo
Imemvuaje nguo wakati Ali expose defense system ya Israel. In fact Israel ilifanya reply nyepesi sana so Iran haikuina haja ya kuendelea na revenge. Ila ni nani angediriki kurusha vyuma Tel Aviv hapo middle east, ni Iran pekee ndio wa kwanza. So ametoka kwenye hili saga akiwa na reputation.
Hamna kitu, mbona Urusi katumia Oreshkin na tokea hapo Ukraine wamepewa zuio wasitumie tena hizo silaha. Na nikwambie hizo ni kelele tu ila Sio USA au Russia anaweza mshambulia mwenzake maana italeta nuclear war ambao wataathirika wote.
 
Hujamsikia Biden kasema inafuata cease fire ya Gaza!?.. hizbullah wasingekubali ikiwa Gaza hakuna cease fire
 
Asante sana
 
Hujamsikia Biden kasema inafuata cease fire ya Gaza!?.. hizbullah wasingekubali ikiwa Gaza hakuna cease fire
Gaza wako na mtihani sana hawa jamaa sio wakuwaamini hzb kaweza kwakua flow ya silaha ilikua vizuri gaza hamna kitu kinaingia na kama kinaingia hakitoshi kwa muda na aggression wanayokutana nayo. Gaza watalemewa sana lakini uzuri ni kua hawata surrender wako ladhi mateka wote wafe, ndio maana baada ya cease fire Israel kukimbilia Syria kuvuruga njia za silaha kuja south Lebanon hivi hapa Syria imzuka vita mbaya sana kupitia proxy za Israel dhidi ya serkali ya Syria na Hizbollah na Urusi ndani wanajeshi wa Syria 25 wamefariki. Kwahio nachoweza kusema Lebanon wasifurahi sasa hivi wakae kwa Machale muda wowote wanarudi Mashetani hawana ahadi ya kweli
 
Israel hapigani vita bila misaada ya mabwana zake,wameshamwambia vita viishe,baada ya mwezi hakuna vita Gaza
 
Washabiki wa Israel leo mko kama mnaaga maiti.
Mashoga yamewaangusha kweli.
Pamoja na Silaha zote kutoka US na West wapi..bado mkachakazwa mpaka maji mkaita mma

Hahaha leo siku nzuri sana.
Iran mbali Hizbollah tu inawatosha
Viongozi wote wa Hezbollah waliwahishwa kwa mabikira
 
Unafahamu maana ya maslahi ya Marekani??Kajifunze kwanza ndo uje hapa

Huko Kurkus mapigano yanaendelea na silaha zinarushwa Juzi TU S 400 imelipuliwa na ATACAMS fuatilia utaona Hilo

Iran ameahidi Promise lll inakuja tunaisubiri tuone maana zile ndege za Iraeli zimeua rada zake na mifumo S 300 na ushahidi WA satellite ulikuwa wazi

Wajuzi WA mambo wanakuambia ilani ipo katika wakati mgumu kutekeleza hiyo promise lll
 
Kuna watu wawili wabishi sana huko.
1.Houthi -Bab Al Mandab hakipiti kitu ,wa nje wa nje wa ndani wa ndani na wamesimika zaidi ya mwaka.
2.Hezbollah- Northern Israel hakuna mtu atarejea ni mwendo wa makombora tu kila siku.
Israel sijakuzoea hivi fanya kitu.
 
Kabla hawajasafishwa kabisa wametii amri kuomdoka kusini na kikoma kutupa maroketi Israeli
We kijana huwa unakurupukaga sana ku comment halafu huwa unajikuta unajuuaaa.
Hizbollah kuondoka Kusini mwa Lebanon sahau hilo.
Pia unatakiwa ujue kuwa Iran haijatoa tamko kuhusu hili,tamko la Iran ndio utakua uamuzi wa Hizbollah.
Hizbollah bado wapo Kusini mwa Lebanon.
Pia unapaswa ufahamu kuwa Hizbollah ni sehemu ya serikali ya Lebanon,hivyo na wao wana maamuzi ya kufanya sio kufanyiwa maamuzi.
Kwasababu hii cease fire deal wamekubaliana serikali ya Lebanon na Israel/USA ikiwa Hizbollah hakuna alichosema wala kujibu.
 
Unafahamu maana ya maslahi ya Marekani??Kajifunze kwanza ndo uje hapa

Huko Kurkus mapigano yanaendelea na silaha zinarushwa Juzi TU S 400 imelipuliwa na ATACAMS fuatilia utaona Hilo
Hiyo ni kawaida ya vita piga nikupige.
Hivi una habari kama Kursk imeshakombolewa na Russia Kwa 46% hadi Sasa!?
Una habari kuwa Russia wanazidi kusonga mbele ndani ya Ukraine mashariki!??

Iran ameahidi Promise lll inakuja tunaisubiri tuone maana zile ndege za Iraeli zimeua rada zake na mifumo S 300 na ushahidi WA satellite ulikuwa wazi

Wajuzi WA mambo wanakuambia ilani ipo katika wakati mgumu kutekeleza hiyo promise lll
Usitudanganye Kila chombo Cha habari kilionesha kuwa shambulio la Israel Kwa Iran ni totally failure.
Na radar iliyoharibika ilikua moja tu ya s300 ya Khomeini Airport.
Na siku inayofuata satellite ilionesha IRGC ikisambaza mifumo ya anga ya Khordak-15 na Bavaar-373 Kila Kona ya nchi.
 
Hapa nasoma tu kauli za wateule naishia kucheka tu. Nilijuaga mtu ukishaukuw mteule unakua na akili nyingi kumbe.....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Na anavyojikakamua sasa utasema daah jamaa linajua Ile mbaya
 
Sababu kubwa ni kuwa, uongozi mpya wa USA, Trump, unataka Vita iieshe, haupo taysri kuendelea kutoa pesa, pili, jeshi la Israel, limechoka kwa sasa, kupigana Vita kwa miaka miwili, sio mchezo, TZ ilipigana Vita ya kagera, 40yrs +, Ila mpaka Leo, madhara ya ile Vita kiuchumi bado yapo,
Mafanikio kwa wayahudi wenzangu ni kuwa wamejipatia ardhi ya bure, Lebanon, Ila wao walitaka zaidi Gaza, wajenge settlements zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…