Nakia watu kama wewe ambao hawana hoja wengi wenu Mmejaza matusi tu walahakuna Facts zozote hivyo Mimi mara zote nawajibu kama ilivyo au inavyotakiwa. Ndiyo maana Mimi sitakuita mbwa maana si Kona lako!! Naandika mambo mengi sana Kuhusu Israel kwa sababu Napajua nimesomea huko kwa hiyo hakuna ubaya nikielezea uzoefu wangu kwao na mambo mengine ya kijeshi. Umeuliza maswali ya kijinga kwanza umeuliza kwa nini wanakimbia nchi? Hii peke yake inaonyesha ni njinsi gani ulivyo mbumbumbu. Kwenye vita au machafuko yoyote duniani watu hukimbia nchi kwa hiyo ni kitu cha kawaida sana tumeona kwenye migogoro mingi watu hukimbia nchi zao kama vile Ukraine,Russia,Somalia,Congo,Burundi na hata huko Lebanon Wenye Dual-citizenship wanaondoka kwa maelfu cha ajabu wewe zwazwa unauliza kwa nini wayahudi wanakimbia nchi huo ni ujinga unakusumbua. Eti unadai wamechoka kusikia air sirens huo ni ujinga wako tu wewe hivyo ving’ora vimeokoa Maisha ya watu wengi sana maana vinawapa muda mzuri wa kwenda kwenye basement ndiyo maana ni nadra sana mtu kufa kwa makombola huko israel yanayotoka nje maana wanayo teknolojia ya kugundua kombola linalokuja hivyo wananzengo hutaarifiwa ili wachukue tahadhali lakini wewe kwa uelewa wako mdogo unaona wamechoka!!. Kuhusu Benjamini Netanyahu watu wa huko wanampenda sana pamoja na kwamba serikali yake ilizembea had I kusababisha Oct 07,2023 lakini wengi sana wanataka aendelee tu kuongoza mpaka amalize vita hivyi alivyovisababisha. Hayo maandamano ni ya raia ambao ndugu zaowalitekwa na magaidi wa Hamas wanashinikiza watu wao waachiwe hata kama ungetaka hivyo ili ndugu zako waachiwe angekuwa BIBI hatakiwi wangekuwa wamemtoa siku nyingi sana maana wanayo sheria ya Impeachment.. Kuhusu watu kuondolewa huko Galillaya 300+ hiyo ni kawaida waliondolewa kweli maana walikuwa kwenye Range ya makombola yaliyokuwa yanarushwa na magaidi wa Hezboullah kama nchi ilibidi iwaondoe hii inafanyika kote hata Russia inayojinasibu ni Super Power iliwaondoa raia wake huko Belgorod na huko Kursk baada ya Ukraine kuliteka Jimbo hilo. Pia huko Lebanon tumeona hilo leo hii wewe ulivyo zwazwa unaona ajabu watu kuondolewa 300+ kutoka Galilaya na wakati huo huo huoni ajabu kwa watu zaidi ya Million moja kuwa displaced huko Lebanon huo ni ujinga uliopitiliza . Umesema pia kuwa Magaidi wa Hezboullah wameua askari wa Israel 300 kwa siku moja hii inaonyesha ni jinsi ulivyo mjinga na Mpumbavu hujui hata formation za kivita zinaendaje na zinafanywa vipi ungejua hili usingeweza kutoa UHARO wako hapa. Nakupa home work Toka Oct 07,2023 umeshawa kusikia askari wa israel katekwa nyara? Kama Hapana jiulize kwa nini. Kwa kifupi tu formation wanayotumia Jeshi la Israel si rahisi kuua askari zaidi 12 ambayo ndiyo Section moja kuua unasema lakini huwezi kuua 12 maana wana formation zinazosomana wewe raia huwezi kunielewa na ndiyo maana unabwabwajo ovyo-ovyo kama mjinga. Umesema pia kuwa Hamas wamezalisha vilema 70,000 katika vita ya Gaza hiyo kitu haiwezekani kabisa. Kwanza unajua kuwa Israel ina jeshi dogo sana kuliko inchi zote za mashariki ya kati? Kama unalijua hilo hao 70,000 wametoka wapi? Unataka takwimu Aljazeera na PressTv Wazee wa Propaganda unatarajia nini? Utaonekana wewe Juha namba a moja tu. Kwa taarifa yako tu ukitaka kuja kubishana na Mimi Kuhusu Israel au Ukraine lazima ujipange sana!!