Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Naomba vyanzo vya uhakika, tafadhali….Usiku ule ule aliopokea kichapo cha paka mwizi mwana ukome.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba vyanzo vya uhakika, tafadhali….Usiku ule ule aliopokea kichapo cha paka mwizi mwana ukome.
NETANYAHU AKBARUmeelewa point yanngu lakini? Kama hujaielewa niulize nilikua namsanisha nini nikueleweshe.
Kuhusu swali lako hata kama ni slightly irrelevant ni kwamba kwenye hizo bible za Kiarabu YESU anaitwa MASSIH - maana yake mkombozi. Na kwenye Qur ani majina yote mawili Issa (linaandikwa na kutamkwa IISAA")na MASSIH yote yanatumika.
Israel anamalizana kwanza na Hamas na hezbollaIsrael kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Punguza mahaba na ujuaji, hapa hakuna cha timetable wala ushuzi ni uoga tu, hivi chukulia yale makombora ndio kama angepiga Syria au hamas hiyo reaction yake ingekuwaje? Israel bila marekani na NATO ni sawa tu na genge la ukabaji mbwa mwitu wa kule msasani.Watu mna papara sana. Hamna subira hata kidogo.
Israel naamini inafuata timetable yake yenyewe. Haifuati timetables za watu wa mitandaoni.
Naamini itajibu kwa kufuata muda wake yenyewe.
Just watch this space….
Huko madrasa mnadanganyana sana pumbafuuuIsrael kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
We kweli nyani Kwa akili Yako hao mabwana zako waarabu unafikili wanaweza mziki wa Israel tayari huko vinu vya nyukilia vimetekenywa🤣🤣🤣🤣🤣Punguza mahaba na ujuaji, hapa hakuna cha timetable wala ushuzi ni uoga tu, hivi chukulia yale makombora ndio kama angepiga Syria au hamas hiyo reaction yake ingekuwaje? Israel bila marekani na NATO ni sawa tu na genge la ukabaji mbwa mwitu wa kule msasani.
Allah limungu lakiarabu lioga kama nini. Limewaingiza mkenge likala kona na kuzama chaka limewaacha Solemba mmebakia kubweka allah akbar allah akbar huku mmebana mikundunamarinda mkiwa na uchungu mkali.
Hahahahahahaha jamn taifa teule si linaeza piga mashariki ya Kati yoteHalafu pia, hakuna tija yeyote, Iran siyo tishio kwa Israel, kwa namna yeyote ile.
Ni bora wajikite tu kuwamaliza Hamas na Hezbolla, oparesheni wanayoitekeleza kwa ufanisi mkubwa.
Wao Israel wanajua, Iran sio hamasIsrael kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Huwa nawaambia siku zote ukiona maneno meengi ujue hamna kitu hapo.Israel kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Israel hawezi kumalizana na wale jamaa yuko topeni mule hatoki, imagine watu wanasherekea mwaka wa majonzi ya kupigwa kwa vita na as long mbishi wa dunia houth yumo kiukweli Israel hata toka bila makubalianoIsrael anamalizana kwanza na Hamas na hezbolla
Makundi hayo yote yameanzishwa na yanafadhiliwa na Iran unasemaje sio tishio , Israel imeona imepata nafasi nzuri ya kuipoteza inchi tishio kwa kushirikiana na washirika wake lakini kaufyata baada kugomewa kuungwa mkono na US,UK, FRANC. Tuliwmbiwa Jana tarehe 7 Israel itajibu mashambulizi kama kumbukizi ya October 7thHalafu pia, hakuna tija yeyote, Iran siyo tishio kwa Israel, kwa namna yeyote ile.
Ni bora wajikite tu kuwamaliza Hamas na Hezbolla, oparesheni wanayoitekeleza kwa ufanisi mkubwa.
Mkuu hayo yote yameanzishwa na iranNasikia bunge la iran linadraft ushirikiano kijeshi kama vile nato itainclude syria ,yemen ,hizbullah na hamas halafu akishambuliwa mmoja basi wote wanaingia mzigoni.
Labda vinu vya kutwangia kisamvu kwenu mbwinde,, hivi vinu vya nyukilia vipigwe mabomu iran asitangaze netapaka uje useme wewe muuza supu uwanja wa fisiWe kweli nyani Kwa akili Yako hao mabwana zako waarabu unafikili wanaweza mziki wa Israel tayari huko vinu vya nyukilia vimetekenywa🤣🤣🤣🤣🤣
Naona umejibu Kwa uchungu sanaaaa hahahahaha na bado dozi inaeendeleaa 🤣🤣🤣🤣🤣Labda vinu vya kutwangia kisamvu kwenu mbwinde,, hivi vinu vya nyukilia vipigwe mabomu iran asitangaze netapaka uje useme wewe muuza supu uwanja wa fisi
Kule Iran wanatabia za kusherekea harusi kwa kupiga fataki jamaa wakadhani Israel kagusa Iran 😄Labda vinu vya kutwangia kisamvu kwenu mbwinde,, hivi vinu vya nyukilia vipigwe mabomu iran asitangaze netapaka uje useme wewe muuza supu uwanja wa fisi