Isreal Kakacha Baada ya US kumuambia Hawezi Kupigana na Iran

Isreal Kakacha Baada ya US kumuambia Hawezi Kupigana na Iran

Kule Iran wanatabia za kusherekea harusi kwa kupiga fataki jamaa wakadhani Israel kagusa Iran 😄

Afu pia Iran kisha fanya underground nuclear test, inawezekana wamesikia hio sauti inetokea kwenye underground huko ndipo walipotest hio Nuclear yao.


View: https://youtube.com/shorts/whqqItCLJjM?si=_6E0sCdnED3-ShRn

Yani bado hujasema myahudi anazidi kutoa vichapo tu Iran hahahaha kobazi wanalia hukooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watu mna papara sana. Hamna subira hata kidogo.

Israel naamini inafuata timetable yake yenyewe. Haifuati timetables za watu wa mitandaoni.

Naamini itajibu kwa kufuata muda wake yenyewe.

Just watch this space….
Watu wanatamani kuona mabomu yanaripukaripuka tu.
 
Niliwambia Iran katest Nuclear mkabisha, niliwambia US alisha gundua kuna 800 Missiles ziko ready kupiga Israel na Israel hata sogea. Wataleta excuses kuwa US hataki Global war. Sa wanakuja na excuse ingine eti Iran ka test Nuclear wakati mimi nimejua toka siku nne za nyuma wao ndio wamejua jana 😄


View: https://youtu.be/2H6rXWJpu1o?si=kUeyjrFOHH54dVpM
 
Kwahiyo NATO wanapeleka wanajeshi wao Israeli? Mfano Tanzania ukipewa silaha tu na NATO watashinda Vita hata ha Hezbollah?
Wanapigana huko sio silaha tu hivi we uko dunia gani wewe hata yule nwenzenu alienda kusoma kilimo alikuwa recruited akapigane vita, ndio mana sikusema Tanzania ina majeshi huko. Nchi nilizo zitaja kuwa zinamsaidia Israel sio silaha tu mpaa askari wao wako huko.
 
HUjuilizi kwanin jeshi la lebanon limewaacha IDF watambe lebonon ,ni kwamba hizbollah wamechokwa au kwanin fatah hawapigan bega kwa bega hamas ,hivyo ni vikundi vya ugaidi ambavyo wakaaji wa hizo nchi hawavitaki ila vinapata nguvu kutoka kwa baba la ugaidi Iran
Waoga sana Israel. Anapigana na vikundi vya wanamgambo anajiita mbabe.

Haya kajitokeza mbabe wa kweli kamshambulia mara mbili nyumbani kwake bila majibu.

Iran ni taifa kubwa lenye silaha hatari zisizozuilika na mfumo wowote wa anga ndiyo maana karusha makombora lakini hayajazuiliwa na nchi kadhaa licha ya jitihada za kuyazuia.
 
kuna kitu watu hawakijui, iran alishambulia ile majuzi ili kuwadivert wayahudi kutoka kuipiga hezbollah kwa sababu wanajua israel akiingia lebanon lazima aichakaze iwe kama gaza na atauwa miundombinu na zana nyingi alizozipeleka kwa hezbollah.

kipindi israel hajavamia gaza, hezbollah walirusha rocket nyingi sana ili kuwadivert wayahudi wasiingie Gaza, alichofanya myahudi ni kuwaacha tu, kupiga hadi kumaliza kazi pale Gaza ndipo ageukie kwa Hezbollah.

anachofanya netanyahu hataki kupigana vita vingi kwa pamoja, mtego huo wamemkosa. akimaliza na hezbollah ataigeukia iran, na wameahidi iran itakuwa kama gaza. iran hajui atapigwa lini, jamaa kaconsentrate kwa lebanon hadi amalize kazi.

uturuki walitishia ati myahudi akiingia lebanon basi wataisaidia lebanon, myahudi ameshaingiza vifaru na uturuki kanyamaza kama hajawahi kusema chochote. Iran alimtishia myahudi kuwa akiingia Gaza yatakuwa makaburi ya wayahudi, alijihakikishia hilo kwa sababu alikuwa amepeleka silaha nyingi sana kule na aliwapa pesa wakachimba mahandaki mengi sana, na alitrain Hamas wengi sana, alijihakikishia wayahudi wengi wangekufa. kilichotokea, mahandaki karibia yote yamefumuliwa, hata rocket toka gaza ni za kutafuta.

amejihakikishia pia kuwa amewapa hezbollah silaha nyingi, leo tu wamerusha rocket zaidi ya 100 lakini hazina madhara makubwa kwa Israel. as long as wameshaingia, wataishiwa silaha na watakamatwa kama panya kwa sababu lebanon hakuna mahandaki meingi kama Gaza.

sipendi vita ila hakuna adui wa kumshinda israel hapo middle east.
 
Hawa wavaa vibakuri kichwani wa bongo waliambiwa wakifa watakuwa waarabu ,STUUUUUPIIIIIIIIIDDDD 🤣🤣🤣🤣
 
Usiniamini mimi wala Netanyahu. Linganisha ni nani aliyeleta madhara, kati ya mashambulizi ya Hezibola na Hamas, na vi misile vya Ayatola.

Nitatumia akili kisoda? Kivipi?
Wewe ananiambia nisimuamini Netanyahu wewe kama nani? Wewe ni mke wake? Netanyahu amesema zaidi ya mara 100 kuwa Iran ni tishio wewe ni nani ukatae?
 
Wewe ananiambia nisimuamini Netanyahu wewe kama nani? Wewe ni mke wake? Netanyahu amesema zaidi ya mara 100 kuwa Iran ni tishio wewe ni nani ukatae?
Ninaweza nikawa mke wake au nisiwe mke wake, lakini kukariri na kuamini kila anachosema Netanyahu ni ulimbukeni.

Mbona anaposema Hamas na Hezibola ni Magaidi huwa mnakataa?
Leo imekuwa ni lazima tukubali na kuamini kila anachosema?

Benjamin ni Mwanasiasa tu kama alivyo Kamenei, anaweza akawa aliongea kisiasa tu kama alivyoongea kisiasa Kamenei kwamba wana adui mmoja, Israel.
 
Israel kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Hii tweet ndiyo itakuonyesha kuwa wafuasi wote Maislamists ni devil inspired

View: https://x.com/K0sher_C0ckney/status/1843458950554964446
 
Ninaweza nikawa mke wake au nisiwe mke wake, lakini kukariri na kuamini kila anachosema Netanyahu ni ulimbukeni.

Mbona anaposema Hamas na Hezibola ni Magaidi huwa mnakataa?
Leo imekuwa ni lazima tukubali na kuamini kila anachosema?

Benjamin ni Mwanasiasa tu kama alivyo Kamenei, anaweza akawa aliongea kisiasa tu kama alivyoongea kisiasa Kamenei kwamba wana adui mmoja, Israel.
Aongee kisiasa au siyo kisiasa haiondoi ukweli kuwa ameongea. Hiyo tafsiri ya alichosema ni kweli au siyo kweli itategemea na wewe unataka usikie upande upi. Tukubaliane kutokukubaliana.
 
Kama hata harusi watu wanapata hasara za kugharamika kutumia pesa na kupata madeni ila unataka kwenye vita watu wapate faida ila wasirudi miaka 50 nyuma ukiingia kwenye vita ujue Kuna hasara israhell kama anaweza kweli waingie tu au unadhani Iran 🇮🇷 hawakujua kama kuna hasara na kurudi nyuma kabla ya kurusha makombora
Simtetei wala kumpenda yeyote. Bado kuna muda, let's wait bro
 
Hivi wewe unajua unachokiongea,unasema hivyo vita havina faida kwa USA-kwa akili yako unayedhani anapigana hapo ni nani labda,Israel anatumika kama ambavyo anatumika Ukraine na yupo hapo mashariki ya kati kwa kuwa USA & Uk walitaka awepo kwa manufaa yao.
Well say
 
Israel kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Israel kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
siku mkijibiwa msianze kuililia dunia
 
siku mkijibiwa msianze kuililia dunia
Ukimsikiloza yule naftalin na waziri wa ulinzi ndo utajua Israeli inaongozwa na magenge ..mfano mzuri wangefikiria kitu kimoja mafuta ndo yanaongoza dunia na huku ndo mabepari wa kimarekani wameawekeza na faida ndo inapatikana na ndo inapatikana pesa ya kutoa msaada kwa isreli ..sasa mfano akipiga oil refinery facility na Iran kaanza kulipaza na na ule uchochoro pale ukafungwa ..isreli nawezi kuendeela kupokea misaada anayopokea maana West economic will collapse na yeye athari zitamfikia moja kwa moja na usa na Russia ataneemeka saana kwa kiasi kikubwa
 
Back
Top Bottom