Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Yani bado hujasema myahudi anazidi kutoa vichapo tu Iran hahahaha kobazi wanalia hukooo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKule Iran wanatabia za kusherekea harusi kwa kupiga fataki jamaa wakadhani Israel kagusa Iran ๐
Afu pia Iran kisha fanya underground nuclear test, inawezekana wamesikia hio sauti inetokea kwenye underground huko ndipo walipotest hio Nuclear yao.
View: https://youtube.com/shorts/whqqItCLJjM?si=_6E0sCdnED3-ShRn
Watu wanatamani kuona mabomu yanaripukaripuka tu.Watu mna papara sana. Hamna subira hata kidogo.
Israel naamini inafuata timetable yake yenyewe. Haifuati timetables za watu wa mitandaoni.
Naamini itajibu kwa kufuata muda wake yenyewe.
Just watch this spaceโฆ.
Utatumia akili kisoda weweHalafu pia, hakuna tija yeyote, Iran siyo tishio kwa Israel, kwa namna yeyote ile.
Ni bora wajikite tu kuwamaliza Hamas na Hezbolla, oparesheni wanayoitekeleza kwa ufanisi mkubwa.
Wanapigana huko sio silaha tu hivi we uko dunia gani wewe hata yule nwenzenu alienda kusoma kilimo alikuwa recruited akapigane vita, ndio mana sikusema Tanzania ina majeshi huko. Nchi nilizo zitaja kuwa zinamsaidia Israel sio silaha tu mpaa askari wao wako huko.Kwahiyo NATO wanapeleka wanajeshi wao Israeli? Mfano Tanzania ukipewa silaha tu na NATO watashinda Vita hata ha Hezbollah?
Waoga sana Israel. Anapigana na vikundi vya wanamgambo anajiita mbabe.
Haya kajitokeza mbabe wa kweli kamshambulia mara mbili nyumbani kwake bila majibu.
Iran ni taifa kubwa lenye silaha hatari zisizozuilika na mfumo wowote wa anga ndiyo maana karusha makombora lakini hayajazuiliwa na nchi kadhaa licha ya jitihada za kuyazuia.
Usiniamini mimi wala Netanyahu. Linganisha ni nani aliyeleta madhara, kati ya mashambulizi ya Hezibola na Hamas, na vi misile vya Ayatola.Iran imekuwa siyo tishio Tena ๐ . Tukuamini wewe au Netanyahu?
Nitatumia akili kisoda? Kivipi?Utatumia akili kisoda wewe
Wewe ananiambia nisimuamini Netanyahu wewe kama nani? Wewe ni mke wake? Netanyahu amesema zaidi ya mara 100 kuwa Iran ni tishio wewe ni nani ukatae?Usiniamini mimi wala Netanyahu. Linganisha ni nani aliyeleta madhara, kati ya mashambulizi ya Hezibola na Hamas, na vi misile vya Ayatola.
Nitatumia akili kisoda? Kivipi?
Ninaweza nikawa mke wake au nisiwe mke wake, lakini kukariri na kuamini kila anachosema Netanyahu ni ulimbukeni.Wewe ananiambia nisimuamini Netanyahu wewe kama nani? Wewe ni mke wake? Netanyahu amesema zaidi ya mara 100 kuwa Iran ni tishio wewe ni nani ukatae?
Hii tweet ndiyo itakuonyesha kuwa wafuasi wote Maislamists ni devil inspiredIsrael kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Aongee kisiasa au siyo kisiasa haiondoi ukweli kuwa ameongea. Hiyo tafsiri ya alichosema ni kweli au siyo kweli itategemea na wewe unataka usikie upande upi. Tukubaliane kutokukubaliana.Ninaweza nikawa mke wake au nisiwe mke wake, lakini kukariri na kuamini kila anachosema Netanyahu ni ulimbukeni.
Mbona anaposema Hamas na Hezibola ni Magaidi huwa mnakataa?
Leo imekuwa ni lazima tukubali na kuamini kila anachosema?
Benjamin ni Mwanasiasa tu kama alivyo Kamenei, anaweza akawa aliongea kisiasa tu kama alivyoongea kisiasa Kamenei kwamba wana adui mmoja, Israel.
Simtetei wala kumpenda yeyote. Bado kuna muda, let's wait broKama hata harusi watu wanapata hasara za kugharamika kutumia pesa na kupata madeni ila unataka kwenye vita watu wapate faida ila wasirudi miaka 50 nyuma ukiingia kwenye vita ujue Kuna hasara israhell kama anaweza kweli waingie tu au unadhani Iran ๐ฎ๐ท hawakujua kama kuna hasara na kurudi nyuma kabla ya kurusha makombora
Well sayHivi wewe unajua unachokiongea,unasema hivyo vita havina faida kwa USA-kwa akili yako unayedhani anapigana hapo ni nani labda,Israel anatumika kama ambavyo anatumika Ukraine na yupo hapo mashariki ya kati kwa kuwa USA & Uk walitaka awepo kwa manufaa yao.
Well saidWell say
Kama akili ni ndogo na Huna uwezo hata upewe silaha hutashinda Vita .wayahudi wanaogopesha sanaanilizo
Israel kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
siku mkijibiwa msianze kuililia duniaIsrael kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Ukimsikiloza yule naftalin na waziri wa ulinzi ndo utajua Israeli inaongozwa na magenge ..mfano mzuri wangefikiria kitu kimoja mafuta ndo yanaongoza dunia na huku ndo mabepari wa kimarekani wameawekeza na faida ndo inapatikana na ndo inapatikana pesa ya kutoa msaada kwa isreli ..sasa mfano akipiga oil refinery facility na Iran kaanza kulipaza na na ule uchochoro pale ukafungwa ..isreli nawezi kuendeela kupokea misaada anayopokea maana West economic will collapse na yeye athari zitamfikia moja kwa moja na usa na Russia ataneemeka saana kwa kiasi kikubwasiku mkijibiwa msianze kuililia dunia