Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CCM oyeeeeLinatengenezwa Taifa la wajinga
Akili zako na mbowe wa division zero ni sawaAkizungumza kwenye mkutano wa hadhara huko Iringa , kwenye ziara ya Chongolo , kiongozi wa ccm asiyefahamika jina lake , ameudanganya Umna hadharani kwa kusema uongo kuhusiana na kadi mpya za ccm za kielektroniki .
Mbele ya viongozi wastaafu akiwemo William Lukuvi , ambaye alionekana kuchekelea , kiongozi huyo muongo amesema kadi hiyo ya ccm itatumika kila mahali ikiwemo Benki na kwenye sekta ya afya , bila shaka kadi hii yaweza kuwa ni kadi ya miujiza .
Toa Maoni yako
Kijana yupi tenaYule kijana aliyekuwa ana mkula bi mkubwa wa TISS wemuua
Kijana gani huyo mkuu?na bi mkubwa gani tena tupeane Siri hiyoYule kijana aliyekuwa ana mkula bi mkubwa wa TISS wemuua
Yule balozi alitia fola chama Cha mambuziKuna jamaa alikiita chama cha mambuzi