Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti zake ni zipi mkuu na why iwe manual transmissionKama utaipenda Isuzu Bighorn chukua ya diesel yenye injini ya 4JX1 iwe manual. Nyingi zilizosumbua ni zenye injini ya 4JG2 mafundi na watumiaji walishindwa kuendana nazo.
Maisha bila gari Mjini Lazima uonekane mvivu tu. Yaan lofaWakuu nataka kuagiza Gari SUV Japan. Katika kuperuzi nimeangukia katika Gari hizo 2 naombeni ushauri wenu Isuzu Bighorn (Diesel 3000cc) vs SUZUKI GRAND ESCUDO (Petrol 2730cc). Nichukue ipi? Ukizingatia barabara off-road na spea Tanzania. Mafuta usihofu nayamudu
View attachment 1928570
View attachment 1928571
View attachment 1928573
View attachment 1928574
Pole
Gari ya mawazo mm sitaki kabisa. Kusoma nisome kwa taabu, kutumia pesa nako iwe shida Tena hapana Bora nipambane na Kluger tuBasi wabongo hatujui magari hz details unazipatia wapi? Maana hao wavimba macho huko Japan unadhani wajinga wakuwekee details za kukupa wasiwasi usinunue Gari?
Bwana mkubwa njoo pm unipe iyo gari endapo tu ina engine code UBS73 4jx1 ila kama ni UBS69 4JG2 hapana.Ukitaka kulia machozi yasiyokwisha agiza hiyo Isuzu Bighorn.
Ni gari comfortable, fuel consumption nzuri,four-wheel gear ya uhakika unapita popote.
Tatizo kubwa ni injini na mfumo wa umeme, gari hii ilinifanya mimi mwenyewe niwe fundi, mzigo ukiwa mikoa ya barid hata Dar, ikishapoa tuu kuiwasha mtiti yaani mpaka ujufunze kuchoma heater direct (nishaungua sanaaa mikono).
Spea zake ni ghaliii sana,turbo lake bovuuu na haina mwendo hyo ni mdogo mdogo mzee.
Niliinunua mwaka 2011 ikanitesa sanaaa,haiuziki nimeitelekeza mkoani mbeya mpaka leo hii halina mteja.
Narudia tena ni bovu bovu bovu sanaaaa,mimi ni mtunzaji sana wa magari lakini hapo nilikwama.
Ukija kwenye grand vitara,nayo ni nzuri ila tatizo lake kubwa ni kula oil ndio maana wengi wanakaanga injini zake deile,nilipata kuinunua mwaka 2015 ikanifia mwaka huo huo,niliweka oil ya BP kwenye service lakini ngoma ilienda arusha ile kurudi nishakaanga wakati nilipima oil nikaona ipo vizuri,hii nayo vipuri vyake ni ghari sana,nikafanya overhaul ya injin nikaiuza.
Nikaamua kuhamia Toyota ambako sikudumu sana nikahamia magari ya ulaya ndio nimepata pumziko la moyo
Magari ni matunzo tuGari ya mawazo mm sitaki kabisa. Kusoma nisome kwa taabu, kutumia pesa nako iwe shida Tena hapana Bora nipambane na Kluger tu
Bwana mkubwa njoo pm unipe iyo gari endapo tu ina engine code UBS73 4jx1 ila kama ni UBS69 4JG2 hapana. View attachment 1956579 [emoji107]
Go for other suvWakuu nataka kuagiza Gari SUV Japan. Katika kuperuzi nimeangukia katika Gari hizo 2 naombeni ushauri wenu Isuzu Bighorn (Diesel 3000cc) vs SUZUKI GRAND ESCUDO (Petrol 2730cc). Nichukue ipi? Ukizingatia barabara off-road na spea Tanzania. Mafuta usihofu nayamudu
View attachment 1928570
View attachment 1928571
View attachment 1928573
View attachment 1928574
Tatizo Pesa nduguGo for other suv
Hajatokea kabisa... Katunga story 😂Naona Mkuu hajatokea PM, inaelekea gari hauzi au story ya kutunga
Waweza baki Japan ukahamia landcruiser,vizia hata zile za UN tuu mzee haaa haaa,nimetulia kwenye Discovery 4 mwaka mzima na nusu mpaka nimesahau shida yaaniDuuh. Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba tujumuike huko kwa Mabeberu (Ulaya) Sasa SUV means ninunue BMW au Land Rover? Labda mpaka nijipange upya chief
Usije tamani kunirudishia mzee haaa haa na hela nikawa nishakula,ile ngoma kuna siku nashuka chimala nikitokea matamba ile milima ya kule hata kitonga na sekenke inasubiri mbali sanaaa,taa zikazima ghafla na brek zikapotea nikazima gari na kuiwasha ikiwa bado imechanganya ikakubali kuwaka nikatembea nayo bila taa mpaka brek zilipokubali,siku hiyo ndio nilijua kuna Mungu aiseeHii bighorn tuzungumze,nife nayo.
Ngoja nitume dogo akapige picha nitakuwekea hapaMkuu kama unaweza nitumie picha nione body condition tufanye biashara, inarudi barabarani hiyo.
Au nipe bure tuu kama huitaki kabisaa
Ipo Isuzu pickup kama zile wanasafirishia magazeti ya mwananchi,zile sasa ndio toleo bora zaidi la Isuzu kuwahi tengenezwaKuna msemo wa kiswahili, "Usilolijua ni kama usiku wa giza" [emoji23]
Products za isuzu ni konki sana, kuanzia gari za mizigo mpaka isuzu journey.
Kama mtu imemshinda, ilete tuu.
Siku 1 nitafte nikupeleke pale ilala mtaa wa shauri moyo,kuna mwamba 1 amezikusanya pale za kutosha ukifika pale half engine J20 inauzwa 9 milion na jamaa hapunguzi bei,halafu yeye ndio anaanza kukubembeleza wewe umuuzie chuma yako kama wenzio walivozitelekeza hapo kabla haijaoza.Tupe experience ya SUZUKI
Nliyonayo ni 69...Bwana mkubwa njoo pm unipe iyo gari endapo tu ina engine code UBS73 4jx1 ila kama ni UBS69 4JG2 hapana. View attachment 1956579 [emoji107]
Mimi natunza gari vibaya mno,service ya uhakika kwa wakati,hua siendeshi gari kama inagongagonga hata siku 1Magari ni matunzo tu
Gari zote zimesimamia kuchaWakuu nataka kuagiza Gari SUV Japan. Katika kuperuzi nimeangukia katika Gari hizo 2 naombeni ushauri wenu Isuzu Bighorn (Diesel 3000cc) vs SUZUKI GRAND ESCUDO (Petrol 2730cc). Nichukue ipi? Ukizingatia barabara off-road na spea Tanzania. Mafuta usihofu nayamudu
View attachment 1928570
View attachment 1928571
View attachment 1928573
View attachment 1928574