Denis Alphonce
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 625
- 856
Ukiipata tu 1kz ihusike mapemaHii bighorn tuzungumze,nife nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiipata tu 1kz ihusike mapemaHii bighorn tuzungumze,nife nayo.
Iyo engine ya bighorn ni nzuri kuliko 1kz nduguUkiipata tu 1kz ihusike mapema
AsanteSUZUKI GRAND ESCUDO Ina space na reliable
Ha ha haMaulid Al-Nabi
Suzuki Grand hutajuta kwanza roho ya paka....mm ninayo since 2008 service kubwa ni kumwaga oil na KlutchWakuu nataka kuagiza Gari SUV Japan. Katika kuperuzi nimeangukia katika Gari hizo 2 naombeni ushauri wenu Isuzu Bighorn (Diesel 3000cc) vs SUZUKI GRAND ESCUDO (Petrol 2730cc). Nichukue ipi? Ukizingatia barabara off-road na spea Tanzania. Mafuta usihofu nayamudu
View attachment 1928570
View attachment 1928571
View attachment 1928573
View attachment 1928574
Turbo yake kama za Nissan Patrol kumbe?sema nn hapo pakukufanya uwe fundi pamenichekesha mno🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukitaka kulia machozi yasiyokwisha agiza hiyo Isuzu Bighorn.
Ni gari comfortable, fuel consumption nzuri,four-wheel gear ya uhakika unapita popote.
Tatizo kubwa ni injini na mfumo wa umeme, gari hii ilinifanya mimi mwenyewe niwe fundi, mzigo ukiwa mikoa ya barid hata Dar, ikishapoa tuu kuiwasha mtiti yaani mpaka ujufunze kuchoma heater direct (nishaungua sanaaa mikono).
Spea zake ni ghaliii sana,turbo lake bovuuu na haina mwendo hyo ni mdogo mdogo mzee.
Niliinunua mwaka 2011 ikanitesa sanaaa,haiuziki nimeitelekeza mkoani mbeya mpaka leo hii halina mteja.
Narudia tena ni bovu bovu bovu sanaaaa,mimi ni mtunzaji sana wa magari lakini hapo nilikwama.
Ukija kwenye grand vitara,nayo ni nzuri ila tatizo lake kubwa ni kula oil ndio maana wengi wanakaanga injini zake deile,nilipata kuinunua mwaka 2015 ikanifia mwaka huo huo,niliweka oil ya BP kwenye service lakini ngoma ilienda arusha ile kurudi nishakaanga wakati nilipima oil nikaona ipo vizuri,hii nayo vipuri vyake ni ghari sana,nikafanya overhaul ya injin nikaiuza.
Nikaamua kuhamia Toyota ambako sikudumu sana nikahamia magari ya ulaya ndio nimepata pumziko la moyo
Noma mazeeTurbo yake kama za Nissan Patrol kumbe?sema nn hapo pakukufanya uwe fundi pamenichekesha mno🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpaka bongo Andaa 26m TZS
Hiyo inacheza kwenye 17 mpaka 20 hivi. Sehemu inapopita LC na hii inapita bila wasiwasiMpaka bongo Andaa 26m TZS
Eeh LC=Land Cruiser?Hiyo inacheza kwenye 17 mpaka 20 hivi. Sehemu inapopita LC na hii inapita bila wasiwasi
Yeah Land CruiserEeh LC=Land Cruiser?
Shukrani kaka. Nilikua naiogopa SUZUKI ESCUDO balaaYeah Land Cruiser
Suzuki Escudo gari ya kazi. Upate miaka ya 2004 kushuka chini ndio nna experience nazo. Hizi latest sijui sana. Ukiweza kupata Manual Transmission popote unafika bila wasiwasiShukrani kaka. Nilikua naiogopa SUZUKI ESCUDO balaa
Manual Transmission Bei imechangamka wacha tupambane na Auto Bei za KizalendoSuzuki Escudo gari ya kazi. Upate miaka ya 2004 kushuka chini ndio nna experience nazo. Hizi latest sijui sana. Ukiweza kupata Manual Transmission popote unafika bila wasiwasi