Isuzu Bighorn vs Suzuki Grand Escudo?

Isuzu Bighorn vs Suzuki Grand Escudo?

Ukitaka kulia machozi yasiyokwisha agiza hiyo Isuzu Bighorn.

Ni gari comfortable, fuel consumption nzuri,four-wheel gear ya uhakika unapita popote.

Tatizo kubwa ni injini na mfumo wa umeme, gari hii ilinifanya mimi mwenyewe niwe fundi, mzigo ukiwa mikoa ya barid hata Dar, ikishapoa tuu kuiwasha mtiti yaani mpaka ujufunze kuchoma heater direct (nishaungua sanaaa mikono).

Spea zake ni ghaliii sana,turbo lake bovuuu na haina mwendo hyo ni mdogo mdogo mzee.

Niliinunua mwaka 2011 ikanitesa sanaaa,haiuziki nimeitelekeza mkoani mbeya mpaka leo hii halina mteja.

Narudia tena ni bovu bovu bovu sanaaaa,mimi ni mtunzaji sana wa magari lakini hapo nilikwama.

Ukija kwenye grand vitara,nayo ni nzuri ila tatizo lake kubwa ni kula oil ndio maana wengi wanakaanga injini zake deile,nilipata kuinunua mwaka 2015 ikanifia mwaka huo huo,niliweka oil ya BP kwenye service lakini ngoma ilienda arusha ile kurudi nishakaanga wakati nilipima oil nikaona ipo vizuri,hii nayo vipuri vyake ni ghari sana,nikafanya overhaul ya injin nikaiuza.

Nikaamua kuhamia Toyota ambako sikudumu sana nikahamia magari ya ulaya ndio nimepata pumziko la moyo
Mkuu magari ya ulaya ni aina gani ya magari unayapendekeza kwa mazingira ya kibongo.
 
Isuzu Bighorn engine zake ni very complex kumaintain hasa hii diesel 4JX1 motor

Hii engine ni commonrail lakini ni tofauti na commonrail za kawaida tunazozijua.

Utofauti upo kwenye high pressure pump na commonrail system kama ifuatavyo.

(1)4jx1 high pressure pump ina press oil kuingia
Kwenye kibuyu, (commonrail) badala ya diesel.
Inatumia hydraulic injector.

(2) ina oil filter mbili, primary na secondary.
( i) primary oil filter ni kwa ajili ya matumizi ya
Kawaida ya kulainisha na kupoza engine

( ii)Secondary oil filter ni kwa ajili ya hydraulic
injection system
kuanzia kwenye high pressure
pump mpaka kwenye hydraulic unit injector

Kuna baadhi ya matoleo ya hizi gari baadhi ya fault code unaweza kusoma kwenye dashboard bila kutumia mashine hasa bighorn ubs73 1998.
Dashbord ina display flashing code unakuwa unazihesabu.lakini lazima uwe na reference chat ya kutafsili hizo code kwa ukipata namba inakueleza ni faut ipi.

Kwa leo ni hayo machache mwenye kuongezea anaweza kujazia.
 
Isuzu Bighorn engine zake ni very complex kumaintain hasa hii diesel 4JX1 motor

Hii engine ni commonrail lakini ni tofauti na commonrail za kawaida tunazozijua.

Utofauti upo kwenye high pressure pump na commonrail system kama ifuatavyo.

(1)4jx1 high pressure pump ina press oil kuingia
Kwenye kibuyu, (commonrail) badala ya diesel.
Inatumia hydraulic injector.

(2) ina oil filter mbili, primary na secondary.
( i) primary oil filter ni kwa ajili ya matumizi ya
Kawaida ya kulainisha na kupoza engine

( ii)Secondary oil filter ni kwa ajili ya hydraulic
injection system
kuanzia kwenye high pressure
pump mpaka kwenye hydraulic unit injector

Kuna baadhi ya matoleo ya hizi gari baadhi ya fault code unaweza kusoma kwenye dashboard bila kutumia mashine hasa bighorn ubs73 1998.
Dashbord ina display flashing code unakuwa unazihesabu.lakini lazima uwe na reference chat ya kutafsili hizo code kwa ukipata namba inakueleza ni faut ipi.

Kwa leo ni hayo machache mwenye kuongezea anaweza kujazia.
Asante. Ila humu wengi wetu hatujui hizo details zaidi ya kukanyaga mafuta tu
 
Asante. Ila humu wengi wetu hatujui hizo details zaidi ya kukanyaga mafuta tu
Ni muhimu kujua profile kama hizo wakati mwingine huwa zinasaidia, tabia za magari linaweza kukulaza polini kwa kitu kidogo sana.
Anakuja fundi anagusa tu gari inaondoka.
 
Back
Top Bottom