franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,475
Achana na Sedan iwapo unaishi Kilungule.SUV ndo ndoto zangu kwa Sasa. Sitaki tena Sedan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na Sedan iwapo unaishi Kilungule.SUV ndo ndoto zangu kwa Sasa. Sitaki tena Sedan
Hio gari au jiko la nyamachoma😂????Ukitaka kulia machozi yasiyokwisha agiza hiyo Isuzu Bighorn.
Ni gari comfortable, fuel consumption nzuri,four-wheel gear ya uhakika unapita popote.
Tatizo kubwa ni injini na mfumo wa umeme, gari hii ilinifanya mimi mwenyewe niwe fundi, mzigo ukiwa mikoa ya barid hata Dar, ikishapoa tuu kuiwasha mtiti yaani mpaka ujufunze kuchoma heater direct (nishaungua sanaaa mikono).
Spea zake ni ghaliii sana,turbo lake bovuuu na haina mwendo hyo ni mdogo mdogo mzee.
Niliinunua mwaka 2011 ikanitesa sanaaa,haiuziki nimeitelekeza mkoani mbeya mpaka leo hii halina mteja.
Narudia tena ni bovu bovu bovu sanaaaa,mimi ni mtunzaji sana wa magari lakini hapo nilikwama.
Ukija kwenye grand vitara,nayo ni nzuri ila tatizo lake kubwa ni kula oil ndio maana wengi wanakaanga injini zake deile,nilipata kuinunua mwaka 2015 ikanifia mwaka huo huo,niliweka oil ya BP kwenye service lakini ngoma ilienda arusha ile kurudi nishakaanga wakati nilipima oil nikaona ipo vizuri,hii nayo vipuri vyake ni ghari sana,nikafanya overhaul ya injin nikaiuza.
Nikaamua kuhamia Toyota ambako sikudumu sana nikahamia magari ya ulaya ndio nimepata pumziko la moyo
aTatizo wajapani nao wamekuwa wajanja hawaweki hiyo Engine Code: nadhani lengo mtu usistuke ukaacha kununua Hilo SHIPA Mamahe!
View attachment 1932598
Tupe experience ya SUZUKI
Kuna kampuni ni mabingwa wa gari flani, mfano Isuzu kwenye malori, mabasi, DmaX iko njema ila SUV amefeli. Mitsubishi halikadhalika yuko njema kwenye mitambo, malori, mabasi, gari za mbio ila SUV nae jau tu.Kuna msemo wa kiswahili, "Usilolijua ni kama usiku wa giza" 😂
Products za isuzu ni konki sana, kuanzia gari za mizigo mpaka isuzu journey.
Kama mtu imemshinda, ilete tuu.
Hahahahahhaha kudadadeq hio gari ingekuua mzee bora ulilitupa home tu.Usije tamani kunirudishia mzee haaa haa na hela nikawa nishakula,ile ngoma kuna siku nashuka chimala nikitokea matamba ile milima ya kule hata kitonga na sekenke inasubiri mbali sanaaa,taa zikazima ghafla na brek zikapotea nikazima gari na kuiwasha ikiwa bado imechanganya ikakubali kuwaka nikatembea nayo bila taa mpaka brek zilipokubali,siku hiyo ndio nilijua kuna Mungu aisee
DMaX ndio gari mkuu, ila sio ujinga mwengine ukiachana na magari ya kazi kama lorries na buses.Ipo Isuzu pickup kama zile wanasafirishia magazeti ya mwananchi,zile sasa ndio toleo bora zaidi la Isuzu kuwahi tengenezwa
Ukiifunga 1kz inakaa kumbe 😂😂😂Ukiipata tu 1kz ihusike mapema
Unazungumza ukweli mtupu. Kuna kipindi nilitaka kujichanganya kununua Pajero Mitsubishi Seat 7 zile. Ila kupitia JF nikapata elimu nikaachana na MitsubishiSuzuki mkataba huo hadi mjukuu ataikuta😂😂😂
Kuna kampuni ni mabingwa wa gari flani, mfano Isuzu kwenye malori, mabasi, DmaX iko njema ila SUV amefeli. Mitsubishi halikadhalika yuko njema kwenye mitambo, malori, mabasi, gari za mbio ila SUV nae jau tu.
Pajero na isuzu bighorn ni ushuzi wa dengu. Waliokurupukia hizo gari watakiri hayo.
Value for moneyHiyo inacheza kwenye 17 mpaka 20 hivi. Sehemu inapopita LC na hii inapita bila wasiwasi
Ungekuwa unalia sahizi halafu hayauziki hayo magari. Sababu wengi wanayakwepaUnazungumza ukweli mtupu. Kuna kipindi nilitaka kujichanganya kununua Pajero Mitsubishi Seat 7 zile. Ila kupitia JF nikapata elimu nikaachana na Mitsubishi
Umenikumbusha niliwahi kuwa na Nissan Pathfinder Sasa nikawa nataka kuuza nikapata namba ya dalali nokamtumia picha kwa WhatsApp aliziangalia akakausha mazima, hakujibu Chochote.Ungekuwa unalia sahizi halafu hayauziki hayo magari. Sababu wengi wanayakwepa
Madalali hawataki ujingaUmenikumbusha niliwahi kuwa na Nissan Pathfinder Sasa nikwaa nataka kuuza nikapata nmabanya dalali nokamtumia picha kwa WhatsApp aliziangalia akakausha mazima
Hasa ESCUDO pale fundi Mkuu alituliza kichwa. Hivi ilani Chama Tawala Japan inasemaje?Suzuki SUV wanajitahidi
Kluger mashine kmmkKluger jini la mguu mmoja kwetu tunaiita sakala mwaka. Hata kama hujui kufungua tauri chukua kluger. Ni gari!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hio gari au jiko la nyamachoma[emoji23]????
Jana nimekutana na Ssangyong a.k.a Musso ikiwa maeneo ya victoria mkabala na sheli ya Lake oil huku bonnet likiwa wazi abiria watatu ndani wakiwa sura zao zimesawajika ,,,nakumbuka hio gari ilitamba sana miaka ile ya 1998 enzi za mtoto wa geti kali ya inspekta haroun. Nilicheka kimoyo moyo [emoji23][emoji23][emoji23] kuna gari huwa zinadhalilisha sana