Siyo familia tu, hata nchi tofauti.
Tanzania haina uchumi wa ku produce a Bill Gates in the true sense of a giant billionaire.
GDP ya Tanzania bado haijafikia net worth ya Bill Gates. Na hapo ni baada ya Bill Gates kugawa hela zake kibao katika charities.
Where are the angel venture capitalist?
Bill Gates Mama yake alifanya kazi IBM. Where is our IBM?
Sawa, labda tuchukue maana finyu ya "Bill Gates" kama tajiri aliyefanikiwa kwenye biashara ya ICT.
Tumekuwa na kina Ali Mufuruki alijaribu hii biashara. Mpaka anafariki alikuwa analalamika mifumo ya kodi ya serikali ilivyombana. Na huyu kafanya biashara ambayo vitu kama computer havilipiwi kodi.
Where is our Silicon Valley? Bill Gates hakujiinua yeye mwenyewe tu, kulikuwa na industry. Industry ambayo ilikuwa subsidized heavily na serikali, tena na jeshi, kwenye research and develooment.
Bajeti ya serikali kwenye research and development kwenye haya mambo ni kiasi gani kwa mwaka?
Hivi Tanzania tuna hata jarida formal (achana na forums) la kutoka kila mwezi la kupashana habari za ICT? Hata la online tu?