IT, ICT, CS students wanaokimbia chuo ili kuwa mabillgates hapa Tanzania hawawi hivyo hata kwa mtaa tu, kwanini?

Moto Unakuwa Mkali😂😂
 
Bongo tunadrop chuo kwa kukosa miundo mbinu ya kujiendeleza.

Elimu yetu baaaado sana basically tunafundishwa historia historia za wazungu na baadhi za waafrika.

Baaaado sana Tz kwenye tech. Ndio kwanza awamu ya sita ya uongozi huru wenzetu wapo awamu ya 42 (if im not mistaken).

Siku mamlaka yatarudishwa kwa wananchi ndipo ukombozi utaanzia hapo.

Kwenye ulimwengu wa tech. & science tutaendelea kua wakarabatiji. Mpaka atakapotokea raisi mwanatech. na mpenda tech huenda kuna kitu tutafanya.
 
Bajeti ya serikali kwenye maendeleo na mambo ya maana ni ndogo mno kuliko hela iliyotengwa kwa "matumizi mengineo"!!!, hayo matumizi mengineo huwa hayaorodheshwi wala kuanishwa ni ya aina gani au ya nini?! Kama siyo upigaji ni nini?!
Lini wanaohusika wataacha huo uhuni na nafasi ya kupiga hela hatujuwi..
 
Yeye amepima akili ameona teknolojia itamtoa kuliko kuuza na kununua au kulima.Kwa muongo tuliopo teknolojia ndio inaweza kuleta urajiri wa haraka kuliko hata wachimba madini.Sasa huoni unamkatisha ramaa kuifikia fursa muhimu.
Tatizo input ya wabongo haithaminiwi, unaweza kuwa na idea nzuri ila hata price ya kuuza idea ikawa bei ya diamond karanga tu!

Kwa wenzetu support ni kubwa mno! Yani ukianzisha app yako tu ukaiuza kwenye soko la mitandao wanunuzi wapo na unatoka kimaisha full!

Yani kibongo bongo platform zingekuwa kama ulaya sahizi harmorapa angekuwa anamiliki mansion na ma rolls royce kwa hit single moja tu!
 
Kati ya washkaji sita walioacha chuo,watano Wana make more than 5 milion kwa mwezi ,last time I check wanaendelea vizuri nanplan zao zimekaa poa..tuliomaliza tupo kazini kilio Cha maslah
 
Unaakili sana
 
Bill Gates alizaliwa kwenye familia ya mamilionaire msijifananishe.

It can also be an excuse...haina maana kila mtu afanye kazi anazifanya ili kufanikiwa. Kuna fursa nyingi ambazo haziangaliwi ila zina nafasi ya kutengeneza little millionaires. Ila sio wale wa Arusha. Mtu akimiliki nyumba sakina anakuwa millionaire. Njiro, ni bilionea
 
Hahaha Arusha bana inanifurahisha sana ila kuna ma billionaire kweli mkuuu huko
 
Hiyo ndo reality, Gates sio tu alizaliwa kwenye familia ya mamilionaire lakini pia maza wake alikuwa kwenye board ya kampuni pamoja na CEO wa IBM na ndio aliyemuunganishia dili la Microsoft kutengeneza operating system kwa ajili ya computer za IBM.

Hizi stori za "self made" zinakuja kusukwa baadae, mimi na wewe hatuna opportunity za namna hiyo ni bora tubaki shule tu.

Pia kuacha Harvard hakukuwa na risk yoyote kwake, angechemsha na Microsoft angerudi tu Harvard baada ya miaka 2-3 whats the big deal? Jaribu bongo kama haujachekwa.
 

Bongo tunadanganyana lazima kila mtu awe na degree..na sasa mpaka PhD za kuungaunga. Wakati hata kusomea VETA kitu unachokipenda, unaweza kutoboa.
Elimu yetu inatuandaa tukaajiriwe na tunaamini katika ajira tutapiga deals
Bill Gates anastahili sifa...kumbuka, sio kila kwenye miti kuna wajenzi
 
100% correct
 
Hata Tz unaweza toboa to that extent japo hautokuwa billgates, ila usitegemee msaada kutoka kwa serikali maana hamna atakaekusaidia

Kikubwa ubunifu na kuendelee kujifunza daily ile endless learning halafu kutoboa sio lazima u re invent the wheel unaweza anza na vitu simple mfano ku eliminate ma dalali wote Tz kwa kutumia software
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…