Moto Unakuwa Mkali😂😂Kuona ni jambo moja na kitu kuwa kwenye uhalisia ni jambo la pili ingawa linategemea la kwanza simkatishi tamaa na wala asithubutu kukata tamaa kwa maana yeye ni mtu pekee anayeona maono yake swala analotakiwa kujiuliza ni utayari wake kiakili na kiuchumi sio aongozwe na hisia kipindi nipo chuo kuna muda moto unakuwa mkali hadi unatamani kuacha chuo ukafanye mambo mengine
Bila bidii hakuna kituTrue: Serikali inatakiwa kuweka mazingira wezeshi kwanza ndo Tupate kila Bill Gate,Jack Ma,Elon Musk etc.
bila Bidii na mchango wa Serikali aitowezekana
Bajeti ya serikali kwenye maendeleo na mambo ya maana ni ndogo mno kuliko hela iliyotengwa kwa "matumizi mengineo"!!!, hayo matumizi mengineo huwa hayaorodheshwi wala kuanishwa ni ya aina gani au ya nini?! Kama siyo upigaji ni nini?!Siyo familia tu, hata nchi tofauti.
Tanzania haina uchumi wa ku produce a Bill Gates in the true sense of a giant billionaire.
GDP ya Tanzania bado haijafikia net worth ya Bill Gates. Na hapo ni baada ya Bill Gates kugawa hela zake kibao katika charities.
Where are the angel venture capitalist?
Bill Gates Mama yake alifanya kazi IBM. Where is our IBM?
Sawa, labda tuchukue maana finyu ya "Bill Gates" kama tajiri aliyefanikiwa kwenye biashara ya ICT.
Tumekuwa na kina Ali Mufuruki alijaribu hii biashara. Mpaka anafariki alikuwa analalamika mifumo ya kodi ya serikali ilivyombana. Na huyu kafanya biashara ambayo vitu kama computer havilipiwi kodi.
Where is our Silicon Valley? Bill Gates hakujiinua yeye mwenyewe tu, kulikuwa na industry. Industry ambayo ilikuwa subsidized heavily na serikali, tena na jeshi, kwenye research and develooment.
Bajeti ya serikali kwenye research and development kwenye haya mambo ni kiasi gani kwa mwaka?
Hivi Tanzania tuna hata jarida formal (achana na forums) la kutoka kila mwezi la kupashana habari za ICT? Hata la online tu?
Tatizo input ya wabongo haithaminiwi, unaweza kuwa na idea nzuri ila hata price ya kuuza idea ikawa bei ya diamond karanga tu!Yeye amepima akili ameona teknolojia itamtoa kuliko kuuza na kununua au kulima.Kwa muongo tuliopo teknolojia ndio inaweza kuleta urajiri wa haraka kuliko hata wachimba madini.Sasa huoni unamkatisha ramaa kuifikia fursa muhimu.
Unaakili sanaSiyo familia tu, hata nchi tofauti.
Tanzania haina uchumi wa ku produce a Bill Gates in the true sense of a giant billionaire.
GDP ya Tanzania bado haijafikia net worth ya Bill Gates. Na hapo ni baada ya Bill Gates kugawa hela zake kibao katika charities.
Where are the angel venture capitalist?
Bill Gates Mama yake alifanya kazi IBM. Where is our IBM?
Sawa, labda tuchukue maana finyu ya "Bill Gates" kama tajiri aliyefanikiwa kwenye biashara ya ICT.
Tumekuwa na kina Ali Mufuruki alijaribu hii biashara. Mpaka anafariki alikuwa analalamika mifumo ya kodi ya serikali ilivyombana. Na huyu kafanya biashara ambayo vitu kama computer havilipiwi kodi.
Where is our Silicon Valley? Bill Gates hakujiinua yeye mwenyewe tu, kulikuwa na industry. Industry ambayo ilikuwa subsidized heavily na serikali, tena na jeshi, kwenye research and develooment.
Bajeti ya serikali kwenye research and development kwenye haya mambo ni kiasi gani kwa mwaka?
Hivi Tanzania tuna hata jarida formal (achana na forums) la kutoka kila mwezi la kupashana habari za ICT? Hata la online tu?
Bill Gates alizaliwa kwenye familia ya mamilionaire msijifananishe.
Hahaha Arusha bana inanifurahisha sana ila kuna ma billionaire kweli mkuuu hukoIt can also be an excuse...haina maana kila mtu afanye kazi anazifanya ili kufanikiwa. Kuna fursa nyingi ambazo haziangaliwi ila zina nafasi ya kutengeneza little millionaires. Ila sio wale wa Arusha. Mtu akimiliki nyumba sakina anakuwa millionaire. Njiro, ni bilionea
Hiyo ndo reality, Gates sio tu alizaliwa kwenye familia ya mamilionaire lakini pia maza wake alikuwa kwenye board ya kampuni pamoja na CEO wa IBM na ndio aliyemuunganishia dili la Microsoft kutengeneza operating system kwa ajili ya computer za IBM.It can also be an excuse...haina maana kila mtu afanye kazi anazifanya ili kufanikiwa. Kuna fursa nyingi ambazo haziangaliwi ila zina nafasi ya kutengeneza little millionaires. Ila sio wale wa Arusha. Mtu akimiliki nyumba sakina anakuwa millionaire. Njiro, ni bilionea
Hiyo ndo reality, Gates sio tu alizaliwa kwenye familia ya mamilionaire lakini pia maza wake alikuwa kwenye board ya kampuni pamoja na CEO wa IBM na ndio aliyemuunganishia dili la Microsoft kutengeneza operating system kwa ajili ya computer za IBM.
Hizi stori za "self made" zinakuja kusukwa baadae, mimi na wewe hatuna opportunity za namna hiyo ni bora tubaki shule tu.
Pia kuacha Harvard hakukuwa na risk yoyote kwake, angechemsha na Microsoft angerudi tu Harvard baada ya miaka 2-3 whats the big deal? Jaribu bongo kama haujachekwa.
100% correctSiyo familia tu, hata nchi tofauti.
Tanzania haina uchumi wa ku produce a Bill Gates in the true sense of a giant billionaire.
GDP ya Tanzania bado haijafikia net worth ya Bill Gates. Na hapo ni baada ya Bill Gates kugawa hela zake kibao katika charities.
Where are the angel venture capitalist?
Bill Gates Mama yake alifanya kazi IBM. Where is our IBM?
Sawa, labda tuchukue maana finyu ya "Bill Gates" kama tajiri aliyefanikiwa kwenye biashara ya ICT.
Tumekuwa na kina Ali Mufuruki alijaribu hii biashara. Mpaka anafariki alikuwa analalamika mifumo ya kodi ya serikali ilivyombana. Na huyu kafanya biashara ambayo vitu kama computer havilipiwi kodi.
Where is our Silicon Valley? Bill Gates hakujiinua yeye mwenyewe tu, kulikuwa na industry. Industry ambayo ilikuwa subsidized heavily na serikali, tena na jeshi, kwenye research and develooment.
Bajeti ya serikali kwenye research and development kwenye haya mambo ni kiasi gani kwa mwaka?
Hivi Tanzania tuna hata jarida formal (achana na forums) la kutoka kila mwezi la kupashana habari za ICT? Hata la online tu?
unaweza anza na vitu simple mfano ku eliminate ma dalali wote Tz kwa kutumia software