It should be a criminal offense to "kuwazuia polisi waliovalia sare za kazi"

It should be a criminal offense to "kuwazuia polisi waliovalia sare za kazi"

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es Salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia...
Inasikitisha sana. Hivi hao raia ingetokea wamedondosha kofia za askari ingekuwaje?
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
Duh
 
Kwani kuwa akari ndo ruksa kuvunja sheria za barabarani? Wambura aje hapa

d57bf239-9fa7-46a9-acf5-59c49dfe94f7.jpg
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es Salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
Wale Police waliamua kuwa wastaarabu
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es Salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
Sheria zipo wapi ni ujinga tu wa watu wa mwendokasi
 
Aisee ile ni nidhamu mbovu kwa jeshi letu, yule jamaa angekula virungu pale ningefurahi sana.
Tena wangemkojolea kabisa jinga kubwa sana yale majamaa ya mwendokasi. Polisi wanavyotusaidia jamani, wanajitoa pamoja na mishahara midogo tena hao FFU ndiyo kabisa hata uwezo wa hela ya kubrash viatu hawana. Ila natamani hao jamaa wa mwendokasi wangepigwa wakavunjwa vunjwa
 
Nawapongeza sana sana wale Askari wa FFU kwa Ukomavu wao na nidhamu waliyoionyesha pale. Lakini wale wapumbavu wa DART ilipaswa mmoja awe MOI akiwa ana vyumba miguuni, Mgongoni nk ameonyesha Ujuha na Ujinga mkubwa sana, shit
Mnapenda kuvunja sheria kwa kuwa tu ati mmevaa mabuti.

FUATA SHERIA, NA UKILETA UJUAJI TUNAKUTIMUA KAZI KIRAHISI SANA NA MABUTI YAKO UNAYAACHA KITUONI.

MABUTI SIO KINGA YA KUFANYA UHALIFU.
 
Tena wangemkojolea kabisa jinga kubwa sana yale majamaa ya mwendokasi. Polisi wanavyotusaidia jamani, wanajitoa pamoja na mishahara midogo tena hao FFU ndiyo kabisa hata uwezo wa hela ya kubrash viatu hawana. Ila natamani hao jamaa wa mwendokasi wangepigwa wakavunjwa vunjwa
Hapana. Polisi wafuate sheria wasijifanye ni kundi spesho.

Kuvaa mabuti sio tiketi ya kuwa na Kinga ya kufanya ukitakacho.

Hichi ndio chanzo cha kuwa na askari wahuni na jeuri kwa kuwa TU tumewavalisha magwanda.

Wakileta upumbavu na hayo magwanda tunawavua wakafanye upumbavu kwa mama zao huko.
 
Mnapenda kuvunja sheria kwa kuwa tu ati mmevaa mabuti.

FUATA SHERIA, NA UKILETA UJUAJI TUNAKUTIMUA KAZI KIRAHISI SANA NA MABUTI YAKO UNAYAACHA KITUONI.

MABUTI SIO KINGA YA KUFANYA UHALIFU.
Hapo unaandika kwenye TECNO yako unajiona Mwaaaaaaaaamba wakati Panyarod wakikwapua hako ka simu cha kwanza ni kukimbilia Polisi Cyber Crime usaidike! Acheni kuleta Siasa na Hatakati kwenye kazi za Jeshi mtakuja kulia kama mnavyolizwa na Panyarod sahiv.
Ngoja hao DART siku wapate Polisi issue ndio watajua hawajui, ule mchezo ujue haujaisha ndio kwaaaaaanza dkk ya 10 kati ya 90 so msiwape DART Kichwa kuvimba
 
Kuchukua sheria mkononi nao ni upumbavu vilevile kila mtu aheshimu sheria zilizoweka na nchi bila kubagua hili likiachwa kesho msije lalama mwenye uniform kanichapa Kofi kisa sikumsalimia tuheshimu sheria zetu na tukemee ubabe wa aina yoyote ile .
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es Salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
Je akifa raia asiyekuwa na hatia tunaweza kufidia na haraka ya polisi!?
 

Attachments

  • IMG-20220916-WA0029.jpg
    IMG-20220916-WA0029.jpg
    14.3 KB · Views: 4
Back
Top Bottom