It should be a criminal offense to "kuwazuia polisi waliovalia sare za kazi"

It should be a criminal offense to "kuwazuia polisi waliovalia sare za kazi"

Nawapongeza sana sana wale Askari wa FFU kwa Ukomavu wao na nidhamu waliyoionyesha pale. Lakini wale wapumbavu wa DART ilipaswa mmoja awe MOI akiwa ana vyumba miguuni, Mgongoni nk ameonyesha Ujuha na Ujinga mkubwa sana, shit
unawapongeza kwa kuvunja sheria?
-atakuwaje MOI wakati anasimamia utekelezaji wa sheria?
-Wale Police ndio walitakiwa aidha watozwe faini au wawe mahakamani.
 
tuna safari ndefu sana, wenzetu wapo huku, kasimamishwa kaenda kusimamia huuko, wamemkamata, sasa ww unaleta ooh unajua wanaenda wapi, waende wapi vipi kwan wao hawajui km kuna sheria? km wana dharura si wawashe king'ora ili watumiaji wengine wawapishe wapite

1663345797100.png
 
Tena wangemkojolea kabisa jinga kubwa sana yale majamaa ya mwendokasi. Polisi wanavyotusaidia jamani, wanajitoa pamoja na mishahara midogo tena hao FFU ndiyo kabisa hata uwezo wa hela ya kubrash viatu hawana. Ila natamani hao jamaa wa mwendokasi wangepigwa wakavunjwa vunjwa
Walifanya makosa Sana wale udart hajui Askari walikuwa wanakwenda wapi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wastaarabu Sana Sana nawapongeza kwa busara walizozitumia aisee

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
- ustaarbu gani tena mkuu?, hivi unafikiri pale police wangewakamata wale jamaa wa UDART wangewashitaki kwa kosa gani? i.e Hati ya mashtaka ingesomekaje ? Counts zingekuwa zipi?
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es Salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
hili hata kwa kuangalia tu ni kosa, sababu hujui wanaenda wapi na kufanya nini so unapomzuia akiwa katika uniform ina maana umemzuia kutekeleza majukumu yake ambayo kwa almost 99% yanahusiana na ulinzi na usalama wa aidha watu au mali zao. Raia sometime tunavimbiwa sana ugali maharage na sifa zitakuja kutuponza.
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es Salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
Je zamani kabla ya barabara ya Mwendokasi walikuwa wanapita wapi?

Ingekuwa ni Ambulance au Zimamoto ningekuelewa. Sometimes Polisi wetu wanawahisha mgao tu waliopora kwa wananchi
 
Jamaa alizingua sana. Sema hawa polisi siku hizi za mama kama wamekua wapole. Kuna kile kipindi cha jiwe sijui ingekuaje.

But all in all polisi ni very very very much important kwenye maisha yetu. Bila hao hatuna maisha. Polisi Mungu awalipe mara 1000 maana nyie ndo mmeyashikilia maisha yetu kwa uweza wa Mungu. Vibaka na majambazi yangekua yanatubaka kutwa mara tatu.
 
Jamaa alizingua sana. Sema hawa polisi siku hizi za mama kama wamekua wapole. Kuna kile kipindi cha jiwe sijui ingekuaje.

But all in all polisi ni very very very much important kwenye maisha yetu. Bila hao hatuna maisha. Polisi Mungu awalipe mara 1000 maana nyie ndo mmeyashikilia maisha yetu kwa uweza wa Mungu. Vibaka na majambazi yangekua yanatubaka kutwa mara tatu.
DART Hajazingua Waliozingua ni polisi, kwa sababu police wamevunja sheria za usalama barabarani, kwa kuingia njia ya mwendokasi DART wao kama wasimamizi wa njia ya mwendokasi wamesimamia sheria yao.

Kuhusu umuhimu wa Police kwenye jamii, kila kada ina umuhimu wake, na kama ni hoja ya umuhimu basi madaktari ndio wangekuwa muhimu kuliko wote kwa sababu Afya ndio msingi wa kila kitu.
 
sheria gani weww ma£ako???

View attachment 2358952
hujajibu hoja, bali umeleta matusi ambayo kimsingi si hoja ni upuuzi.

sheria hiyo ya RTA haijasema expressly kwamba polisina majeshi yanaruhusiwa kutumia njia ya mwendo kasi, na ukisoma vizuri hicho kifungu ulichokopi huko, hakitoi ruhusa Police na Majeshi kutumia njia ya mwendokasi,

basically sheria huwa zina misingi yake ya kutafsiri, na hiyo misingi hujui hata kidogo,
 
-hujajibu hoja, bali umeleta matusi ambayo kimsingi si hoja ni upuuzi.
-sheria hiyo ya RTA haijasema expressly kwamba polisina majeshi yanaruhusiwa kutumia njia ya mwendo kasi, na ukisoma vizuri hicho kifungu ulichokopi huko, hakitoi ruhusa Police na Majeshi kutumia njia ya mwendokasi,
-basically sheria huwa zina misingi yake ya kutafsiri, na hiyo misingi hujui hata kidogo,
Mkuu naomba msaada wa kifungu cha sheria kilichovunjwa hapo. Kuna mtu tunabishana hapa
 
Back
Top Bottom