It should be a criminal offense to "kuwazuia polisi waliovalia sare za kazi"

It should be a criminal offense to "kuwazuia polisi waliovalia sare za kazi"

IGP kazungumza leo, Polisi wanaruhusiwa kupita wakati wa dharura na kwa dharura.

Magari ya majeshi, wagonjwa na viongozi yanaruhusiwa.
-si kweli, leo hii kuna taarifa kutoka kwa msemaji wa police tanzania SACP misime, hiyo taarifa imekemea kile kitendo cha hovyo kilichofanywa na police, na pia imesema hakuna yoyote anayeruhusiwa kutumia njia ya mwendokasi
 
-Jeshi la Police limekemea kile kitendo, taarifa kutoka kwa msemaji mkuu wa jeshi la police tanzania .
- Wale maafande wa humu, wakubwa zenu wamewaumbua/ wamewaruka kimanga na kujitenga Na jambo la hovyo ambalo ni kinyume cha sheria za barabarani.
-Kwa maneno rahisi ni kwamba taarifa ya Jeshi la police imethibitisha kwamba wale police walivunja sheria za usalama barabarani.
 
Hapana. Polisi wafuate sheria wasijifanye ni kundi spesho.

Kuvaa mabuti sio tiketi ya kuwa na Kinga ya kufanya ukitakacho.

Hichi ndio chanzo cha kuwa na askari wahuni na jeuri kwa kuwa TU tumewavalisha magwanda.

Wakileta upumbavu na hayo magwanda tunawavua wakafanye upumbavu kwa mama zao huko.
Duh!..
 
Natumai hawakuwa na haraka ya huko waendako ila kama wangekuwa na haraka BASI aliyewazuia Angejua Hajui
 
Natumai hawakuwa na haraka ya huko waendako ila kama wangekuwa na haraka BASI aliyewazuia Angejua Hajui
-jeshi la police limekemea kila kitendo au hujaona taarifa ile ya Sacp Misime.?/
 
Jamaa alizingua sana. Sema hawa polisi siku hizi za mama kama wamekua wapole. Kuna kile kipindi cha jiwe sijui ingekuaje.

But all in all polisi ni very very very much important kwenye maisha yetu. Bila hao hatuna maisha. Polisi Mungu awalipe mara 1000 maana nyie ndo mmeyashikilia maisha yetu kwa uweza wa Mungu. Vibaka na majambazi yangekua yanatubaka kutwa mara tatu.
Kila kada ni muhimu kwenye jamii,wafuate sheria waache mihemko ya kijinga
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es Salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
Umesoma hii barua ya Jeshi la Polisi? Au umeandika kwa mihemko Yako tu??
 

Attachments

  • IMG-20220916-WA0018.jpg
    IMG-20220916-WA0018.jpg
    46.5 KB · Views: 1
-si kweli, leo hii kuna taarifa kutoka kwa msemaji wa police tanzania SACP misime, hiyo taarifa imekemea kile kitendo cha hovyo kilichofanywa na police, na pia imesema hakuna yoyote anayeruhusiwa kutumia njia ya mwendokasi
Hiyo unayosema wewe ni taarifa ya jana. Uwe unasikiliza hata taarifa za habari from credible sources,
 
Hiyo unayosema wewe ni taarifa ya jana. Uwe unasikiliza hata taarifa za habari from credible sources,
- swali ni je, Ni lini Kamanda misime ametoa taarifa ya kubatilisha taarifa ile taarifa ya awali, kama ipo iweke hapa tuione.
-kuhusu Credibi ya source, Unachotaka kusema ni kwamba Kamanda Misime alikurupuka? na je taarifa ya police mpaka inatoka huwa inapitia hatua zipi?
 
Soma Road traffic act sec 54. Gari la polisi, jeshi, zimamoto ni miongoni mwa magari ya dharura
 
Je akifa raia asiyekuwa na hatia tunaweza kufidia na haraka ya polisi!?
State intetest override individual interet. Gari la polisi na askari wenye national emblem ni tofauti sana na askari hao hao wakiwa kwenye gari ya kirai. Unajaje kama walikuwa wanaenda kwenye dharura katikati ya jiji. Au ikulu kuna tishio la usalama wa madam sovereign ?
 
Tumekuwa na mjadala wa tukio lilitokea kwenye barabara ya mwendo kasi Dar es Salaam, gari la polisi limejaa askari waliovalia sare alafu wanatokea watu wamevaa reflector wanawazuia.

Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuzuia polisi waliovalia sare. Hivi unajua wanakwenda wapi?, kumetukia nini?

Mimi nadhani kama sheria zetu hazisemi basi ni wakati wa kuzifanya ziseme kuwa ni kosa la jinai kuwazuia polisi waliovalia sare au kuzuia chombo cha ulinzi na usalama.
Kwahiyo polisi akivaa sare za kazi anaruhusiwa kuvunja taratibu zilizowekwa! This is Rubbish!!
 
Back
Top Bottom